Kama Yanga itafungwa Champions League kichaka cha kufisha nyuso zao wanacho tayari

Kama Yanga itafungwa Champions League kichaka cha kufisha nyuso zao wanacho tayari

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Haitakuwa kazi ngumu kwa kocha, viongozi, wachezaji na mashabiki wa Yanga kujitetea kama ikitokea bahati mbaya wakafungwa na kutolewa kwenye mashindano ya kimataifa msimu huu. Sababu zao zitakuwa hivi:

1. Wachezaji wao 3 muhimu wamezuiwa kucheza.
2. Timu haikuwa na pre-season nzuri
3. Wachezaji wengi ni wapya hawazoeana

Hivyo hakuna wasiwasi kabisa wanangu kichaka kipo kachezeji mpira bila hofu wala kitete mkifungwa sawa na mkishinda sawa.

Tuendelee kulijenga timu.
 
Watajua wenyewe maana hawana adabu kwa kweli sijui watasema nini? Ila itakuwa vizuri wakifungwa kutokana na makosa yao ili wajifunze na wawe na nidhamu na waaache kusajili timu nzima kila mwaka
 
Mshaanza sababu tunataka tuone hao machampion wana return vp yani nyie ndo wakusema Simba alibebwa na corona[emoji849][emoji849]?

Tulia hivo hivo afu tutajua machampion ni wapi[emoji2958][emoji2958]
Aisee ni baadae tu wapigwe yaani wapigwee
 
KAMA WATAPOTEZA LEO TUTEGEMEE
KUSIKIA KAULI HIZI.
[emoji419]Timu haina muunganiko wa kutosha
[emoji419]wachezaji wapewe mda na mazoezi zaidi
[emoji419]Nabii alichelewesha kufanya sub
[emoji419]Huyu kipa bora ya metacha
[emoji419]Tatizo ITC imewazuia wachezaji wetu
[emoji419] Marefa hawana elimu ya mpira,
[emoji419]Ile ilikuwa offside kabisa
[emoji419] TFF nao inabid walaumiwe
[emoji419] tukienda kwao kufa na kupona
[emoji419]kocha atamtoaje feitoto wakat alikuwa anaupiga mwingi!

[emoji1][emoji1][emoji1][emoji38][emoji2957][emoji196]
 
KAMA WATAPOTEZA LEO TUTEGEMEE
KUSIKIA KAULI HIZI.
[emoji419]Timu haina muunganiko wa kutosha
[emoji419]wachezaji wapewe mda na mazoezi zaidi
[emoji419]Nabii alichelewesha kufanya sub
[emoji419]Huyu kipa bora ya metacha
[emoji419]Tatizo ITC imewazuia wachezaji wetu
[emoji419] Marefa hawana elimu ya mpira,
[emoji419]Ile ilikuwa offside kabisa
[emoji419] TFF nao inabid walaumiwe
[emoji419] tukienda kwao kufa na kupona
[emoji419]kocha atamtoaje feitoto wakat alikuwa anaupiga mwingi!

[emoji1][emoji1][emoji1][emoji38][emoji2957][emoji196]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] TFF inavishwa zigo la miba bure
 
Haiwezekan wawakilishi wote wa tz mpaka sasa wamepata ushindi lazma kuna team itazingua hasa hii utopolo hua hawapendi amani kabsa kwa mashabiki zao lazima leo wazingue
Uto ndo zao yani kuwafikisha eneo la tukio afu wakaharbu shughur imekuwa utamadun kwao ila sasa wajue msimu ujao tutachagua wakubeba make mbeleko zimezd🤣🤣😂
 
Haitatosha kuwajengea imani mashabiki wao kua wana kikosi bora hususani watafungwa magoli ya kindezi, na baada ya mechi kama matokeo yatakua hivyo basi manara atakua katika wakati mgumu sana.

Kama kabla ya mechi kocha akisema kikosi chake kimejipanga kimbinu zaidi na wana hakika watashinda basi hii ya kusema wachezaji watatu hawapo haitalua excuse labda kwa wajinga.
 
Mshaanza sababu tunataka tuone hao machampion wana return vp yani nyie ndo wakusema Simba alibebwa na corona[emoji849][emoji849]?

Tulia hivo hivo afu tutajua machampion ni wapi[emoji2958][emoji2958]
Corona ni janga la Dunia nzima na mpira ni mchezo wa wazi,Simba walicheza home & away kwenye viwanja vya wazi tena live.iweje Corona ibebe Simba tu na iache kubeba timu zingine,fafanua?
 
Corona ni janga la Dunia nzima na mpira ni mchezo wa wazi,Simba walicheza home & away kwenye viwanja vya wazi tena live.iweje Corona ibebe Simba tu na iache kubeba timu zingine,fafanua?
Aaah ni kama umenipata vibaya jombaa! Uto mwaka jana kipindi Simba inapasua anga champions league ndo zilikuwa sababu zao kwamba corona ndo inawebaba sasa tunataka na wao iwabebe kama ni vyepesi hivo
 
aaah ni kama umenpata vibaya jombaa! Uto mwaka jana kipindi Simba inapasua anga champions league ndo zilikuwa sababu zao kwamba corona ndo inawebaba sasa tunataka na wao iwabebe kama ni vyepesi hivo
Hahaaaa,,nimekupata mkuu.pamoja sana.
 
KAMA WATAPOTEZA LEO TUTEGEMEE
KUSIKIA KAULI HIZI.
[emoji419]Timu haina muunganiko wa kutosha
[emoji419]wachezaji wapewe mda na mazoezi zaidi
[emoji419]Nabii alichelewesha kufanya sub
[emoji419]Huyu kipa bora ya metacha
[emoji419]Tatizo ITC imewazuia wachezaji wetu
[emoji419] Marefa hawana elimu ya mpira,
[emoji419]Ile ilikuwa offside kabisa
[emoji419] TFF nao inabid walaumiwe
[emoji419] tukienda kwao kufa na kupona
[emoji419]kocha atamtoaje feitoto wakat alikuwa anaupiga mwingi!

[emoji1][emoji1][emoji1][emoji38][emoji2957][emoji196]
😂 😂 😂
 
Kila lenye kheri Dar es Salaam Young Africans na mabingwa wa muda wote nchini Tanzania katika mchezo wetu wa leo dhidi ya hawa wana kimanumanu kutoka Nigeria

Daima mbele, Nyuma mwiko
Return of the champions
 
Enyi mbumbumbu wenye midomo michafu, tuachieni timu yetu! Ifungwe, ishinde, bado itaendelea tu kuwa timu ya wananchi!
 
Back
Top Bottom