Kama Yanga haikualikwa basi ni kweli TFF ina chuki/mgogoro dhidi ya Yanga

Kama Yanga haikualikwa basi ni kweli TFF ina chuki/mgogoro dhidi ya Yanga

Habari iwafikie, malalamiko FC.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2321214
Hii club imekaa kipumbavu sana,haiwezekani kila siku TFF inakuwa inatoa matamko badala ya kushughulika na mambo ya msingi.
Club imewekeza zaidi kutengeneza chuki za kisenge
asante baba kwa kutonifanya Uto
 
Miongoni mwa habari ambazo zimeshtua baadhi ya wadau wa soka nchini ni habari inayohusiana na kutoalikwa kwa klabu ya Yanga katika Mkutano Mkuu wa Kawaida wa 44 wa CAF uliofanyika jijini Arusha na kufikia kilele tarehe 10 Julai, 2022.

Binafsi nimestaajabishwa si tu kwa kutoalikwa kwa klabu ya Yanga bali pia baadhi ya wadau wengine muhimu katika soka la Tanzania hasa tukizingatia kuwa Mkutano huu wa Mwaka umefanyika katika ardhi ya Tanzania.

Kwa nini nastaajabu? Ninaomba kuelezea shaka yangu kwa mujibu wa namna utaratibu wa uandaaji wa mikutano ya Kimataifa (Multilateral Conference) unavyofanyika.

Kimsingi uandaaji wa mikutano ya kimataifa kama huu wa CAF huratibiwa na pande mbili ikiwa mkutano kama huo unafanyika nje ya makao makuu ya taasisi husika.

Utaratibu upo hivi, chama cha soka/nchi mwanachama inayotaka kuomba kuandaa Mkutano Mkuu wa Mwaka itaiandikia taasisi husika (kwa muktadha huu ni CAF) kwamba inaomba kuandaa Mkutano Mkuu wa Kawaida wa Mwaka (Ordinary General Assembly).

Maombi rasmi yataandikwa kwa Katibu Mkuu wa taasisi kwa maandishi si chini ya miezi sita kabla ya mkutano kuanza.

Kwa mantiki hiyo TFF iliandika kuomba kuandaa Mkutano huu Mkuu wa 44 wa Kawaida wa CAF miezi sita iliyopita (labda Januari, 2022).

Kuthibitisha hilo, Rais wa TFF Warrace Karia aliweka wazi alipohojiwa na waandishi wa habari na hapa ninamnukuu;

"Mimi niliomba mkutano Serikali ikanikubalia..." Mwisho wa kunukuu.

Hivyo baada ya TFF kukubaliwa na Serikali na pia kukubaliwa na CAF taratibu za awali kuandaa mkutano (pre-meeting) zilianza.

Hapo nchi husika au chama cha soka cha nchi husika (kwa muktadha huu TFF) huandaa tarehe na eneo la kufanyika Mkutano kwa mashauriano na mamlaka husika.

Taasisi husika huandaa ajenda ya Mkutano na mlolongo (schedule) ikiwemo kanuni za mwenendo na kuzituma kwa nchi mwanachama au chama cha soka mwanachama.

Baada ya hapo kutakuwa na uratibu wa Mkutano husika.

Kikanuni, uratibu (Coordination) wa Mikutano Mikuu ya Taasisi ya Kimataifa (kama CAF) ambayo hufanyika nje ya Makao Makuu ya Taasisi hufanyika kwa usimamizi wa pande mbili yaani Nchi inayoandaa (kwa muktadha huu TFF) na Taasisi ya Kimataifa (CAF).

Kamati ya uratibu ya nchi husika iliyoandaliwa kusimamia mkutano itahusika kwa huduma zote na vifaa vyote vilivyoahidiwa na nchi inayoandaa katika barua ya maombi ya kuandaa iliyotumwa makao makuu ya taasisi na kukubaliwa na taasisi husika (CAF).

Huduma hizo zitahusisha utawala, usalama, malazi, vifaa mbalimbali, lojistiksi, usafiri n.k (Rejea OAS, 2017: 15).

