Kama Yanga haikualikwa basi ni kweli TFF ina chuki/mgogoro dhidi ya Yanga

Kama Yanga haikualikwa basi ni kweli TFF ina chuki/mgogoro dhidi ya Yanga

Simba amechukua kombe lipi la CUF sababu mafanikio kwenye mpira ni makombe na sio kitu kingine
Kama hivyo wote tungekua kwenye 20 Bora Africa. Simba na Yanga wote hatujachukua kombe la Africa lkn Simba ni ya 14 ila nyie Malalamiko FC mko nje ya 55 Bora.
 
Ushauri wangu kwa Yanga watulie wajifunze jinsi club za kisasa zinavyoendesha timu zao. Huu ujuaji na kutaka kushindana na Simba hautawasaidia kitu.

Miaka ile walimpiga vita sana George Mpondela alipotaka kuifanya ya kisasa, imagine leo wangekuwa wapi. Wapo wanahangaika na wahuni wa GSM.

Simba sasa hivi focus yao ni kuwa club ya kimataifa zaidi, sidhani kama wanaiwazia sana Yanga.
 
Ninachofahamu Mimi..washiriki ambao hawakuwa wajumbe rasmi walitakiwa kuomba kwa kujaza fomu kwa mtandao na waliokidhi vigezo waliruhusiwa kushiriki kama ilivyokuwa kwa washiriki kutoka timu ya Simba Sports Club.
 
Miongoni mwa habari ambazo zimeshtua baadhi ya wadau wa soka nchini ni habari inayohusiana na kutoalikwa kwa klabu ya Yanga katika Mkutano Mkuu wa Kawaida wa 44 wa CAF uliofanyika jijini Arusha na kufikia kilele tarehe 10 Julai, 2022.

Binafsi nimestaajabishwa si tu kwa kutoalikwa kwa klabu ya Yanga bali pia baadhi ya wadau wengine muhimu katika soka la Tanzania hasa tukizingatia kuwa Mkutano huu wa Mwaka umefanyika katika ardhi ya Tanzania.

Kwa nini nastaajabu? Ninaomba kuelezea shaka yangu kwa mujibu wa namna utaratibu wa uandaaji wa mikutano ya Kimataifa (Multilateral Conference) unavyofanyika.

Kimsingi uandaaji wa mikutano ya kimataifa kama huu wa CAF huratibiwa na pande mbili ikiwa mkutano kama huo unafanyika nje ya makao makuu ya taasisi husika.

Utaratibu upo hivi, chama cha soka/nchi mwanachama inayotaka kuomba kuandaa Mkutano Mkuu wa Mwaka itaiandikia taasisi husika (kwa muktadha huu ni CAF) kwamba inaomba kuandaa Mkutano Mkuu wa Kawaida wa Mwaka (Ordinary General Assembly).

Maombi rasmi yataandikwa kwa Katibu Mkuu wa taasisi kwa maandishi si chini ya miezi sita kabla ya mkutano kuanza.

Kwa mantiki hiyo TFF iliandika kuomba kuandaa Mkutano huu Mkuu wa 44 wa Kawaida wa CAF miezi sita iliyopita (labda Januari, 2022).

Kuthibitisha hilo, Rais wa TFF Warrace Karia aliweka wazi alipohojiwa na waandishi wa habari na hapa ninamnukuu;

"Mimi niliomba mkutano Serikali ikanikubalia..." Mwisho wa kunukuu.

Hivyo baada ya TFF kukubaliwa na Serikali na pia kukubaliwa na CAF taratibu za awali kuandaa mkutano (pre-meeting) zilianza.

Hapo nchi husika au chama cha soka cha nchi husika (kwa muktadha huu TFF) huandaa tarehe na eneo la kufanyika Mkutano kwa mashauriano na mamlaka husika.

Taasisi husika huandaa ajenda ya Mkutano na mlolongo (schedule) ikiwemo kanuni za mwenendo na kuzituma kwa nchi mwanachama au chama cha soka mwanachama.

Baada ya hapo kutakuwa na uratibu wa Mkutano husika.

Kikanuni, uratibu (Coordination) wa Mikutano Mikuu ya Taasisi ya Kimataifa (kama CAF) ambayo hufanyika nje ya Makao Makuu ya Taasisi hufanyika kwa usimamizi wa pande mbili yaani Nchi inayoandaa (kwa muktadha huu TFF) na Taasisi ya Kimataifa (CAF).

