Kama wewe upo kwenye makundi haya halafu unakidharau na kukikashifu CCM tarajia laana kukuandama katika maisha yako

Kama wewe upo kwenye makundi haya halafu unakidharau na kukikashifu CCM tarajia laana kukuandama katika maisha yako

Kwa Resources zilizopo nchi ya kusadikika kungekua na sera bora, viongozi wawajibikaji basi kungekua na neema kubwa zaidi ya hivyo vidubwasha ulivyotaja. Nchi ya kusadikika iko static kwa sababu ya sera mbovu, mifumo mibovu na uongozi mbovu unatokana na chama kibovu.
 
5. Kundi la watu ambao mnashinda mitandaoni,kumtukana na kumkashifu mwenyekiti wa chama cha mapinduzi ambae pia ni kiongozi wenu tena mnamtukana kwa mambo ambayo hamna huakika wa uthibitisho,nyie pia hamjachelewa tubuni,kumtukana kiongozi aliyewekwa na Mungu ni kumdharau Mungu.
Anajitukana mwenyewe, hivi inakuingia akilini hospitali dawa hamna, mashule hali mbaya, matumizi mabaya ya fedha za umma huku anasafiri nje na wasanii, ananunua magoli
 
1. Kundi la watu wote ambao hawakuweza kumudu gharama za masomo ya elimu juu,serikali ya chama cha mapinduzi ikachukua jukumu la kuwasomesha tena kwa kutumia gharama kubwa,leo mnatumia usomi wenu kukitukana chama cha mapinduzi, nawaambia laana ipo malangoni mwenu,tubuni Mungu hapendi watu wasiokuwa na shukrani.

2. Kundi la watu wote ambao wamekuta babu zao,wazazi wao wakiwa na itikadi ya chama cha mapinduzi wakalelewa katika maadili mema ya chama cha mapinduzi ,walivyokuwa wakakengeuka na kuanza kuleta itikadi ngeni kwenye ukoo,kundi hili nalionea huruma sana,hakuna laana mbaya kama laana ya kutowatii wazazi,hamjachelewa tubuni.

3. Kundi la wazazi ambao watoto wao wanasoma bure katika shule za serikali hawalipii chochote zaidi ya madaftari ,viatu,na hela ya mtoto ya kula miogo na bado wanapata kiburi cha kukitukana chama cha mapinduzi,nawaambia hawa watoto ni malaika na chama cha mapinduzi kimeamua kuwekeza kwa malaika,uwekezaji huu kwa malaika hautawaacha salama wazazi hawa wasiokuwa na shukrani,tubuni.

4.Kundi la wajasiriamali waliokopeshwa mikopo isiyo na riba na serikali ya chama cha mapinduzi halafu kila kukicha wanashinda mitandaoni kukitukana na chama cha mapinduzi hakika Mungu ataiona sadaka ya chama cha mapinduzi na hatonyamaza,muda bado mnao tubuni kabla laana ijawapata.

5. Kundi la watu ambao mnashinda mitandaoni,kumtukana na kumkashifu mwenyekiti wa chama cha mapinduzi ambae pia ni kiongozi wenu tena mnamtukana kwa mambo ambayo hamna huakika wa uthibitisho,nyie pia hamjachelewa tubuni,kumtukana kiongozi aliyewekwa na Mungu ni kumdharau Mungu.
KATAA LAANA
Basi kuna muda ukijitafakari unajiona bonge la Genius. Hizo tabia zako za kihafidhina kwenye mambo ya muhimu achana nazo hazina tija yeyote kwa taifa na watu wake isipokuwa una mirija ya unyonyaji hivyo unataka kijifichia ndani ya chama.

Usilazimishe mawazo yako wewe yawe mawazo ya wote.
 
Anajitukana mwenyewe, hivi inakuingia akilini hospitali dawa hamna, mashule hali mbaya, matumizi mabaya ya fedha za umma huku anasafiri nje na wasanii, ananunua magoli
Matumizi mabaya ya fedha ni kuanza kutoa mikopo kwa wanafunzi wa vyuo vya kati?mbona Huna shukrani,kutoa pembejeo bure kwa wakulima imekuwa matumizi mabaya fedha?
 
Basi kuna muda ukijitafakari unajiona bonge la Genius. Hizo tabia zako za kihafidhina kwenye mambo ya muhimu achana nazo hazina tija yeyote kwa taifa na watu wake isipokuwa una mirija ya unyonyaji hivyo unataka kijifichia ndani ya chama.

Usilazimishe mawazo yako wewe yawe mawazo ya wote.
Sijakulazimisha ila kuwa na shukrani
 
Matumizi mabaya ya fedha ni kuanza kutoa mikopo kwa wanafunzi wa vyuo vya kati?mbona Huna shukrani,kutoa pembejeo bure kwa wakulima imekuwa matumizi mabaya fedha?
Tena huko usiguse kabisa huko usijaribu kugusa kabisa paache km palivyo
 
Back
Top Bottom