Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Tangu msimu uliopita, Simba wamekuwa wakilaumu waamuzi kuwa wanaibeba Yanga na huku Mfadhili wa Yanga, Bwana GSM akibebeswa lawama zaidi. Mbali na waamuzi, pia wamekuiwa wakiilaumu TFF kuwa inashiriki kuihujumu Simba.
Tukiacha haya ya humu nchini, wakati Yanga anafika mpaka fainali ya CAFCC, Simba walikuwa na hoja kuwa Yanga inacheza kombe la loser na wao walikuwa wanacheza ligi ya mabingwa ndio maana wao walitolewa na Yanga akaendelea mpaka fainali kwa kucheza na timu za kombe la loser.
Maswali:
Kama Simba hawakuwa na kikosi dhaifu kilichopeleke kufungwa mfululizo na Yanga na hata kutofanya vizuri kwenye ligi na kimataifa, kwanini walifumua kikosi karibu kizima cha timu yao?
Kama Yanga alikuwa anabebwa humu nchini, na waamuzi wa CAF nao walibeba Yanga mpaka kufika fainali ya kombe la shirikisho(CAFCC)?
Kwenye mechi ya marudiano hatua ya robo fainal ya kombe la CAFCL, nani aliebebwa kati ya Yanga na Mamelodi?
Hakika maswali ni mengi kuliko majibu.
All in all, kwasababu Simba hawataki kuangalia ni wapi wanakosea wajirekebishe, basi wajiandae kufungwa tena na Yanga katika mechi inayofuata na hata kufanya vibaya zaidi kwenye ligi msimu huu kuliko msimu uliopita na hata kutia aibu kwenye mashindano ya CAFCC mwaka huu.
Na wasipokuwa makini kwa kila mtu kusema hovyo hovyo, msimu huu hata nafasi ya tatu wanaweza wasiipate na wakaishia kuvurugana na itawachukua muda kurudi walipokuwa.
Tukiacha haya ya humu nchini, wakati Yanga anafika mpaka fainali ya CAFCC, Simba walikuwa na hoja kuwa Yanga inacheza kombe la loser na wao walikuwa wanacheza ligi ya mabingwa ndio maana wao walitolewa na Yanga akaendelea mpaka fainali kwa kucheza na timu za kombe la loser.
Maswali:
Kama Simba hawakuwa na kikosi dhaifu kilichopeleke kufungwa mfululizo na Yanga na hata kutofanya vizuri kwenye ligi na kimataifa, kwanini walifumua kikosi karibu kizima cha timu yao?
Kama Yanga alikuwa anabebwa humu nchini, na waamuzi wa CAF nao walibeba Yanga mpaka kufika fainali ya kombe la shirikisho(CAFCC)?
Kwenye mechi ya marudiano hatua ya robo fainal ya kombe la CAFCL, nani aliebebwa kati ya Yanga na Mamelodi?
Hakika maswali ni mengi kuliko majibu.
All in all, kwasababu Simba hawataki kuangalia ni wapi wanakosea wajirekebishe, basi wajiandae kufungwa tena na Yanga katika mechi inayofuata na hata kufanya vibaya zaidi kwenye ligi msimu huu kuliko msimu uliopita na hata kutia aibu kwenye mashindano ya CAFCC mwaka huu.
Na wasipokuwa makini kwa kila mtu kusema hovyo hovyo, msimu huu hata nafasi ya tatu wanaweza wasiipate na wakaishia kuvurugana na itawachukua muda kurudi walipokuwa.