Kama wewe unayo Degree na hauna ajira chukuwa vyeti vyako kamuone Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Chap kwa Haraka

Kama wewe unayo Degree na hauna ajira chukuwa vyeti vyako kamuone Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Chap kwa Haraka

Kurunzi

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2009
Posts
9,753
Reaction score
10,747
Tupeane fusra, leo nimeamka nimeona tupeane fusra kiroho safi kabisa, wewe kijana unaye hangaika na bahasha kila siku uchwao kutafuta ajira soma hapa.

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Robert Gabriel, amewaomba wasomi wote wenye shahada waliopo mkoani humo, kufika ofisini kwake awasaidie kupata mafunzo na mitaji, ili wajiajiri katika sekta mbalimbali, ikiwamo ufugaji wa samaki wa vizimba.

Nipashe
 
Mafunzo ya kutengeneza sabuni na dawa za choon
 
Tupeane fusra, leo nimeamka nimeona tupeane fusra kiroho safi kabisa, wewe kijana unaye hangaika na bahasha kila siku uchwao kutafuta ajira soma hapa.

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Robert Gabriel, amewaomba wasomi wote wenye shahada waliopo mkoani humo, kufika ofisini kwake awasaidie kupata mafunzo na mitaji, ili wajiajiri katika sekta mbalimbali, ikiwamo ufugaji wa samaki wa vizimba.

Nipashe
Aisee..
Samaki wa vizimba!
 
Hii imekaa vizuri, kila la heri na yatamie ayawazao.
 
Tupeane fusra, leo nimeamka nimeona tupeane fusra kiroho safi kabisa, wewe kijana unaye hangaika na bahasha kila siku uchwao kutafuta ajira soma hapa.

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Robert Gabriel, amewaomba wasomi wote wenye shahada waliopo mkoani humo, kufika ofisini kwake awasaidie kupata mafunzo na mitaji, ili wajiajiri katika sekta mbalimbali, ikiwamo ufugaji wa samaki wa vizimba.

Nipashe
Walivyo wajinga watataka uwe na kadi ya CCM
 
Tanzania hii Kuna mikoa huwezi kukosa hela kama mtu ume weka mind set yako vizuri.

Moja wapo ni Mwanza huwa Ina fursa nyingi Sana mkuu. sisi tuliojariwa kujua mambo mengi ya mtaani tunajua hilo. Siamin kabisa Kama mtu akikosa kazi ya kuajiriwa akiwa mwanza anaweza kulala njaa.

Changamkeni wakuu mkamuone huyo mkuu wa mkoa. Yaan wazee pamoja na kwamba biashara Ina hitaji mtaji, lakin kwa upande wangu mm Nina amini Sana Sana kupata wazo sahihi la biashara ni mtaji namba moja. Muheshim sana mtu anayekupa Raman ya wazo la biashara.....kuliko kukupa pesa arafu ukashindwa uzitumieje!
 
Back
Top Bottom