Kama Yanga itafungwa Champions League kichaka cha kufisha nyuso zao wanacho tayari

Watajua wenyewe maana hawana adabu kwa kweli sijui watasema nini? Ila itakuwa vizuri wakifungwa kutokana na makosa yao ili wajifunze na wawe na nidhamu na waaache kusajili timu nzima kila mwaka
Utawauzi watu wa Yanga ,hutaki Kura zao ha haha
 
Utawauzi watu wa Yanga ,hutaki Kura zao ha haha
Huku kwenye mpira bwana tunataniana ila kiukweli wametuuzi kama taifa ilibidi washinde ili tuzidi kusogeza mpira wa nchi yetu viwango vya juu Afrika. Utani wa jadi kukerana kawaida ila wasije ninyima kura kwa huu utani.. na wajirekebishe wanaweza kujipanga vzr mechi ijayo waka piga mtu niwao tu kujipanga kwa hilo[emoji1317][emoji1317]
 
Muongo ligi zote duniani zilisimama
Toa ushahidi kama hata ligi yetu ilisimama muda mrefu sawa na zile za Kenya, Rwada, Uganda, Nigeria na africa kaskazini, ulaya, nk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…