Kamati ya uratibu ya nchi husika iliyoandaliwa kusimamia mkutano itahusika kwa huduma zote na vifaa vyote vilivyoahidiwa na nchi inayoandaa katika barua ya maombi ya kuandaa iliyotumwa makao makuu ya taasisi na kukubaliwa na taasisi husika (CAF).

Huduma hizo zitahusisha utawala, usalama, malazi, vifaa mbalimbali, lojistiksi, usafiri n.k (Rejea OAS, 2017: 15).

Hivyo basi kwa mujibu wa kanuni za uandaaji wa Mikutano ya Kimataifa nchi mwanachama (kwa muktadha huu ni chama cha soka mwanachama TFF) hushirikiana na Sekretarieti ya Taasis ya Kimataifa (kwa muktadha huu ni CAF) katika uandaaji na usimamizi wa mkutano mzima kuanzia mwanzo mpaka unapofikia tamati.

Kwa mfano ukisoma muongozo wa mikutano ya OAS inaeleza hivi, 'The General Secretary will present an organization outline and it is hoped that the host country will appoint counterparts responsible for various activities.' (OAS, 2017: 16).

Hivyo basi mkutano wowote wa Kimataifa hauandaliwi na upande mmoja peke yake pale ambapo mkutano huo unafanyika nje ya makao makuu yake. Kwa mantiki hiyo TFF wameratibu mkutano huu kwa kushirikiana na CAF.

Miongoni mwa mambo muhimu yanayozingatiwa katika mikutano kama hii ni wageni wanaoalikwa.

Tukitazama mkutano wa mwaka wa 44 wa CAF tunaona kuwa mgeni rasmi alikuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Kassim Majaliwa Majaliwa.

Kitendo cha kualikwa kwa Waziri Mkuu maana yake Mkutano huu ulikuwa na usalama wa hali ya juu.

Kwa mantiki hiyo hakuna mtu yeyote au taasisi yoyote ambayo ingeweza kuomba kushiriki Mkutano huu wa CAF pasina kualikwa na TFF au CAF.

Kwa mujibu wa kanuni za uandaaji wa mikutano ya Kimataifa CAF walikuwa na wajibu wa kualika viongozi wa Kimataifa huku TFF wakialika wadau mbalimbali wa Tanzania kwa kuzingatia muongozo wa uratibu wa pamoja.

Hivyo kitendo cha Yanga kutoalikwa kinatoa ishara kuwa TFF ama kwa bahati mbaya ama kwa makusudi haikuialika klabu ya Yanga jambo ambalo ni la kustaajabisha. Kwa nini ni la kustaajabisha?

Rejea maneno ya Rais wa CAF Patrice Motsepe pindi alipohojiwa na waandishi wa habari na kuambiwa 'Welcome to Tanzania' (Karibu Tanzania) hakupenda kuambiwa hivyo badala yake akawataka waseme 'Welcome home' na kuandelea kuwaambia:

"Tanzania is my home, Tanzania is his home (akimshika bega Gianni Infantino Rais wa FIFA), Tanzania is home of alla of us! Very special country! Very special history"

Rais wa CAF Patrice Motsepe anawakumbusha watanzania na dunia kuwa Tanzania si nchi ya ugenini kwake bali ni sawa na yupo nyumbani kwao Afrika Kusini kwa nini Motsepe anaamini hivi?

Motsepe aliendelea kusema:

"I'm from South Africa and the relationship between the people of Tanzania and the people of South Africa, their contribution towards our freedom...so we have got a deep deep emotional past."

Motsepe alijaribu kuwakumbusha watanzania jinsi Afrika Kusini inavyoiheshimu Tanzania na ahadi aliyoacha Mzee Nelson Mandela kuwa siku zote za maisha yao waikumbuke Tanzania na wawakumbuke watanzania.

Miongoni mwa mambo ya muhimu katika historia hii adhimu aliyotukumbushia Rais Motsepe (Rais wa CAF) ambayo labda viongozi wa TFF hawaifahamu au labda wanaifahamu lakini wameamua tu kudharau kwa utashi wao ni ushiriki wa Klabu ya Yanga katika harakati za Ukombozi wa Bara la Afrika ikiwemo Ukombozi wa Afrika Kusini dhidi ya Walowezi wachache.

Inawezekana wachache kati ya watanzania wengi wanaotambua kuwa wakati wa harakati za Ukombozi wa Bara la Afrika jengo la klabu ya Yanga lilitumika kama eneo la vikao vya siri baina ya Mwalimu Nyerere na wapigania Uhuru wa Tanganyika huku nje ya jengo hilo kundi la Taarabu la Egyptian Musical Club likitumbuiza ili kuwapumbaza wakoloni wakati ndani vikao vikiendelea (Rejea kitabu cha Muungano wa Tanganyika na Zanzibar: Chimbuko, Misingi na Maendeleo (2022) ukurasa wa 48 mpaka 49.

