kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Haitakuwa kazi ngumu kwa kocha, viongozi, wachezaji na mashabiki wa Yanga kujitetea kama ikitokea bahati mbaya wakafungwa na kutolewa kwenye mashindano ya kimataifa msimu huu. Sababu zao zitakuwa hivi:
1. Wachezaji wao 3 muhimu wamezuiwa kucheza.
2. Timu haikuwa na pre-season nzuri
3. Wachezaji wengi ni wapya hawazoeana
Hivyo hakuna wasiwasi kabisa wanangu kichaka kipo kachezeji mpira bila hofu wala kitete mkifungwa sawa na mkishinda sawa.
Tuendelee kulijenga timu.
1. Wachezaji wao 3 muhimu wamezuiwa kucheza.
2. Timu haikuwa na pre-season nzuri
3. Wachezaji wengi ni wapya hawazoeana
Hivyo hakuna wasiwasi kabisa wanangu kichaka kipo kachezeji mpira bila hofu wala kitete mkifungwa sawa na mkishinda sawa.
Tuendelee kulijenga timu.