At Calvary
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 4,533
- 3,595
нι
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi nitamrudishia mama simpi baba najua mama lazma kuna kitu ataninunulia hapo wa mama hua wanahuruma sana
ĸωelι ĸιongozι, pgα ĸαzιSwali la kitoto Sana. Mambo mengi muda mchache
ĸωelι ĸιongozι, pgα ĸαzιSwali la kitoto Sana. Mambo mengi muda mchache
nι ĸωelι υo υnαĸυωα ωαĸαтι ωα ĸυlια ĸιvυlιnιNirudishe ya nini?
Imeandikwa mchumia juani hulia kivulini
Ukiirudisha tena unachapwa unaambiwa umeibaUsipoirudisha itakuwa pouwa, ila ukiirudisha itakuwa pouwa zaidi.
Jibu litakalokuja hapo ni kwamba ulificha hela ukajifanya umepoteza
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jibu litakalokuja hapo ni kwamba ulificha hela ukajifanya umepoteza
Bakora zake ni Mara mbili ya zile
Utajuta kwa nini ulizaliwa mos
[emoji23][emoji23][emoji23]Ni kama ushatumikia kifungo cha miezi 6 la kosa la wizi halaf utoke urudishe hela, haingilii akilini.
ĸαвιѕα αnι αpoo nι ĸωendα ĸυιpgαUkiirudisha tena unachapwa unaambiwa umeiba
Maana hao ni wazazi waliozoea kupiga tu bila kuhoji na kusikiliza
Mzazi akiwa muongo hata mtoto haaminiwi
nι нαιωezeĸαnι ĸωα ĸωelιNirusishe wakati nimeshachapwa? Thubutuu