Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 3,340
- 4,659
anaomba Ban wakati ana ma ID kibao itasaidia ninBan sio lolote
Sawasawa kwakujua huna akili
sina ID yeyote zaid ya hiianaomba Ban wakati ana ma ID kibao itasaidia nin
Sawasawa kwakujua huna akili
Yanga hata kwa matokeo ya sare tunakwenda nusu fainali, siyo lazima tushinde.Ninao uhakika kuwa Yanga hivyo tujiandae kumpokea bingwa mpya wa mashindano ya CAF ambae atakutana fainali na muarabu.
YANGA TUJICHANGE PESA YA KWENDA MISRI KABISAAA.
HahahahaUlikuwa hujui kama mimi ni hamnazo ndugu yangu.
Mimekuwa nikijiita mimi ndio mjinga wa wajinga, Hujui hilo??
Na mimi pia Mpumbavu kulikoni watu wote.
So inakuwa Rahisi kumu Identify mwenzangu kama Askali JW, JK, MOSAD ,TISS na Codes
kweli mzeeNilichojifunza mpaka sasa kwenye matokeo ya timu 6 kati ya 8 zilizoingia robo fainali; ni kwamba yeyote anaweza kusonga hatua ya nusu fainali. Maana matokeo yote ya hizo timu 6 ni ya 0 kwa 0!
Isipokuwa ni simba pekee ndiyo mpaka sasa imeshayaaga mashindano. Na hii ni baada tu ya kuruhusu kufungwa goli 1-0 na Al Ahly kwenye uwanja wake wa nyumbani. Kuna watu watasema eti simba ataenda kupindua meza ugenini!!
Kimsingi jambo hilo haliwezekani. Ni Yanga pekee ndiyo anaweza kumfunga Mwarabu kwenye uwanja wake wa nyumbani. Simba ikijitahidi, basi ni sare.
Hata mods huwa wanawapuuzaanaomba Ban wakati ana ma ID kibao itasaidia nin