Chama ni mchezaji ambaye anacheza ikiwa timu mnaizidi uwezo (mna-posess). Mkikuatana na timu ngumu ambayo haihitaji abiria uwanjani, inahitaji spirit ya mapambano Chama hakupi matokeo.Tukiweka ushabiki pembeniii hakuna mtu ambae hatambuii uwezo wa Chama uwanjani.
Mchezaji wa Simba anayeweza kuingia kwenye falsafa ya Gamondi ni Kibu minguvu akili kisoda.Chama ni mchezaji ambaye anacheza ikiwa timu mnaizidi uwezo (mna-posess). Mkikuatana na timu ngumu ambayo haihitaji abiria uwanjani, inahitaji spirit ya mapambano Chama hakupi matokeo.
Huko Africa tunahitaji spirit na uwezo wa kujitoa, Kama ulivyoona Yanga ilivyocheza na Mamelodi. Kwasababu msuli wa kiuchumi hatuwawezi Mamelodi, Petro na Waarabu.
Yanga ikiingia kwenye upuuzi wa kusajili mastar itapoteza.
Mstaafu kafanya yake jana!Ni bora uongozi uende kule kule kwenye kiwanda cha kuzalisha mafundi wa mpira ( Asec Mimosas) kule kuna mali safi nyingi sana kuliko huyu anayeelekea kustaafu.
Watajua hawajuiMuda wa kufufua nyuzi huu
MAGALONI sijui unateseka ukiwa wapi🤣Kama Yanga inahitaji kufika anga za nusu au fainali basi iachane na hawa wachezaji ambao hawana special thing to offer.
Afrika kuna players wazuri sana na wenye uwezo aina ya kina Aziz Ki, Yanga iingie sokoni kwa kimkakati.
Kusajili players kama kina chama ni dhahiri kuwa hatujajua tunataka kufika wapi, unless lengo letu ni ubingwa wa ndani.
Huyu Nate ni mwasibu mwingineKama Yanga inahitaji kufika anga za nusu au fainali basi iachane na hawa wachezaji ambao hawana special thing to offer.
Afrika kuna players wazuri sana na wenye uwezo aina ya kina Aziz Ki, Yanga iingie sokoni kwa kimkakati.
Kusajili players kama kina chama ni dhahiri kuwa hatujajua tunataka kufika wapi, unless lengo letu ni ubingwa wa ndani.
🤣🤣Kama Yanga inahitaji kufika anga za nusu au fainali basi iachane na hawa wachezaji ambao hawana special thing to offer.
Afrika kuna players wazuri sana na wenye uwezo aina ya kina Aziz Ki, Yanga iingie sokoni kwa kimkakati.
Kusajili players kama kina chama ni dhahiri kuwa hatujajua tunataka kufika wapi, unless lengo letu ni ubingwa wa ndani.