Megalodon
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,534
- 7,866
Kama Yanga inahitaji kufika anga za nusu au fainali basi iachane na hawa wachezaji ambao hawana special thing to offer.
Afrika kuna players wazuri sana na wenye uwezo aina ya kina Aziz Ki, Yanga iingie sokoni kwa kimkakati.
Kusajili players kama kina chama ni dhahiri kuwa hatujajua tunataka kufika wapi, unless lengo letu ni ubingwa wa ndani.
Afrika kuna players wazuri sana na wenye uwezo aina ya kina Aziz Ki, Yanga iingie sokoni kwa kimkakati.
Kusajili players kama kina chama ni dhahiri kuwa hatujajua tunataka kufika wapi, unless lengo letu ni ubingwa wa ndani.