johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kama alivyoandika Kabendera ni kweli basi Mbowe na Wenje wasigombee Uchaguzi wa Chadema wawaachie majasiri wawili waliomkabili Shujaa Magufuli bila kumuogopa
Mbowe na Wenje waliohama nchi kwa kumuogopa Magufuli na walirudi Shujaa Magufuli alipozikwa kaburini
Narudia tena Tundu Lisu haogopi Vita na ha Bei
Ahsanteni Sana 😃
Mlale Unono
Mbowe na Wenje waliohama nchi kwa kumuogopa Magufuli na walirudi Shujaa Magufuli alipozikwa kaburini
Narudia tena Tundu Lisu haogopi Vita na ha Bei
Ahsanteni Sana 😃
Mlale Unono