Hahhhahhhahhaa..duuhWanaume nao tunahuruma, hadi huyu nae!
Hongera kwa kufuatwa PM!
Teenager unaejua nemo judexNa sisi teenegers tunakaribishwa Pm
Teenager unaejua nemo judex
Okay pole mkuu mi najua hicho ni kilatin.Hiki ni kifupisho la jina langu Nemondele Judea, x ni swaga tu kama za simple x, nijulishe ni nini Mkuu
Sawa.Msimamo unilinde,siwezi kudate na mwanaume anayeishi Dar,yaani sijui kwa nini ila kwa kifupi ukinifuata pm ukishanambia upo Dar huwa sireply.moyo hupendi wanaume wanaokaa Dar
Kama unakaa Dar,usisumbuke kunipm,hutajibiwa,au hutatimiza lengo lako
Asante
Okay pole mkuu mi najua hicho ni kilatin.
Wew unaish wapi kwanza tuanzie hpoMsimamo unilinde,siwezi kudate na mwanaume anayeishi Dar,yaani sijui kwa nini ila kwa kifupi ukinifuata pm ukishanambia upo Dar huwa sireply.moyo hupendi wanaume wanaokaa Dar
Kama unakaa Dar,usisumbuke kunipm,hutajibiwa,au hutatimiza lengo lako
Asante
Kwani una kazi gani nao mpaka uanze kuwabagua kaka zetu.?
Hawa ambao tunawatongoza huku tukiwaona baadae huwa tunawatongoza na mapungufu kibao sijui hawa mnaowafata pm, ila ni kaujasiri balaaNadhan ndo hulka ya binadamu ya kujaribu.Waweza kuta kifaa si mchezo.Au kama Sura ya Bibi basi msambwandaaaaa
kumtongoza usiyemwona ni ujasiri sana,Umeona eeh
Me nipo Arusha mama...huku kuna ndizi fresh, magimbi, mayai ya kienyeji, maziwa halisi ya ng'ombe, viazi, mahindi choma yasiyowekwa limao na pili pili...Msimamo unilinde,siwezi kudate na mwanaume anayeishi Dar,yaani sijui kwa nini ila kwa kifupi ukinifuata pm ukishanambia upo Dar huwa sireply.moyo hupendi wanaume wanaokaa Dar
Kama unakaa Dar,usisumbuke kunipm,hutajibiwa,au hutatimiza lengo lako
Asante
TumeelewaMsimamo unilinde,siwezi kudate na mwanaume anayeishi Dar,yaani sijui kwa nini ila kwa kifupi ukinifuata pm ukishanambia upo Dar huwa sireply.moyo hupendi wanaume wanaokaa Dar
Kama unakaa Dar,usisumbuke kunipm,hutajibiwa,au hutatimiza lengo lako
Asante