Inawezekana wengi ndani ya TFF hawafahamu kuwa Yanga ndiyo klabu iliyokataa kutumiwa na vibaraka wa wakoloni ili kuzorotesha harakati za Uhuru wa Tanganyika tofauti na watani wao ambao walikubali kutumika.

Na inawezekana kabisa kuwa wengi ndani ya TFF hawafahamu kabisa kuwa Klabu ya Yanga imetambuliwa na Umoja wa Afrika (African Union) kama alama ya Urithi wa Ukombozi Afrika katika Programu ya Urithi wa Ukombozi wa Bara la Afrika ijulikanayo kama "The 'Roads to Independence in Africa: The African Liberation Heritage Programme''.

Hivyo Motsepe anatambua vema umuhimu wa Tanzania katika Ukombozi wa Afrika na hivyo uwepo wa Yanga katika Mkutano huo wa CAF ulikuwa na umuhimu wa kipekee kutokana na historia ya Yanga katika harakati za Ukombozi wa Bara la Afrika.

Lakini labda kama hayo yote yangekuwa hayana maana, basi labda Yanga ingealikwa kama klabu iliyobeba kombe la ligi kuu mara nyingi kuliko klabu yoyote nchini au labda ingealikwa kama klabu bingwa ya ligi kuu ya Tanzania msimu uliopita huku ikiwa imefanikiwa kunyakua makombe yote yaliyogombewa msimu wa 2021/2021.

Vinginevyo, nina shaka kama Yanga haikualikwa katika Mkutano huo wa CAF ni wazi kuwa kuna chuki/mgogoro wa TFF dhidi ya Klabu ya Yanga hasa tukizingatia utaratibu wa uandaaji wa mikutano kama hiyo na nani mwenye mamlaka ya kualika washiriki wa mkutano.

Rejea OAS (2017) Operational Handbook for the Organization of Meetings and Conferences away from Headquarters.
CAF walizingatia ule msemo wa "birds of feather flock together"... Yanga wanaflock na kina manara.
 
Miongoni mwa habari ambazo zimeshtua baadhi ya wadau wa soka nchini ni habari inayohusiana na kutoalikwa kwa klabu ya Yanga katika Mkutano Mkuu wa Kawaida wa 44 wa CAF uliofanyika jijini Arusha na kufikia kilele tarehe 10 Julai, 2022.

Binafsi nimestaajabishwa si tu kwa kutoalikwa kwa klabu ya Yanga bali pia baadhi ya wadau wengine muhimu katika soka la Tanzania hasa tukizingatia kuwa Mkutano huu wa Mwaka umefanyika katika ardhi ya Tanzania.

Kwa nini nastaajabu? Ninaomba kuelezea shaka yangu kwa mujibu wa namna utaratibu wa uandaaji wa mikutano ya Kimataifa (Multilateral Conference) unavyofanyika.

Kimsingi uandaaji wa mikutano ya kimataifa kama huu wa CAF huratibiwa na pande mbili ikiwa mkutano kama huo unafanyika nje ya makao makuu ya taasisi husika.

Utaratibu upo hivi, chama cha soka/nchi mwanachama inayotaka kuomba kuandaa Mkutano Mkuu wa Mwaka itaiandikia taasisi husika (kwa muktadha huu ni CAF) kwamba inaomba kuandaa Mkutano Mkuu wa Kawaida wa Mwaka (Ordinary General Assembly).

Maombi rasmi yataandikwa kwa Katibu Mkuu wa taasisi kwa maandishi si chini ya miezi sita kabla ya mkutano kuanza.

Kwa mantiki hiyo TFF iliandika kuomba kuandaa Mkutano huu Mkuu wa 44 wa Kawaida wa CAF miezi sita iliyopita (labda Januari, 2022).

Kuthibitisha hilo, Rais wa TFF Warrace Karia aliweka wazi alipohojiwa na waandishi wa habari na hapa ninamnukuu;

"Mimi niliomba mkutano Serikali ikanikubalia..." Mwisho wa kunukuu.

Hivyo baada ya TFF kukubaliwa na Serikali na pia kukubaliwa na CAF taratibu za awali kuandaa mkutano (pre-meeting) zilianza.