Hivyo basi kwa mujibu wa kanuni za uandaaji wa Mikutano ya Kimataifa nchi mwanachama (kwa muktadha huu ni chama cha soka mwanachama TFF) hushirikiana na Sekretarieti ya Taasis ya Kimataifa (kwa muktadha huu ni CAF) katika uandaaji na usimamizi wa mkutano mzima kuanzia mwanzo mpaka unapofikia tamati.

Kwa mfano ukisoma muongozo wa mikutano ya OAS inaeleza hivi, 'The General Secretary will present an organization outline and it is hoped that the host country will appoint counterparts responsible for various activities.' (OAS, 2017: 16).

Hivyo basi mkutano wowote wa Kimataifa hauandaliwi na upande mmoja peke yake pale ambapo mkutano huo unafanyika nje ya makao makuu yake. Kwa mantiki hiyo TFF wameratibu mkutano huu kwa kushirikiana na CAF.

Miongoni mwa mambo muhimu yanayozingatiwa katika mikutano kama hii ni wageni wanaoalikwa.

Tukitazama mkutano wa mwaka wa 44 wa CAF tunaona kuwa mgeni rasmi alikuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Kassim Majaliwa Majaliwa.

Kitendo cha kualikwa kwa Waziri Mkuu maana yake Mkutano huu ulikuwa na usalama wa hali ya juu.

Kwa mantiki hiyo hakuna mtu yeyote au taasisi yoyote ambayo ingeweza kuomba kushiriki Mkutano huu wa CAF pasina kualikwa na TFF au CAF.

Kwa mujibu wa kanuni za uandaaji wa mikutano ya Kimataifa CAF walikuwa na wajibu wa kualika viongozi wa Kimataifa huku TFF wakialika wadau mbalimbali wa Tanzania kwa kuzingatia muongozo wa uratibu wa pamoja.

Hivyo kitendo cha Yanga kutoalikwa kinatoa ishara kuwa TFF ama kwa bahati mbaya ama kwa makusudi haikuialika klabu ya Yanga jambo ambalo ni la kustaajabisha. Kwa nini ni la kustaajabisha?

Rejea maneno ya Rais wa CAF Patrice Motsepe pindi alipohojiwa na waandishi wa habari na kuambiwa 'Welcome to Tanzania' (Karibu Tanzania) hakupenda kuambiwa hivyo badala yake akawataka waseme 'Welcome home' na kuandelea kuwaambia:

"Tanzania is my home, Tanzania is his home (akimshika bega Gianni Infantino Rais wa FIFA), Tanzania is home of alla of us! Very special country! Very special history"

Rais wa CAF Patrice Motsepe anawakumbusha watanzania na dunia kuwa Tanzania si nchi ya ugenini kwake bali ni sawa na yupo nyumbani kwao Afrika Kusini kwa nini Motsepe anaamini hivi?

Motsepe aliendelea kusema:

"I'm from South Africa and the relationship between the people of Tanzania and the people of South Africa, their contribution towards our freedom...so we have got a deep deep emotional past."

Motsepe alijaribu kuwakumbusha watanzania jinsi Afrika Kusini inavyoiheshimu Tanzania na ahadi aliyoacha Mzee Nelson Mandela kuwa siku zote za maisha yao waikumbuke Tanzania na wawakumbuke watanzania.

Miongoni mwa mambo ya muhimu katika historia hii adhimu aliyotukumbushia Rais Motsepe (Rais wa CAF) ambayo labda viongozi wa TFF hawaifahamu au labda wanaifahamu lakini wameamua tu kudharau kwa utashi wao ni ushiriki wa Klabu ya Yanga katika harakati za Ukombozi wa Bara la Afrika ikiwemo Ukombozi wa Afrika Kusini dhidi ya Walowezi wachache.

Inawezekana wachache kati ya watanzania wengi wanaotambua kuwa wakati wa harakati za Ukombozi wa Bara la Afrika jengo la klabu ya Yanga lilitumika kama eneo la vikao vya siri baina ya Mwalimu Nyerere na wapigania Uhuru wa Tanganyika huku nje ya jengo hilo kundi la Taarabu la Egyptian Musical Club likitumbuiza ili kuwapumbaza wakoloni wakati ndani vikao vikiendelea (Rejea kitabu cha Muungano wa Tanganyika na Zanzibar: Chimbuko, Misingi na Maendeleo (2022) ukurasa wa 48 mpaka 49.

