- Thread starter
- #21
Maendeleo, tuwe na shukrani tusikashifu na kutukanaKODI
KODI
KODI
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maendeleo, tuwe na shukrani tusikashifu na kutukanaKODI
KODI
KODI
Kama haupo hapo endelea kutukana hutopata laanaSipo kwenye kundi lolote hapo wewe ni Mbuzi wa Bibi kizee
Chama hakina hizo pesa, hao walisomeshwa na kodi za watanzania wotechama cha mapinduzi ikachukua jukumu la kuwasomesha tena kwa kutumia gharama kubwa,l
Wezi wanaowasomeshea watoto bure hadi form six,kuwa na shukraniCcm ni wezi
Hainizuii kufanya hivyo sipo kwenye kundi loloteKama haupo hapo endelea kutukana hutopata laana
Punguza ujinga wewe punguza ujingaWezi wanaowasomeshea watoto bure hadi form six,kuwa na shukrani
Umewahi kusikia Kingereza cha hao watoto wanaodaiwa kusoma bure??Wezi wanaowasomeshea watoto bure hadi form six,kuwa na shukrani
Anajitukana mwenyewe, hivi inakuingia akilini hospitali dawa hamna, mashule hali mbaya, matumizi mabaya ya fedha za umma huku anasafiri nje na wasanii, ananunua magoli5. Kundi la watu ambao mnashinda mitandaoni,kumtukana na kumkashifu mwenyekiti wa chama cha mapinduzi ambae pia ni kiongozi wenu tena mnamtukana kwa mambo ambayo hamna huakika wa uthibitisho,nyie pia hamjachelewa tubuni,kumtukana kiongozi aliyewekwa na Mungu ni kumdharau Mungu.
Mbuzi ni ww usiye jua kushukuruPunguza ujinga wewe punguza ujinga
Basi kuna muda ukijitafakari unajiona bonge la Genius. Hizo tabia zako za kihafidhina kwenye mambo ya muhimu achana nazo hazina tija yeyote kwa taifa na watu wake isipokuwa una mirija ya unyonyaji hivyo unataka kijifichia ndani ya chama.1. Kundi la watu wote ambao hawakuweza kumudu gharama za masomo ya elimu juu,serikali ya chama cha mapinduzi ikachukua jukumu la kuwasomesha tena kwa kutumia gharama kubwa,leo mnatumia usomi wenu kukitukana chama cha mapinduzi, nawaambia laana ipo malangoni mwenu,tubuni Mungu hapendi watu wasiokuwa na shukrani.
2. Kundi la watu wote ambao wamekuta babu zao,wazazi wao wakiwa na itikadi ya chama cha mapinduzi wakalelewa katika maadili mema ya chama cha mapinduzi ,walivyokuwa wakakengeuka na kuanza kuleta itikadi ngeni kwenye ukoo,kundi hili nalionea huruma sana,hakuna laana mbaya kama laana ya kutowatii wazazi,hamjachelewa tubuni.
3. Kundi la wazazi ambao watoto wao wanasoma bure katika shule za serikali hawalipii chochote zaidi ya madaftari ,viatu,na hela ya mtoto ya kula miogo na bado wanapata kiburi cha kukitukana chama cha mapinduzi,nawaambia hawa watoto ni malaika na chama cha mapinduzi kimeamua kuwekeza kwa malaika,uwekezaji huu kwa malaika hautawaacha salama wazazi hawa wasiokuwa na shukrani,tubuni.
4.Kundi la wajasiriamali waliokopeshwa mikopo isiyo na riba na serikali ya chama cha mapinduzi halafu kila kukicha wanashinda mitandaoni kukitukana na chama cha mapinduzi hakika Mungu ataiona sadaka ya chama cha mapinduzi na hatonyamaza,muda bado mnao tubuni kabla laana ijawapata.
5. Kundi la watu ambao mnashinda mitandaoni,kumtukana na kumkashifu mwenyekiti wa chama cha mapinduzi ambae pia ni kiongozi wenu tena mnamtukana kwa mambo ambayo hamna huakika wa uthibitisho,nyie pia hamjachelewa tubuni,kumtukana kiongozi aliyewekwa na Mungu ni kumdharau Mungu.
KATAA LAANA
Kwa hio wewe ni nani unashukuru nini?Mbuzi ni ww usiye jua kushukuru
Matumizi mabaya ya fedha ni kuanza kutoa mikopo kwa wanafunzi wa vyuo vya kati?mbona Huna shukrani,kutoa pembejeo bure kwa wakulima imekuwa matumizi mabaya fedha?Anajitukana mwenyewe, hivi inakuingia akilini hospitali dawa hamna, mashule hali mbaya, matumizi mabaya ya fedha za umma huku anasafiri nje na wasanii, ananunua magoli
Sijakulazimisha ila kuwa na shukraniBasi kuna muda ukijitafakari unajiona bonge la Genius. Hizo tabia zako za kihafidhina kwenye mambo ya muhimu achana nazo hazina tija yeyote kwa taifa na watu wake isipokuwa una mirija ya unyonyaji hivyo unataka kijifichia ndani ya chama.
Usilazimishe mawazo yako wewe yawe mawazo ya wote.
Nashukuru jinsi chama cha mapinduzi kinavyoleta maendeleo kwa wananchiKwa hio wewe ni nani unashukuru nini?
Tena huko usiguse kabisa huko usijaribu kugusa kabisa paache km palivyoMatumizi mabaya ya fedha ni kuanza kutoa mikopo kwa wanafunzi wa vyuo vya kati?mbona Huna shukrani,kutoa pembejeo bure kwa wakulima imekuwa matumizi mabaya fedha?
Wahuni wamejenga SGR kwa matirioni ya pesaCCM ni wahuniiiiii
Kwa siku unalipwa shingapi? Siku mbali kwa saa wanakulipa shingapi?Nashukuru jinsi chama cha mapinduzi kinavyoleta maendeleo kwa wananchi
Wanatoa hela za mishahara yao mfukoni ?Wezi wanaowasomeshea watoto bure hadi form six,kuwa na shukrani