Hapo nchi husika au chama cha soka cha nchi husika (kwa muktadha huu TFF) huandaa tarehe na eneo la kufanyika Mkutano kwa mashauriano na mamlaka husika.

Taasisi husika huandaa ajenda ya Mkutano na mlolongo (schedule) ikiwemo kanuni za mwenendo na kuzituma kwa nchi mwanachama au chama cha soka mwanachama.

Baada ya hapo kutakuwa na uratibu wa Mkutano husika.

Kikanuni, uratibu (Coordination) wa Mikutano Mikuu ya Taasisi ya Kimataifa (kama CAF) ambayo hufanyika nje ya Makao Makuu ya Taasisi hufanyika kwa usimamizi wa pande mbili yaani Nchi inayoandaa (kwa muktadha huu TFF) na Taasisi ya Kimataifa (CAF).

Kamati ya uratibu ya nchi husika iliyoandaliwa kusimamia mkutano itahusika kwa huduma zote na vifaa vyote vilivyoahidiwa na nchi inayoandaa katika barua ya maombi ya kuandaa iliyotumwa makao makuu ya taasisi na kukubaliwa na taasisi husika (CAF).

Huduma hizo zitahusisha utawala, usalama, malazi, vifaa mbalimbali, lojistiksi, usafiri n.k (Rejea OAS, 2017: 15).

Hivyo basi kwa mujibu wa kanuni za uandaaji wa Mikutano ya Kimataifa nchi mwanachama (kwa muktadha huu ni chama cha soka mwanachama TFF) hushirikiana na Sekretarieti ya Taasis ya Kimataifa (kwa muktadha huu ni CAF) katika uandaaji na usimamizi wa mkutano mzima kuanzia mwanzo mpaka unapofikia tamati.

Kwa mfano ukisoma muongozo wa mikutano ya OAS inaeleza hivi, 'The General Secretary will present an organization outline and it is hoped that the host country will appoint counterparts responsible for various activities.' (OAS, 2017: 16).

Hivyo basi mkutano wowote wa Kimataifa hauandaliwi na upande mmoja peke yake pale ambapo mkutano huo unafanyika nje ya makao makuu yake. Kwa mantiki hiyo TFF wameratibu mkutano huu kwa kushirikiana na CAF.

Miongoni mwa mambo muhimu yanayozingatiwa katika mikutano kama hii ni wageni wanaoalikwa.

Tukitazama mkutano wa mwaka wa 44 wa CAF tunaona kuwa mgeni rasmi alikuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Kassim Majaliwa Majaliwa.

Kitendo cha kualikwa kwa Waziri Mkuu maana yake Mkutano huu ulikuwa na usalama wa hali ya juu.

Kwa mantiki hiyo hakuna mtu yeyote au taasisi yoyote ambayo ingeweza kuomba kushiriki Mkutano huu wa CAF pasina kualikwa na TFF au CAF.

Kwa mujibu wa kanuni za uandaaji wa mikutano ya Kimataifa CAF walikuwa na wajibu wa kualika viongozi wa Kimataifa huku TFF wakialika wadau mbalimbali wa Tanzania kwa kuzingatia muongozo wa uratibu wa pamoja.

Hivyo kitendo cha Yanga kutoalikwa kinatoa ishara kuwa TFF ama kwa bahati mbaya ama kwa makusudi haikuialika klabu ya Yanga jambo ambalo ni la kustaajabisha. Kwa nini ni la kustaajabisha?

Rejea maneno ya Rais wa CAF Patrice Motsepe pindi alipohojiwa na waandishi wa habari na kuambiwa 'Welcome to Tanzania' (Karibu Tanzania) hakupenda kuambiwa hivyo badala yake akawataka waseme 'Welcome home' na kuandelea kuwaambia:

"Tanzania is my home, Tanzania is his home (akimshika bega Gianni Infantino Rais wa FIFA), Tanzania is home of alla of us! Very special country! Very special history"

Rais wa CAF Patrice Motsepe anawakumbusha watanzania na dunia kuwa Tanzania si nchi ya ugenini kwake bali ni sawa na yupo nyumbani kwao Afrika Kusini kwa nini Motsepe anaamini hivi?

Motsepe aliendelea kusema:

"I'm from South Africa and the relationship between the people of Tanzania and the people of South Africa, their contribution towards our freedom...so we have got a deep deep emotional past."

Motsepe alijaribu kuwakumbusha watanzania jinsi Afrika Kusini inavyoiheshimu Tanzania na ahadi aliyoacha Mzee Nelson Mandela kuwa siku zote za maisha yao waikumbuke Tanzania na wawakumbuke watanzania.