Inawezekana wengi ndani ya TFF hawafahamu kuwa Yanga ndiyo klabu iliyokataa kutumiwa na vibaraka wa wakoloni ili kuzorotesha harakati za Uhuru wa Tanganyika tofauti na watani wao ambao walikubali kutumika.

Na inawezekana kabisa kuwa wengi ndani ya TFF hawafahamu kabisa kuwa Klabu ya Yanga imetambuliwa na Umoja wa Afrika (African Union) kama alama ya Urithi wa Ukombozi Afrika katika Programu ya Urithi wa Ukombozi wa Bara la Afrika ijulikanayo kama "The 'Roads to Independence in Africa: The African Liberation Heritage Programme''.

Hivyo Motsepe anatambua vema umuhimu wa Tanzania katika Ukombozi wa Afrika na hivyo uwepo wa Yanga katika Mkutano huo wa CAF ulikuwa na umuhimu wa kipekee kutokana na historia ya Yanga katika harakati za Ukombozi wa Bara la Afrika.

Lakini labda kama hayo yote yangekuwa hayana maana, basi labda Yanga ingealikwa kama klabu iliyobeba kombe la ligi kuu mara nyingi kuliko klabu yoyote nchini au labda ingealikwa kama klabu bingwa ya ligi kuu ya Tanzania msimu uliopita huku ikiwa imefanikiwa kunyakua makombe yote yaliyogombewa msimu wa 2021/2021.

Vinginevyo, nina shaka kama Yanga haikualikwa katika Mkutano huo wa CAF ni wazi kuwa kuna chuki/mgogoro wa TFF dhidi ya Klabu ya Yanga hasa tukizingatia utaratibu wa uandaaji wa mikutano kama hiyo na nani mwenye mamlaka ya kualika washiriki wa mkutano.

Rejea OAS (2017) Operational Handbook for the Organization of Meetings and Conferences away from Headquarters.
Mikenge hii we acha tyu!
Wanawake sio wanawake!
Nawewe unajifanya mdadafuaji!
Nchi imeingiliwa na Uto huku!
 
mi naomba kuuliza ikiwa simba ilialikwa na TFF kupitia mgongo wa CAF na Yanga haijaalikwa pamoja na historia iliyosemwa hapo juu basi nataka kujua mwaka jana Simba ilialikwa na nani maana CEO wa simba alihudhuria mkutano mkuu kama huu mwaka jana na haukufanyika TZ
Naona uvivu kusoma comments zote (zingine ni upuuzi mtupu)ila jibu la hili swali likitolewa mniamshe niko paleeee nimekaa
 
Yaan utopolo kero ukubwa wenu upo tanzania wee timu hujawahi kucheza caf champions karibu miaka 20 anakujua nani pambana uonyeshe ulichonacho uwanjani kila siku lawama mkichukuwa kombe lawama msipochukuwa lawama yaan viongozi wenyewe hawana nidhamu kuanzia huyo hersi mpk manara mambo manyofanya hata caf wanajua ndio maana hamualikwi badilikeni punguzenj usera mavi nyie utopolo au bado mnatka tuamini wenye akili uko utopoloni wawili tu
 
Hii club imekaa kipumbavu sana,haiwezekani kila siku TFF inakuwa inatoa matamko badala ya kushughulika na mambo ya msingi.
Club imewekeza zaidi kutengeneza chuki za kisenge
asante baba kwa kutonifanya Uto
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], Takadini anawapoteza kabisaa viongozi wa utopolooo.
 
Jumamosi tunawatandika simba kama kawa mbele ya rais wa FIFA na CAF.. mark my words . Karia ni mtu mdogo sana nchi hii
 
FIFA wanasema BE POSITIVE.
Tangu lini Utopolo mkawa Positive?

Senzo anasema hapa Tanzania nothing can completed to 100% as planned. Haya maneno kwanini kayasema baada ya kutoka Yanga?
 
Jumamosi tunawatandika simba kama kawa mbele ya rais wa FIFA na CAF.. mark my words . Karia ni mtu mdogo sana nchi hii
Hata last match agaist Simba mliifunga Simba na hamjaenda kwenye kikao cha CAF.
Tofauti ya Simba na Yanga ni kwamba Yanga inapambana kuishusha Simba wakati Simba inapambana upstairs kukuza Brand.

