Kamal Mustafa Atartük: Baba wa Uturuki Mpya (1881-1938)

Kamal Mustafa Atartük: Baba wa Uturuki Mpya (1881-1938)

Stuxnet

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2011
Posts
13,417
Reaction score
23,310
Screenshot_20240805_201911_WhatsApp.jpg

JE, WAMJUA?

Anaitwa Kamal Musatafa Atatürk (BABA WA UTURUKI)

1. Aliondosha mfumo wa Ukhalifa wa Kiislamu Khilafah ya Kiothmaniyah (Otthoman Empire) mwaka 1924.

2. Alifuta sheria zote za Kiislamu mwaka 1926.

3. Alibadilisha mfumo wa mirathi ya Kiislamu.

4. Aliwazuia Waturuki kwenda kutekeleza ibada ya Hijja na Umra.

5. Alizuia ufundishaji wa lugha ya Kiarabu Mashuleni.

6. Alizuia adhana misikitini.

7. Alizuia Hijab ndani ya Uturuki.

8. Aliondosha neno Mustafa katika jina lake.

9. Alifuta sherehe za Eid Al-Fitr na Eid Al-Adh-ha.

10. Alifanya siku ya Jumapili kuwa siku rasmi ya kupumzika badala ya Ijumaa.

11. Aliondosha matumizi ya herufi za Kiarabu katika lugha ya Kituruki.

12. Alibadilisha matumizi ya neno "Allah" katika kiapo cha uongozi.

13. Aliua mamia ya wanazuoni wa Kiislamu ambao walizikataa sera zake.

14. Kabla ya kifo chake aliusia kuwa atakapokufa watu wasimswalie swala ya Maiti kama wafanyavyo Waislamu.

15. Mwaka 1923 alisimama katika bunge la Uturuki na kusema: "Sasa tupo katika karne ya ishirini, karne ya viwanda. Hatuwezi kuendelea kufuata kitabu kinachozungumzia matunda ya Tini na Zaituni (akimaanisha Qur'an Tukufu".

Allah alimuangamiza kwa sisimizi wekundu (red ants) ambao waliutafuna mwili wake. Miaka miwili baadaye wataalamu waligundua dawa ya ugonjwa uliomuua Atatürk, na dawa hiyo inatokana na majani ya mti wa Tini uliotajwa ndani ya Qur'an.

Allah Mtukufu anasema:

"Na tuliwaangamiza waliokuwa na nguvu kushinda wao. Na mfano wa watu wa zamani umekwishapita." (Az-Zukhruf, 43: 8)

Allah atupe mwisho mwema
 
The book to read is "Gray Wolf".

"Gray Wolf: The Life of Kemal Ataturk".

I enjoyed it immensely.

 
The book to read is "Gray Wolf".

"Gray Wolf: The Life of Kemal Ataturk".

I enjoyed it immensely.
Mustafa Kemal Atatürk, also known as Mustafa Kemal Pasha until 1921, and Ghazi Mustafa Kemal from 1921 until the Surname Law of 1934 (c. 1881 – 10 November 1938), was a Turkish field marshal, revolutionary statesman, author, and the founding father of the Republic of Turkey, serving as its first president from 1923 until his death in 1938. He undertook sweeping progressive reforms, which modernized Turkey into a secular, industrializing nation. Ideologically a secularist and nationalist, his policies and socio-political theories became known as Kemalism (Atatürkism).
 
UNGEWAAMBIA NA KIFO CHAKE.
Ndo utajua ALLAH YUPO.
Kifo konathibitisha Allah hayupo, hakithibitishi yupo.

Mungu mwenye ujuzi wote, uwezo wote na upendo wote kama Allah angekuwepo, watu wasingekufa bila kutaka.

Watu kufa bila kutaka ni uthibitisho Allah hayupo.
 
Kifo konathibitisha Allah hayupo, hakithibitishi yupo.

Mungu mwenye ujuzi wote, uwezo wote na upendo wote kama Allah angekuwepo, watu wasingekufa bila kutaka.

Watu kufa bila kutaka ni uthibitisho Allah hayupo.
Kwani wakati anakuumba alikwambia?
 
View attachment 3062420

JE, WAMJUA?

Anaitwa Kamal Musatafa Atatürk (BABA WA UTURUKI)

1. Aliondosha mfumo wa Ukhalifa wa Kiislamu Khilafah ya Kiothmaniyah (Otthoman Empire) mwaka 1924.

2. Alifuta sheria zote za Kiislamu mwaka 1926.

3. Alibadilisha mfumo wa mirathi ya Kiislamu.

4. Aliwazuia Waturuki kwenda kutekeleza ibada ya Hijja na Umra.

5. Alizuia ufundishaji wa lugha ya Kiarabu Mashuleni.

6. Alizuia adhana misikitini.

7. Alizuia Hijab ndani ya Uturuki.

8. Aliondosha neno Mustafa katika jina lake.

9. Alifuta sherehe za Eid Al-Fitr na Eid Al-Adh-ha.

10. Alifanya siku ya Jumapili kuwa siku rasmi ya kupumzika badala ya Ijumaa.

11. Aliondosha matumizi ya herufi za Kiarabu katika lugha ya Kituruki.

12. Alibadilisha matumizi ya neno "Allah" katika kiapo cha uongozi.

13. Aliua mamia ya wanazuoni wa Kiislamu ambao walizikataa sera zake.

14. Kabla ya kifo chake aliusia kuwa atakapokufa watu wasimswalie swala ya Maiti kama wafanyavyo Waislamu.

15. Mwaka 1923 alisimama katika bunge la Uturuki na kusema: "Sasa tupo katika karne ya ishirini, karne ya viwanda. Hatuwezi kuendelea kufuata kitabu kinachozungumzia matunda ya Tini na Zaituni (akimaanisha Qur'an Tukufu".