Miongoni mwa mambo ya muhimu katika historia hii adhimu aliyotukumbushia Rais Motsepe (Rais wa CAF) ambayo labda viongozi wa TFF hawaifahamu au labda wanaifahamu lakini wameamua tu kudharau kwa utashi wao ni ushiriki wa Klabu ya Yanga katika harakati za Ukombozi wa Bara la Afrika ikiwemo Ukombozi wa Afrika Kusini dhidi ya Walowezi wachache.

Inawezekana wachache kati ya watanzania wengi wanaotambua kuwa wakati wa harakati za Ukombozi wa Bara la Afrika jengo la klabu ya Yanga lilitumika kama eneo la vikao vya siri baina ya Mwalimu Nyerere na wapigania Uhuru wa Tanganyika huku nje ya jengo hilo kundi la Taarabu la Egyptian Musical Club likitumbuiza ili kuwapumbaza wakoloni wakati ndani vikao vikiendelea (Rejea kitabu cha Muungano wa Tanganyika na Zanzibar: Chimbuko, Misingi na Maendeleo (2022) ukurasa wa 48 mpaka 49.

Inawezekana wengi ndani ya TFF hawafahamu kuwa Yanga ndiyo klabu iliyokataa kutumiwa na vibaraka wa wakoloni ili kuzorotesha harakati za Uhuru wa Tanganyika tofauti na watani wao ambao walikubali kutumika.

Na inawezekana kabisa kuwa wengi ndani ya TFF hawafahamu kabisa kuwa Klabu ya Yanga imetambuliwa na Umoja wa Afrika (African Union) kama alama ya Urithi wa Ukombozi Afrika katika Programu ya Urithi wa Ukombozi wa Bara la Afrika ijulikanayo kama "The 'Roads to Independence in Africa: The African Liberation Heritage Programme''.

Hivyo Motsepe anatambua vema umuhimu wa Tanzania katika Ukombozi wa Afrika na hivyo uwepo wa Yanga katika Mkutano huo wa CAF ulikuwa na umuhimu wa kipekee kutokana na historia ya Yanga katika harakati za Ukombozi wa Bara la Afrika.

Lakini labda kama hayo yote yangekuwa hayana maana, basi labda Yanga ingealikwa kama klabu iliyobeba kombe la ligi kuu mara nyingi kuliko klabu yoyote nchini au labda ingealikwa kama klabu bingwa ya ligi kuu ya Tanzania msimu uliopita huku ikiwa imefanikiwa kunyakua makombe yote yaliyogombewa msimu wa 2021/2021.

Vinginevyo, nina shaka kama Yanga haikualikwa katika Mkutano huo wa CAF ni wazi kuwa kuna chuki/mgogoro wa TFF dhidi ya Klabu ya Yanga hasa tukizingatia utaratibu wa uandaaji wa mikutano kama hiyo na nani mwenye mamlaka ya kualika washiriki wa mkutano.

Rejea OAS (2017) Operational Handbook for the Organization of Meetings and Conferences away from Headquarters.
Yaani hii riwaya yote hii ni kulalamikia kutoalikwa kwenye mkutano wa CAF tu au kuna jambo jingine?!
Naona mpaka historia ya Uhuru na mapambano dhidi ya Makaburu!!
Sioni Geita Gold FC, Coastal Union, Namungo FC wakilalamika!! Tatizo mnazidi kujiweka juu sana isivyo na kujiona wenye haki kila eneo. Sijui ni hasara gani mnaihesabu mmepata!
Vigezo vya kualikwa vikoje?
 
Hii timu Ina wapumbavu wengi ,kila kitu kulalamika ,mgealikwa mkekuja na malalamiko mengine hatualikwa vizuri au hatukupewa nafasi ya kutoa maoni kwenye mkutano.

Hebu oneni aibu basi, viongozi wenu ni wapumbavu ni watu wa visasi na kulalamika ,huyo huyo Rais wa TFF majuzi mnataka kwenda kuandamana halafu awaite tena mlete vurugu? Mbona mnakuwa wapumbavu, hivi Yanga watu wenye busara ndo hamna kabisa wamebaki wenye vinyesi kwenye bongo? Kila kona kulalamika ,hata mgealikwa mgesema hatuendi TFF inajipendekeza.
 
