Kama wewe ni mwanaume wa Dar,usisumbuke pm,

Mimi nimelipiza baada ya kuona watu wa mikoani mnatuletea kejeli. .

Wakati sisi ndio tunao walisha na kuwavisha. ..Tuna nunua mazao yenu nakuwapa nafuu ya maisha hahaa. ..
Hah mkuu kumbe unajua kuwa si chochote dar!!!?Acha kunisngusha ss baharia.Usiwe limbukeni wa hako ka fishing village.Na usidharau watu wa Namtumbo, Kolomije,Madaba,Simiyu,Katavi etc.Ni ushauri tu lakini, waweza ignore.
 
Mimi nimelipiza baada ya kuona watu wa mikoani mnatuletea kejeli. .

Wakati sisi ndio tunao walisha na kuwavisha. ..Tuna nunua mazao yenu nakuwapa nafuu ya maisha hahaa. ..
Hahahaha haya sawa mkuu, ngoja nikusanye asali huku kwetu halafu utanielekeza nipande gari gn nije kuuza huko.Utanitembeza et ee?maana naogopa!!nisije potea.
 
Reactions: BAK
Hahahaha haya sawa mkuu, ngoja nikusanye asali huku kwetu halafu utanielekeza nipande gari gn nije kuuza huko.Utanitembeza et ee?maana naogopa!!nisije potea.
Hahaha jinga sana. ..haya bwana karibu. ..Hiyo asali ukifika nayo dar tu lazima urudi na furushi la hela karibu sana
 
Hahaha jinga sana. ..haya bwana karibu. ..Hiyo asali ukifika nayo dar tu lazima urudi na furushi la hela karibu sana
Asante sn.ngoja nivune.Ila usije acha kunipeleka Kwa huyo dada huyo aliolewa na mchezaji wa Burundi.Nasikia pazuri,elfu 15 itatosha et ee?
 
Alaa sinza mori ---hahaa ...sasa siunataka pesa zako zote zikaishie huko aise
Asante sn.ngoja nivune.Ila usije acha kunipeleka Kwa huyo dada huyo aliolewa na mchezaji wa Burundi.Nasikia pazuri,elfu 15 itatosha et ee?
 
Hivi kinachomfanya mtu kutoa mtongozo wake wa dhati kwa mtu asiyemwona huwa ni nini wakati kila ukitazama pande zote kuna wanawake wa kila sifa wamekuzunguka, haya na pm zenu!
 
Hivi kinachomfanya mtu kutoa mtongozo wake wa dhati kwa mtu asiyemwona huwa ni nini wakati kila ukitazama pande zote kuna wanawake wa kila sifa wamekuzunguka, haya na pm zenu!
Nadhan ndo hulka ya binadamu ya kujaribu.Waweza kuta kifaa si mchezo.Au kama Sura ya Bibi basi msambwandaaaaa
 
Tangazo la kimataifa
 
Wanawake wa dar wanapenda pesa alafu pwapwapwa....(jamaa alijibu baada ya kuitwa mwanaume wa dar)
 
Mm wa Kyela-Mbeya,nipo kijijini kabisa
Asubuhi ni magimbi na samaki Ngolokolo
Mchana wali na mbogamboga
Bites ni Nazi na karanga
Usiku wali wa asali na samaki Mbasa
Nije PM yako?
 
Hivi kinachomfanya mtu kutoa mtongozo wake wa dhati kwa mtu asiyemwona huwa ni nini wakati kila ukitazama pande zote kuna wanawake wa kila sifa wamekuzunguka, haya na pm zenu!
Umeona eeh
 
Masharti hayo ole wako nije nikute haufananii na huyo ulomueka Profile Pic....utanlipa nauli zangu na usumbufu,Halafu unaeza kuta ni kachaga haka kamanzi,yani nasema hiviiiii Nakujaaaa na nikukute kama huyo kwenye profile Vinginevyo utanlipa..

Kuekewa masharti na vigezo vigumu halafu una sura ka yangu OLE WAKO.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…