Kwasasa Simba kuifunga Yanga it's not a Story but Yanga kuifunga Simba it's a Story.
Jiulize.
 
Miongoni mwa habari ambazo zimeshtua baadhi ya wadau wa soka nchini ni habari inayohusiana na kutoalikwa kwa klabu ya Yanga katika Mkutano Mkuu wa Kawaida wa 44 wa CAF uliofanyika jijini Arusha na kufikia kilele tarehe 10 Julai, 2022.

Binafsi nimestaajabishwa si tu kwa kutoalikwa kwa klabu ya Yanga bali pia baadhi ya wadau wengine muhimu katika soka la Tanzania hasa tukizingatia kuwa Mkutano huu wa Mwaka umefanyika katika ardhi ya Tanzania.

Kwa nini nastaajabu? Ninaomba kuelezea shaka yangu kwa mujibu wa namna utaratibu wa uandaaji wa mikutano ya Kimataifa (Multilateral Conference) unavyofanyika.

Kimsingi uandaaji wa mikutano ya kimataifa kama huu wa CAF huratibiwa na pande mbili ikiwa mkutano kama huo unafanyika nje ya makao makuu ya taasisi husika.

Utaratibu upo hivi, chama cha soka/nchi mwanachama inayotaka kuomba kuandaa Mkutano Mkuu wa Mwaka itaiandikia taasisi husika (kwa muktadha huu ni CAF) kwamba inaomba kuandaa Mkutano Mkuu wa Kawaida wa Mwaka (Ordinary General Assembly).

Maombi rasmi yataandikwa kwa Katibu Mkuu wa taasisi kwa maandishi si chini ya miezi sita kabla ya mkutano kuanza.

Kwa mantiki hiyo TFF iliandika kuomba kuandaa Mkutano huu Mkuu wa 44 wa Kawaida wa CAF miezi sita iliyopita (labda Januari, 2022).

Kuthibitisha hilo, Rais wa TFF Warrace Karia aliweka wazi alipohojiwa na waandishi wa habari na hapa ninamnukuu;

"Mimi niliomba mkutano Serikali ikanikubalia..." Mwisho wa kunukuu.

Hivyo baada ya TFF kukubaliwa na Serikali na pia kukubaliwa na CAF taratibu za awali kuandaa mkutano (pre-meeting) zilianza.

Hapo nchi husika au chama cha soka cha nchi husika (kwa muktadha huu TFF) huandaa tarehe na eneo la kufanyika Mkutano kwa mashauriano na mamlaka husika.

Taasisi husika huandaa ajenda ya Mkutano na mlolongo (schedule) ikiwemo kanuni za mwenendo na kuzituma kwa nchi mwanachama au chama cha soka mwanachama.

Baada ya hapo kutakuwa na uratibu wa Mkutano husika.

Kikanuni, uratibu (Coordination) wa Mikutano Mikuu ya Taasisi ya Kimataifa (kama CAF) ambayo hufanyika nje ya Makao Makuu ya Taasisi hufanyika kwa usimamizi wa pande mbili yaani Nchi inayoandaa (kwa muktadha huu TFF) na Taasisi ya Kimataifa (CAF).

Kamati ya uratibu ya nchi husika iliyoandaliwa kusimamia mkutano itahusika kwa huduma zote na vifaa vyote vilivyoahidiwa na nchi inayoandaa katika barua ya maombi ya kuandaa iliyotumwa makao makuu ya taasisi na kukubaliwa na taasisi husika (CAF).

Huduma hizo zitahusisha utawala, usalama, malazi, vifaa mbalimbali, lojistiksi, usafiri n.k (Rejea OAS, 2017: 15).

Hivyo basi kwa mujibu wa kanuni za uandaaji wa Mikutano ya Kimataifa nchi mwanachama (kwa muktadha huu ni chama cha soka mwanachama TFF) hushirikiana na Sekretarieti ya Taasis ya Kimataifa (kwa muktadha huu ni CAF) katika uandaaji na usimamizi wa mkutano mzima kuanzia mwanzo mpaka unapofikia tamati.

Kwa mfano ukisoma muongozo wa mikutano ya OAS inaeleza hivi, 'The General Secretary will present an organization outline and it is hoped that the host country will appoint counterparts responsible for various activities.' (OAS, 2017: 16).

