Kama Yanga asiposhinda kwa Madiba mods nawaruhusu munipige ban ya wiki

Kama Yanga asiposhinda kwa Madiba mods nawaruhusu munipige ban ya wiki

JamiiForums1381953234.jpg
 
Ninao uhakika kuwa Yanga hivyo tujiandae kumpokea bingwa mpya wa mashindano ya CAF ambae atakutana fainali na muarabu.

YANGA TUJICHANGE PESA YA KWENDA MISRI KABISAAA.
Yanga hata kwa matokeo ya sare tunakwenda nusu fainali, siyo lazima tushinde.
 
Nilichojifunza mpaka sasa kwenye matokeo ya timu 6 kati ya 8 zilizoingia robo fainali; ni kwamba yeyote anaweza kusonga hatua ya nusu fainali. Maana matokeo yote ya hizo timu 6 ni ya 0 kwa 0!

Isipokuwa ni simba pekee ndiyo mpaka sasa imeshayaaga mashindano. Na hii ni baada tu ya kuruhusu kufungwa goli 1-0 na Al Ahly kwenye uwanja wake wa nyumbani. Kuna watu watasema eti simba ataenda kupindua meza ugenini!!

Kimsingi jambo hilo haliwezekani. Ni Yanga pekee ndiyo anaweza kumfunga Mwarabu kwenye uwanja wake wa nyumbani. Simba ikijitahidi, basi ni sare.
 
Nilichojifunza mpaka sasa kwenye matokeo ya timu 6 kati ya 8 zilizoingia robo fainali; ni kwamba yeyote anaweza kusonga hatua ya nusu fainali. Maana matokeo yote ya hizo timu 6 ni ya 0 kwa 0!

Isipokuwa ni simba pekee ndiyo mpaka sasa imeshayaaga mashindano. Na hii ni baada tu ya kuruhusu kufungwa goli 1-0 na Al Ahly kwenye uwanja wake wa nyumbani. Kuna watu watasema eti simba ataenda kupindua meza ugenini!!

Kimsingi jambo hilo haliwezekani. Ni Yanga pekee ndiyo anaweza kumfunga Mwarabu kwenye uwanja wake wa nyumbani. Simba ikijitahidi, basi ni sare.
kweli mzee
 
Back
Top Bottom