Hutakiwi kuongea usichokijua. Jengo la Yanga linalotajwa si hili la Twiga na Swahili street. Jengo la Yanga kabla ya Uhuru lipo mpaka Leo uliza wazee wako watakwambia liko wapi?
Nadhani ni mtaa wa mafia,mpaka Leo lipo na Lina frem watu wanauza spea za pikipiki
 
Yanga bado haijafika viwango vya kimataifa hivyo hawapaswi kulalamika kutopewa nafasi ya kushiriki mashindano ya kimataifa. Pia hata kama wangepewa nafasi bado wasingekuwa na watu wenye weledi wa kuwawakilisha kwenye mkutano kama ule. Wawakilishi wa Yanga wangepata nafasi ya kwenda mkutanoni wangeingiza nchi kwenye aibu isiyoelezeka. Mtu kama Manara aliyemtupia maneno ya hovyo waziri mhusika asingeshindwa kumtupia maneno ya hovyo Rais wa CAF au FIFA. Au wangewakilishwa na Mzee Mpili? Pia Yanga iliyo na viongozi waliokosa nidhamu kwa vyovyote vile wasingealikwa kwa sababu mkutano ule una mkono mzito wa serikali ambayo Waziri wake ndo huyo katupiwa maneno machafu na Manara.
 
Ushauri wangu kwa Yanga watulie wajifunze jinsi club za kisasa zinavyoendesha timu zao. Huu ujuaji na kutaka kushindana na Simba hautawasaidia kitu.

Miaka ile walimpiga vita sana George Mpondela alipotaka kuifanya ya kisasa, imagine leo wangekuwa wapi. Wapo wanahangaika na wahuni wa GSM.

Simba sasa hivi focus yao ni kuwa club ya kimataifa zaidi, sidhani kama wanaiwazia sana Yanga.
Jumamos wapange kikosi b kama hawaiwazii Yanga
 
Yanga bado haijafika viwango vya kimataifa hivyo hawapaswi kulalamika kutopewa nafasi ya kushiriki mashindano ya kimataifa. Pia hata kama wangepewa nafasi bado wasingekuwa na watu wenye weledi wa kuwawakilisha kwenye mkutano kama ule. Wawakilishi wa Yanga wangepata nafasi ya kwenda mkutanoni wangeingiza nchi kwenye aibu isiyoelezeka. Mtu kama Manara aliyemtupia maneno ya hovyo waziri mhusika asingeshindwa kumtupia maneno ya hovyo Rais wa CAF au FIFA. Au wangewakilishwa na Mzee Mpili? Pia Yanga iliyo na viongozi waliokosa nidhamu kwa vyovyote vile wasingealikwa kwa sababu mkutano ule una mkono mzito wa serikali ambayo Waziri wake ndo huyo katupiwa maneno machafu na Manara.
Manara amefunguwi Ila nchi hii ujinga ni janga la kitaifa
 
senzo ni brand kubwa Africa, kiufupi Senzo ni mkubwa kuliko Yanga.

Let’s be fair kweli unaweza kumualika mtu kama Manara mule ndani? Vipi ikitokea amtukane Rais wa FIfA dunian hiyo aibu Taifa tutaiweka wapi?
[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji3][emoji38]
 
Miongoni mwa habari ambazo zimeshtua baadhi ya wadau wa soka nchini ni habari inayohusiana na kutoalikwa kwa klabu ya Yanga katika Mkutano Mkuu wa Kawaida wa 44 wa CAF uliofanyika jijini Arusha na kufikia kilele tarehe 10 Julai, 2022.

Binafsi nimestaajabishwa si tu kwa kutoalikwa kwa klabu ya Yanga bali pia baadhi ya wadau wengine muhimu katika soka la Tanzania hasa tukizingatia kuwa Mkutano huu wa Mwaka umefanyika katika ardhi ya Tanzania.

Kwa nini nastaajabu? Ninaomba kuelezea shaka yangu kwa mujibu wa namna utaratibu wa uandaaji wa mikutano ya Kimataifa (Multilateral Conference) unavyofanyika.

Kimsingi uandaaji wa mikutano ya kimataifa kama huu wa CAF huratibiwa na pande mbili ikiwa mkutano kama huo unafanyika nje ya makao makuu ya taasisi husika.

Utaratibu upo hivi, chama cha soka/nchi mwanachama inayotaka kuomba kuandaa Mkutano Mkuu wa Mwaka itaiandikia taasisi husika (kwa muktadha huu ni CAF) kwamba inaomba kuandaa Mkutano Mkuu wa Kawaida wa Mwaka (Ordinary General Assembly).

Maombi rasmi yataandikwa kwa Katibu Mkuu wa taasisi kwa maandishi si chini ya miezi sita kabla ya mkutano kuanza.