Allah alimuangamiza kwa sisimizi wekundu (red ants) ambao waliutafuna mwili wake. Miaka miwili baadaye wataalamu waligundua dawa ya ugonjwa uliomuua Atatürk, na dawa hiyo inatokana na majani ya mti wa Tini uliotajwa ndani ya Qur'an.

Allah Mtukufu anasema:

"Na tuliwaangamiza waliokuwa na nguvu kushinda wao. Na mfano wa watu wa zamani umekwishapita." (Az-Zukhruf, 43: 8)

Allah atupe mwisho mwema
Mwamba alikuwa na akili kubwa.
 
View attachment 3062420

JE, WAMJUA?

Anaitwa Kamal Musatafa Atatürk (BABA WA UTURUKI)

1. Aliondosha mfumo wa Ukhalifa wa Kiislamu Khilafah ya Kiothmaniyah (Otthoman Empire) mwaka 1924.

2. Alifuta sheria zote za Kiislamu mwaka 1926.

3. Alibadilisha mfumo wa mirathi ya Kiislamu.

4. Aliwazuia Waturuki kwenda kutekeleza ibada ya Hijja na Umra.

5. Alizuia ufundishaji wa lugha ya Kiarabu Mashuleni.

6. Alizuia adhana misikitini.

7. Alizuia Hijab ndani ya Uturuki.

8. Aliondosha neno Mustafa katika jina lake.

9. Alifuta sherehe za Eid Al-Fitr na Eid Al-Adh-ha.

10. Alifanya siku ya Jumapili kuwa siku rasmi ya kupumzika badala ya Ijumaa.

11. Aliondosha matumizi ya herufi za Kiarabu katika lugha ya Kituruki.

12. Alibadilisha matumizi ya neno "Allah" katika kiapo cha uongozi.

13. Aliua mamia ya wanazuoni wa Kiislamu ambao walizikataa sera zake.

14. Kabla ya kifo chake aliusia kuwa atakapokufa watu wasimswalie swala ya Maiti kama wafanyavyo Waislamu.

15. Mwaka 1923 alisimama katika bunge la Uturuki na kusema: "Sasa tupo katika karne ya ishirini, karne ya viwanda. Hatuwezi kuendelea kufuata kitabu kinachozungumzia matunda ya Tini na Zaituni (akimaanisha Qur'an Tukufu".

Allah alimuangamiza kwa sisimizi wekundu (red ants) ambao waliutafuna mwili wake. Miaka miwili baadaye wataalamu waligundua dawa ya ugonjwa uliomuua Atatürk, na dawa hiyo inatokana na majani ya mti wa Tini uliotajwa ndani ya Qur'an.

Allah Mtukufu anasema:

"Na tuliwaangamiza waliokuwa na nguvu kushinda wao. Na mfano wa watu wa zamani umekwishapita." (Az-Zukhruf, 43: 8)

Allah atupe mwisho mwema
Huyu ni Mwamba kabisa. Ndiye aliyesababisha maendeleo ya uturuki ya Sasa

Anawafahamu vizuri ujinga wa mwarabu

Anaijua jinsi waarabu walivyohatibu ukristu uturuki

Walivyohatibu makanisa ya kihistoria nchini uturuki

Mungu amlaze mahali pema peponi naamini tutakutana naye paradiso
 
Wewe umetoka wapi
Hilo ni swali, si uthibitisho kwamba Allah yupo. Thibitisha Allah yupo.

Mimi nimetoka kwa wazazi wangu.

Kwa sababu unaona swali hilo ni muhimu sana.

Allah katoka wapi?
 
Hilo ni swali, si uthibitisho kwamba Allah yupo. Thibitisha Allah yupo.

Mimi nimetoka kwa wazazi wangu.

Kwa sababu unaona swali hilo ni muhimu sana.

Allah katoka wapi?
hana mwanzo.
Umesema
Umetoka kwa wazazi wako wamekutoa wapi?
 
hana mwanzo.
Umesema
Umetoka kwa wazazi wako wamekutoa wapi?
Unajuaje hana mwanzo? Unaweza vipi kuhakikisha Allah yupo na hana mwanzo, na kwamba habari hizo si hadithi za uongo za kutungwa na watu tu?
 
Allah katoka wapi?
Hivi inawezekana kweli mtu utengeneze kitu halafu hicho kitu kikujue wewe! Hatuwezi kumjua Mungu katoka wapi kwasababu yeye ndie alie tuumba, huwezi kutengenza gari, au boksi halafu gari hiyo ikujue wewe. Akili y binadamu inaukomo haiwezi kumdriki na kujua Mungu ila kwa vile alivyojieleza mwenyewe.
 
Hivi inawezekana kweli mtu utengeneze kitu halafu hicho kitu kikujue wewe! Hatuwezi kumjua Mungu katoka wapi kwasababu yeye ndie alie tuumba, huwezi kutengenza gari, au boksi halafu gari hiyo ikujue wewe. Akili y binadamu inaukomo haiwezi mudriki na kujua Mungu ila kwa vile alivyojieleza mwenyewe.
Umeanza na assumption kwamba Mungu yupo kabla ya kuthibitisha kuwa yupo.

Unakubali hilo?

This is an a priori logical fallacy.

"An a priori fallacy is an idea that is accepted as true without evidence or justification. "

Kitu cha kwanza kabisa unachotakiwa kufanya ni kuthibitisha Mungu yupo.

Thibitisha Allah yupo.
 
Back
Top Bottom