Kama Yanga itamsajili Chama, hakika ni kufilisika kimkakati

Kama Yanga itamsajili Chama, hakika ni kufilisika kimkakati

Tukiweka ushabiki pembeniii hakuna mtu ambae hatambuii uwezo wa Chama uwanjani.
Chama ni mchezaji ambaye anacheza ikiwa timu mnaizidi uwezo (mna-posess). Mkikuatana na timu ngumu ambayo haihitaji abiria uwanjani, inahitaji spirit ya mapambano Chama hakupi matokeo.

Huko Africa tunahitaji spirit na uwezo wa kujitoa, Kama ulivyoona Yanga ilivyocheza na Mamelodi. Kwasababu msuli wa kiuchumi hatuwawezi Mamelodi, Petro na Waarabu.

Yanga ikiingia kwenye upuuzi wa kusajili mastar itapoteza.
 
Ni bora uongozi uende kule kule kwenye kiwanda cha kuzalisha mafundi wa mpira ( Asec Mimosas) kule kuna mali safi nyingi sana kuliko huyu anayeelekea kustaafu.

Ahsante nimeeleweka vema
 
Chama ni mchezaji ambaye anacheza ikiwa timu mnaizidi uwezo (mna-posess). Mkikuatana na timu ngumu ambayo haihitaji abiria uwanjani, inahitaji spirit ya mapambano Chama hakupi matokeo.

Huko Africa tunahitaji spirit na uwezo wa kujitoa, Kama ulivyoona Yanga ilivyocheza na Mamelodi. Kwasababu msuli wa kiuchumi hatuwawezi Mamelodi, Petro na Waarabu.

Yanga ikiingia kwenye upuuzi wa kusajili mastar itapoteza.
Mchezaji wa Simba anayeweza kuingia kwenye falsafa ya Gamondi ni Kibu minguvu akili kisoda.
 
Ni bora uongozi uende kule kule kwenye kiwanda cha kuzalisha mafundi wa mpira ( Asec Mimosas) kule kuna mali safi nyingi sana kuliko huyu anayeelekea kustaafu.
Mstaafu kafanya yake jana!
 
Kama Yanga inahitaji kufika anga za nusu au fainali basi iachane na hawa wachezaji ambao hawana special thing to offer.

Afrika kuna players wazuri sana na wenye uwezo aina ya kina Aziz Ki, Yanga iingie sokoni kwa kimkakati.

Kusajili players kama kina chama ni dhahiri kuwa hatujajua tunataka kufika wapi, unless lengo letu ni ubingwa wa ndani.
MAGALONI sijui unateseka ukiwa wapi🤣
 
Kama Yanga inahitaji kufika anga za nusu au fainali basi iachane na hawa wachezaji ambao hawana special thing to offer.

Afrika kuna players wazuri sana na wenye uwezo aina ya kina Aziz Ki, Yanga iingie sokoni kwa kimkakati.

Kusajili players kama kina chama ni dhahiri kuwa hatujajua tunataka kufika wapi, unless lengo letu ni ubingwa wa ndani.
Huyu Nate ni mwasibu mwingine
 
Kama Yanga inahitaji kufika anga za nusu au fainali basi iachane na hawa wachezaji ambao hawana special thing to offer.

Afrika kuna players wazuri sana na wenye uwezo aina ya kina Aziz Ki, Yanga iingie sokoni kwa kimkakati.

Kusajili players kama kina chama ni dhahiri kuwa hatujajua tunataka kufika wapi, unless lengo letu ni ubingwa wa ndani.
🤣🤣
 
Back
Top Bottom