Kwa mantiki hiyo TFF iliandika kuomba kuandaa Mkutano huu Mkuu wa 44 wa Kawaida wa CAF miezi sita iliyopita (labda Januari, 2022).

Kuthibitisha hilo, Rais wa TFF Warrace Karia aliweka wazi alipohojiwa na waandishi wa habari na hapa ninamnukuu;

"Mimi niliomba mkutano Serikali ikanikubalia..." Mwisho wa kunukuu.

Hivyo baada ya TFF kukubaliwa na Serikali na pia kukubaliwa na CAF taratibu za awali kuandaa mkutano (pre-meeting) zilianza.

Hapo nchi husika au chama cha soka cha nchi husika (kwa muktadha huu TFF) huandaa tarehe na eneo la kufanyika Mkutano kwa mashauriano na mamlaka husika.

Taasisi husika huandaa ajenda ya Mkutano na mlolongo (schedule) ikiwemo kanuni za mwenendo na kuzituma kwa nchi mwanachama au chama cha soka mwanachama.

Baada ya hapo kutakuwa na uratibu wa Mkutano husika.

Kikanuni, uratibu (Coordination) wa Mikutano Mikuu ya Taasisi ya Kimataifa (kama CAF) ambayo hufanyika nje ya Makao Makuu ya Taasisi hufanyika kwa usimamizi wa pande mbili yaani Nchi inayoandaa (kwa muktadha huu TFF) na Taasisi ya Kimataifa (CAF).

Kamati ya uratibu ya nchi husika iliyoandaliwa kusimamia mkutano itahusika kwa huduma zote na vifaa vyote vilivyoahidiwa na nchi inayoandaa katika barua ya maombi ya kuandaa iliyotumwa makao makuu ya taasisi na kukubaliwa na taasisi husika (CAF).

Huduma hizo zitahusisha utawala, usalama, malazi, vifaa mbalimbali, lojistiksi, usafiri n.k (Rejea OAS, 2017: 15).

Hivyo basi kwa mujibu wa kanuni za uandaaji wa Mikutano ya Kimataifa nchi mwanachama (kwa muktadha huu ni chama cha soka mwanachama TFF) hushirikiana na Sekretarieti ya Taasis ya Kimataifa (kwa muktadha huu ni CAF) katika uandaaji na usimamizi wa mkutano mzima kuanzia mwanzo mpaka unapofikia tamati.

Kwa mfano ukisoma muongozo wa mikutano ya OAS inaeleza hivi, 'The General Secretary will present an organization outline and it is hoped that the host country will appoint counterparts responsible for various activities.' (OAS, 2017: 16).

Hivyo basi mkutano wowote wa Kimataifa hauandaliwi na upande mmoja peke yake pale ambapo mkutano huo unafanyika nje ya makao makuu yake. Kwa mantiki hiyo TFF wameratibu mkutano huu kwa kushirikiana na CAF.

Miongoni mwa mambo muhimu yanayozingatiwa katika mikutano kama hii ni wageni wanaoalikwa.

Tukitazama mkutano wa mwaka wa 44 wa CAF tunaona kuwa mgeni rasmi alikuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Kassim Majaliwa Majaliwa.

Kitendo cha kualikwa kwa Waziri Mkuu maana yake Mkutano huu ulikuwa na usalama wa hali ya juu.

Kwa mantiki hiyo hakuna mtu yeyote au taasisi yoyote ambayo ingeweza kuomba kushiriki Mkutano huu wa CAF pasina kualikwa na TFF au CAF.

Kwa mujibu wa kanuni za uandaaji wa mikutano ya Kimataifa CAF walikuwa na wajibu wa kualika viongozi wa Kimataifa huku TFF wakialika wadau mbalimbali wa Tanzania kwa kuzingatia muongozo wa uratibu wa pamoja.

Hivyo kitendo cha Yanga kutoalikwa kinatoa ishara kuwa TFF ama kwa bahati mbaya ama kwa makusudi haikuialika klabu ya Yanga jambo ambalo ni la kustaajabisha. Kwa nini ni la kustaajabisha?

Rejea maneno ya Rais wa CAF Patrice Motsepe pindi alipohojiwa na waandishi wa habari na kuambiwa 'Welcome to Tanzania' (Karibu Tanzania) hakupenda kuambiwa hivyo badala yake akawataka waseme 'Welcome home' na kuandelea kuwaambia:

"Tanzania is my home, Tanzania is his home (akimshika bega Gianni Infantino Rais wa FIFA), Tanzania is home of alla of us! Very special country! Very special history"

Rais wa CAF Patrice Motsepe anawakumbusha watanzania na dunia kuwa Tanzania si nchi ya ugenini kwake bali ni sawa na yupo nyumbani kwao Afrika Kusini kwa nini Motsepe anaamini hivi?

