Kama Yanga haikualikwa basi ni kweli TFF ina chuki/mgogoro dhidi ya Yanga

 

Attachments

  • Screenshot_20220812-090631.jpg
    94.4 KB · Views: 3
 

Viongozi wa Yanga wame adopt ujinga wa washabiki wao oyaoya kuwaona viongozi wa TFF kuwa ni maadui wa Yanga hivyo kujenga chuki na dharau kwa TFF yote. Hapa ndiyo kauli ya msemaji wao Haji Manara kuwa ukiwa Yanga hata uwe na PhD unakuwa huna tofauti na kuli tu inapata mashiko. Sonona hii ya viongozi wa Yanga ndiyo inawafanya wanakosa ujasiri wa kushirikiana na TFF na wanaishia kulialia tu kwenye vyombo vya habari kama mtoto aliyeachishwa nyonyo na mama yake.
 
Unaalikaje timu ambayo uongozi wake hauheshimu sheria za TFF, CAF na FIFA? Fuatilia hukumu ya TFF dhidi ya Manara na kuruhusiwa kwake kushiriki siku ya Wananchi na uongozi wa Eng. Hersi! subirini tu najua mnatafuta kufungiwa maana Hatua moja huanzisha nyingine. Ambieni semaji la kimataifa Manara Bugatti liitishe Mkutano wa FIFA!
 
Shida ni Karia tu,, Usimba wake ndo unakuja kuharibu kazi ya Mpira kwa vilabu vyetu
 
Simba amechukua kombe lipi la CUF sababu mafanikio kwenye mpira ni makombe na sio kitu kingine
CUF wana makombe? Yani hata kifupi cha shirikisho la mpira Africa hujui hivi kweli wanakosea kuwaita majina mabaya kweli?
 
Shida ni Karia tu,, Usimba wake ndo unakuja kuharibu kazi ya Mpira kwa vilabu vyetu
Simba walishaalikwa Cameroon na CAF na Yanga hawakualikwa tatizo lilikua ni karia? Heb Kwa mfano sasa vile vilabu 24 vya super League vyote vipo rank ya juu Sana linganisha na Yanga. Tukubali tukatae Yanga ana Safar ndefu kimataifa na kuna level atafikia mialiko ataipata Tu hata kama karia hatak. Tusijifiche kwenye kichaka cha TFF Yanga ina hatua inatakiwa izipige
 
Laiti wangeielewa hii wangefanya ulio wajibu wao.
 
CUF wana makombe? Yani hata kifupi cha shirikisho la mpira Africa hujui hivi kweli wanakosea kuwaita majina mabaya kweli?
Ile ni typing error inamaana wewe tokea uzaliwe hujawah kufanya typing error acha ujinga usipende kujikita kwenye petty issues huo ni ujinga
 
Miongoni mwa habari ambazo zimeshtua baadhi ya wadau wa soka nchini ni habari inayohusiana na kutoalikwa kwa klabu ya Yanga katika Mkutano Mkuu wa Kawaida wa 44 wa CAF uliofanyika jijini Arusha na kufikia kilele tarehe 10 Julai, 2022.
Yanga kutokualikwa sio habari ya kushtua
 
Mfano makombe ya ligi kuu ya NBC yanga ana mengi kuliko Simba ni yupi anapambana kumshusha mwenzake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…