johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
"Narudia tena Tundu Lisu haogopi vita na hana bei"Kama alivyoandika Kabendera ni kweli basi Mbowe na Wenje wasigombee Uchaguzi wa Chadema wawaachie majasiri wawili waliomkabili Shujaa Magufuli bila kumuogopa
Mbowe na Wenje waliohama nchi kwa kumuogopa Magufuli na walirudi Shujaa Magufuli alipozikwa kaburini
Narudia tena Tundu Lisu haogopi Vita na ha Bei
Ahsanteni Sana π
Mlale Unono
Magufuli ni mwanasayansialiye kuwa hamjui magufuli ni mtu wa aina gani basi tumpe pole.
Tangu jamaa akiwa mbunge alikuwa na mambo ya ajabu ajabu sana. Hasa chuki kwa wapinzani. Na hii alikuwa anachukia na kuzila kwendaa sehemu walipo madiwani wa upinzani ndani ya jimbo lake.
Alikuwa ni mtu wa visasi na kutaka kuonekana yeye yupo right way hakupenda kukosolewa. Hii ilionekana hata alipopewa urais.
Kiufupi huyo jamaa na tabia zake alitakiwa kuwa askari lakini sio kuwa kiongozi tena mkuu wa Nchi.
Ila ndio hivyo tena Mungu alitukomboa kutoka kwenye mikono ya damu
π―"Narudia tena Tundu Lisu haogopi vita na hana bei"
Akiyekimbilia ubalozi wa ujerumani alikuwa nani?ππ"Narudia tena Tundu Lisu haogopi vita na hana bei"
Alielekezwa aende ubalozini uwage unaelewa πΌAkiyekimbilia ubalozi wa ujerumani alikuwa nani?ππ
Vitani kwenyewe kuna mahandaki.Unadhani ni kwa ajili ya kuhifadhia vipolo vya dona?Akiyekimbilia ubalozi wa ujerumani alikuwa nani?ππ
Wewe usiposoma Uzi wangu huwa unauza Uduvi! πΌHivi ww dogo usipoanzisha uzi huwa unawashwa?!
Kama alivyoandika Kabendera ni kweli basi Mbowe na Wenje wasigombee Uchaguzi wa Chadema wawaachie majasiri wawili waliomkabili Shujaa Magufuli bila kumuogopa
Mbowe na Wenje waliohama nchi kwa kumuogopa Magufuli na walirudi Shujaa Magufuli alipozikwa kaburini
Narudia tena Tundu Lisu haogopi Vita na ha Bei
Ahsanteni Sana π
Mlale Unono
Acheni ujinga wenu, eti shujaa, tangu lini mtu muoga akaitwa shujaaKama alivyoandika Kabendera ni kweli basi Mbowe na Wenje wasigombee Uchaguzi wa Chadema wawaachie majasiri wawili waliomkabili Shujaa Magufuli bila kumuogopa
Mbowe na Wenje waliohama nchi kwa kumuogopa Magufuli na walirudi Shujaa Magufuli alipozikwa kaburini
Narudia tena Tundu Lisu haogopi Vita na ha Bei
Ahsanteni Sana π
Mlale Unono
Sasa si baada ya kugundua atapelekewa moto kwa mara ya pili, lile jamaa lilikuwa jiwe, jiwe juu ya jiweAlielekezwa aende ubalozini uwage unaelewa πΌ