Motsepe aliendelea kusema:

"I'm from South Africa and the relationship between the people of Tanzania and the people of South Africa, their contribution towards our freedom...so we have got a deep deep emotional past."

Motsepe alijaribu kuwakumbusha watanzania jinsi Afrika Kusini inavyoiheshimu Tanzania na ahadi aliyoacha Mzee Nelson Mandela kuwa siku zote za maisha yao waikumbuke Tanzania na wawakumbuke watanzania.

Miongoni mwa mambo ya muhimu katika historia hii adhimu aliyotukumbushia Rais Motsepe (Rais wa CAF) ambayo labda viongozi wa TFF hawaifahamu au labda wanaifahamu lakini wameamua tu kudharau kwa utashi wao ni ushiriki wa Klabu ya Yanga katika harakati za Ukombozi wa Bara la Afrika ikiwemo Ukombozi wa Afrika Kusini dhidi ya Walowezi wachache.

Inawezekana wachache kati ya watanzania wengi wanaotambua kuwa wakati wa harakati za Ukombozi wa Bara la Afrika jengo la klabu ya Yanga lilitumika kama eneo la vikao vya siri baina ya Mwalimu Nyerere na wapigania Uhuru wa Tanganyika huku nje ya jengo hilo kundi la Taarabu la Egyptian Musical Club likitumbuiza ili kuwapumbaza wakoloni wakati ndani vikao vikiendelea (Rejea kitabu cha Muungano wa Tanganyika na Zanzibar: Chimbuko, Misingi na Maendeleo (2022) ukurasa wa 48 mpaka 49.

Inawezekana wengi ndani ya TFF hawafahamu kuwa Yanga ndiyo klabu iliyokataa kutumiwa na vibaraka wa wakoloni ili kuzorotesha harakati za Uhuru wa Tanganyika tofauti na watani wao ambao walikubali kutumika.

Na inawezekana kabisa kuwa wengi ndani ya TFF hawafahamu kabisa kuwa Klabu ya Yanga imetambuliwa na Umoja wa Afrika (African Union) kama alama ya Urithi wa Ukombozi Afrika katika Programu ya Urithi wa Ukombozi wa Bara la Afrika ijulikanayo kama "The 'Roads to Independence in Africa: The African Liberation Heritage Programme''.

Hivyo Motsepe anatambua vema umuhimu wa Tanzania katika Ukombozi wa Afrika na hivyo uwepo wa Yanga katika Mkutano huo wa CAF ulikuwa na umuhimu wa kipekee kutokana na historia ya Yanga katika harakati za Ukombozi wa Bara la Afrika.

Lakini labda kama hayo yote yangekuwa hayana maana, basi labda Yanga ingealikwa kama klabu iliyobeba kombe la ligi kuu mara nyingi kuliko klabu yoyote nchini au labda ingealikwa kama klabu bingwa ya ligi kuu ya Tanzania msimu uliopita huku ikiwa imefanikiwa kunyakua makombe yote yaliyogombewa msimu wa 2021/2021.

Vinginevyo, nina shaka kama Yanga haikualikwa katika Mkutano huo wa CAF ni wazi kuwa kuna chuki/mgogoro wa TFF dhidi ya Klabu ya Yanga hasa tukizingatia utaratibu wa uandaaji wa mikutano kama hiyo na nani mwenye mamlaka ya kualika washiriki wa mkutano.

Rejea OAS (2017) Operational Handbook for the Organization of Meetings and Conferences away from Headquarters.
Manara kafungua ID JF tutapata tabu sana
 
Na nyie mnapenda kulalamika Sana sasa kama hawajatambua uwepo wenu kwa nini mlazimishe uwepo wenu.kwan kule wanagawa hela kwamba mmezikosa acheni uswahili na ushamba usio na maana

Yan we ndio hamnazo kabisa
 
Nimeishia hapo uliposema ushiriki wa Yanga kwenye ukombozi wa kudai uhuru
Hilo inapinga!?..pole...inaitwa timu ya wananchi kwa kuwa ile nyingine ilikua ya wahindi,raia daraja la pili wakati wa ukoloni,haikua na time na uhuru
 
Back
Top Bottom