interlacustrineregion
JF-Expert Member
- Oct 28, 2018
- 7,134
- 7,395
Ng'ombe bebeshi.
Hah mkuu kumbe unajua kuwa si chochote dar!!!?Acha kunisngusha ss baharia.Usiwe limbukeni wa hako ka fishing village.Na usidharau watu wa Namtumbo, Kolomije,Madaba,Simiyu,Katavi etc.Ni ushauri tu lakini, waweza ignore.
Hahahaha haya sawa mkuu, ngoja nikusanye asali huku kwetu halafu utanielekeza nipande gari gn nije kuuza huko.Utanitembeza et ee?maana naogopa!!nisije potea.Mimi nimelipiza baada ya kuona watu wa mikoani mnatuletea kejeli. .
Wakati sisi ndio tunao walisha na kuwavisha. ..Tuna nunua mazao yenu nakuwapa nafuu ya maisha hahaa. ..
Hahaha jinga sana. ..haya bwana karibu. ..Hiyo asali ukifika nayo dar tu lazima urudi na furushi la hela karibu sanaHahahaha haya sawa mkuu, ngoja nikusanye asali huku kwetu halafu utanielekeza nipande gari gn nije kuuza huko.Utanitembeza et ee?maana naogopa!!nisije potea.
Asante sn.ngoja nivune.Ila usije acha kunipeleka Kwa huyo dada huyo aliolewa na mchezaji wa Burundi.Nasikia pazuri,elfu 15 itatosha et ee?Hahaha jinga sana. ..haya bwana karibu. ..Hiyo asali ukifika nayo dar tu lazima urudi na furushi la hela karibu sana
Asante sn.ngoja nivune.Ila usije acha kunipeleka Kwa huyo dada huyo aliolewa na mchezaji wa Burundi.Nasikia pazuri,elfu 15 itatosha et ee?
Kumbe ndo panaitwa hivo.Sasa sh ngp itatosha?Alaa sinza mori ---hahaa ...sasa siunataka pesa zako zote zikaishie huko aise
Kumbe ndo panaitwa hivo.Sasa sh ngp itatosha?
Haya ulale salama Mungu akulinde mkuu.Ngoja nilale aise. .usikute hapo mwenzangu una chat huku chausiku yupo pembeni. .pakikucha nitajibu maswali yako yote
AaaminHaya ulale salama Mungu akulinde mkuu.
Nadhan ndo hulka ya binadamu ya kujaribu.Waweza kuta kifaa si mchezo.Au kama Sura ya Bibi basi msambwandaaaaaHivi kinachomfanya mtu kutoa mtongozo wake wa dhati kwa mtu asiyemwona huwa ni nini wakati kila ukitazama pande zote kuna wanawake wa kila sifa wamekuzunguka, haya na pm zenu!
Biashara ni matangazo Chifu [emoji87]
Tangazo la kimataifaMsimamo unilinde,siwezi kudate na mwanaume anayeishi Dar,yaani sijui kwa nini ila kwa kifupi ukinifuata pm ukishanambia upo Dar huwa sireply.moyo hupendi wanaume wanaokaa Dar
Kama unakaa Dar,usisumbuke kunipm,hutajibiwa,au hutatimiza lengo lako
Asante
Wanawake tukiwa na vigezo vichache hivi hakika uhaba wa ndoa utapungua hadi kuisha
Wanaume wa mikoani kazi kwenu huko PM
Mm wa Kyela-Mbeya,nipo kijijini kabisaMsimamo unilinde,siwezi kudate na mwanaume anayeishi Dar,yaani sijui kwa nini ila kwa kifupi ukinifuata pm ukishanambia upo Dar huwa sireply.moyo hupendi wanaume wanaokaa Dar
Kama unakaa Dar,usisumbuke kunipm,hutajibiwa,au hutatimiza lengo lako
Asante