Hivyo basi mkutano wowote wa Kimataifa hauandaliwi na upande mmoja peke yake pale ambapo mkutano huo unafanyika nje ya makao makuu yake. Kwa mantiki hiyo TFF wameratibu mkutano huu kwa kushirikiana na CAF.

Miongoni mwa mambo muhimu yanayozingatiwa katika mikutano kama hii ni wageni wanaoalikwa.

Tukitazama mkutano wa mwaka wa 44 wa CAF tunaona kuwa mgeni rasmi alikuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Kassim Majaliwa Majaliwa.

Kitendo cha kualikwa kwa Waziri Mkuu maana yake Mkutano huu ulikuwa na usalama wa hali ya juu.

Kwa mantiki hiyo hakuna mtu yeyote au taasisi yoyote ambayo ingeweza kuomba kushiriki Mkutano huu wa CAF pasina kualikwa na TFF au CAF.

Kwa mujibu wa kanuni za uandaaji wa mikutano ya Kimataifa CAF walikuwa na wajibu wa kualika viongozi wa Kimataifa huku TFF wakialika wadau mbalimbali wa Tanzania kwa kuzingatia muongozo wa uratibu wa pamoja.

Hivyo kitendo cha Yanga kutoalikwa kinatoa ishara kuwa TFF ama kwa bahati mbaya ama kwa makusudi haikuialika klabu ya Yanga jambo ambalo ni la kustaajabisha. Kwa nini ni la kustaajabisha?

Rejea maneno ya Rais wa CAF Patrice Motsepe pindi alipohojiwa na waandishi wa habari na kuambiwa 'Welcome to Tanzania' (Karibu Tanzania) hakupenda kuambiwa hivyo badala yake akawataka waseme 'Welcome home' na kuandelea kuwaambia:

"Tanzania is my home, Tanzania is his home (akimshika bega Gianni Infantino Rais wa FIFA), Tanzania is home of alla of us! Very special country! Very special history"

Rais wa CAF Patrice Motsepe anawakumbusha watanzania na dunia kuwa Tanzania si nchi ya ugenini kwake bali ni sawa na yupo nyumbani kwao Afrika Kusini kwa nini Motsepe anaamini hivi?

Motsepe aliendelea kusema:

"I'm from South Africa and the relationship between the people of Tanzania and the people of South Africa, their contribution towards our freedom...so we have got a deep deep emotional past."

Motsepe alijaribu kuwakumbusha watanzania jinsi Afrika Kusini inavyoiheshimu Tanzania na ahadi aliyoacha Mzee Nelson Mandela kuwa siku zote za maisha yao waikumbuke Tanzania na wawakumbuke watanzania.

Miongoni mwa mambo ya muhimu katika historia hii adhimu aliyotukumbushia Rais Motsepe (Rais wa CAF) ambayo labda viongozi wa TFF hawaifahamu au labda wanaifahamu lakini wameamua tu kudharau kwa utashi wao ni ushiriki wa Klabu ya Yanga katika harakati za Ukombozi wa Bara la Afrika ikiwemo Ukombozi wa Afrika Kusini dhidi ya Walowezi wachache.

Inawezekana wachache kati ya watanzania wengi wanaotambua kuwa wakati wa harakati za Ukombozi wa Bara la Afrika jengo la klabu ya Yanga lilitumika kama eneo la vikao vya siri baina ya Mwalimu Nyerere na wapigania Uhuru wa Tanganyika huku nje ya jengo hilo kundi la Taarabu la Egyptian Musical Club likitumbuiza ili kuwapumbaza wakoloni wakati ndani vikao vikiendelea (Rejea kitabu cha Muungano wa Tanganyika na Zanzibar: Chimbuko, Misingi na Maendeleo (2022) ukurasa wa 48 mpaka 49.

Inawezekana wengi ndani ya TFF hawafahamu kuwa Yanga ndiyo klabu iliyokataa kutumiwa na vibaraka wa wakoloni ili kuzorotesha harakati za Uhuru wa Tanganyika tofauti na watani wao ambao walikubali kutumika.

