Kama Yanga SC atafungwa leo, rasmi najitoa Jamiiforums na mods wanifungie

Kama Yanga SC atafungwa leo, rasmi najitoa Jamiiforums na mods wanifungie

Mohammed wa 5

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2022
Posts
1,215
Reaction score
3,035
Habari zenu mashabiki wote wa mpira JF
Leo Yanga sc tunaingia uwanjani na malengo ya kupata ushindi ili tuweze kuwa na uhakika wa kuvuka hatua inayofua ya robo fainali.

Mechi tuliocheza kule Tunisia tuliocheza vizuri japo hatuktengeneza nafasi za magoli.

Na wapinzani wetu walitumia mipira iliyokufa na Kona kutufunga magoli 2 na kuchukua points 3

Leo wachezaji wetu wanaingia kwenye huu mchezo wakina na Hari na nguvu ya upambanaji najua mechi itakuwa ngumu wapinzani wetu ni timu nzuri

Mungu ibariki Yanga mungu ibariki Tanzania
SHABIKI WA YANGA NINAE JIAMINI
tukutane baada ya mechi

NB: Jana Uzi wangu wa simba sc haifiki robo fainal anafungwa magoli 2 ulikuwa trending hapa JF baada ya mechi, mashabiki wa Simba walikuja kunitukana.
 
Bila bila kuna mchizi anataka kujichanganya afanye makosa kama yale uliyofanya wewe kipindi kile

Una lolote la kumshauri?

Screenshot_20230319-131728.png
 
Habari zenu mashabiki wote wa mpira JF
Leo Yanga sc tunaingia uwanjani na malengo ya kupata ushindi ili tuweze kuwa na uhakika wa kuvuka hatua inayofua ya robo fainali.

Mechi tuliocheza kule Tunisia tuliocheza vizuri japo hatuktengeneza nafasi za magoli.

Na wapinzani wetu walitumia mipira iliyokufa na Kona kutufunga magoli 2 na kuchukua points 3

Leo wachezaji wetu wanaingia kwenye huu mchezo wakina na Hari na nguvu ya upambanaji najua mechi itakuwa ngumu wapinzani wetu ni timu nzuri

Mungu ibariki Yanga mungu ibariki Tanzania
SHABIKI WA YANGA NINAE JIAMINI
tukutane baada ya mechi

NB: Jana Uzi wangu wa simba sc haifiki robo fainal anafungwa magoli 2 ulikuwa trending hapa JF baada ya mechi, mashabiki wa Simba walikuja kunitukana.
Kama jana ulitabiri kuwa Simba hafiki robo fainali ikawa kinyume usishangae leo ikawa kinyume pia.

Usiwe na maneno mengi kwa Yanga walifungwa utolewe JF maana wakifungwa leo si utatafuta ID nyingine tu.

Vv
 
Back
Top Bottom