Na inawezekana kabisa kuwa wengi ndani ya TFF hawafahamu kabisa kuwa Klabu ya Yanga imetambuliwa na Umoja wa Afrika (African Union) kama alama ya Urithi wa Ukombozi Afrika katika Programu ya Urithi wa Ukombozi wa Bara la Afrika ijulikanayo kama "The 'Roads to Independence in Africa: The African Liberation Heritage Programme''.

Hivyo Motsepe anatambua vema umuhimu wa Tanzania katika Ukombozi wa Afrika na hivyo uwepo wa Yanga katika Mkutano huo wa CAF ulikuwa na umuhimu wa kipekee kutokana na historia ya Yanga katika harakati za Ukombozi wa Bara la Afrika.

Lakini labda kama hayo yote yangekuwa hayana maana, basi labda Yanga ingealikwa kama klabu iliyobeba kombe la ligi kuu mara nyingi kuliko klabu yoyote nchini au labda ingealikwa kama klabu bingwa ya ligi kuu ya Tanzania msimu uliopita huku ikiwa imefanikiwa kunyakua makombe yote yaliyogombewa msimu wa 2021/2021.

Vinginevyo, nina shaka kama Yanga haikualikwa katika Mkutano huo wa CAF ni wazi kuwa kuna chuki/mgogoro wa TFF dhidi ya Klabu ya Yanga hasa tukizingatia utaratibu wa uandaaji wa mikutano kama hiyo na nani mwenye mamlaka ya kualika washiriki wa mkutano.

Rejea OAS (2017) Operational Handbook for the Organization of Meetings and Conferences away from Headquarters.
Mzee umeandika kwa kufafanua kila kona ya soka na mahitaji ya uhalisia wa kikao hiki.

Lakini mmesahau jambo moja. Kwenye tukio lenu la.majuzi hapa hamkutambua uwepo wa mamlaka ya TFF ambapo mliambia kuoverride maamuzi halali ya shirikisho. Je mna uhalali gani wa kushiriki ama.kualikwa kwenye shughuli za TFF wakati mshaonesha nidhamu mbofu mbofu?

Mlitaka kwenda kuchafua hali ya hewa si bure.

Mkae na viongozi wenu wa klabu muwaelimishe nidhamu ya soka kabla hamjaalikwa kwenye shughuli kama.hiyo iliyowapita pembeni.

Jitambueni kwanza
 
Hii Yanga ya sasa ilitakiwa iwepo wakati TFF ikiitwa FAT chini ya Ndolanga na Rage huku Blatter akiwa rais wa FIFA. Uongozi wa Yanga wa sasa hauendani na hii kasi ya mabadiliko ya dunia.
 
Kama Yanga ingealikwa, Namungo pia angelalamika maana kimataifa yupo rank ya juu kuliko Yanga, nadhan Yanga wanatakiwa kuongeza nguvu kimataifa ili waikute level ya Simba sio kujilinganisha na Simba Kwa kuangalia mafanikio ya ndani Tu. Simba wamealikwa mara kadhaa kwenye mikutano na matukio ya CAF na tena haikufanyikia Tanzania. Na hiyo ni sababu ya mafanikio ya Simba kimataifa

Mpira wa kimataifa upo tofauti Sana, msitegemee mtaalikwa sababu watani wenu wa jadi wamealikwa, Kitendo cha kumtumia manara kwenye tukio la wananchi, kupokea wageni wanaokuja kucheza na Simba, kulalamika bila sababu za msingi ni Alama wazi kwamba Yanga ipo nyuma Sana ya mabadiliko ya soka, bado wapo kwenye mpira wa mwaka 47. Amkeni badilikeni kimtazamo Kwanza kuanzia viongozi, wachezaji na mashabiki pia. Dunia haiwasubiri
 
Kwahiyo inaonekana tatizo la TFF ya karia na Yanga ni back days lile la juzi Arusha ni kile kilikuwa moyoni mwake. Afrika bado tunahitaji wakolonimaana hatuwezi kujiongoza roho mbaya na umimi unasumbua
 
Naliona anguko la TFF ndani ya muda mfupi ujao. Kwa style inavyoongoza mpira nchini itaendelea kufanya kazi ya kujieleza siku hadi siku.
Mimi naliona anguko la Yanga maana ujinga umezidi,awali ujinga ulikwa kwa washabiki lakini sasa ni kwa uongozi wa juu wa Yanga.
 
Back
Top Bottom