Kamala amekuwa akitaka kutumia tabaka la ngozi nyeusi kum boost kisiasa lakini wamarekani weusi wamestukia na kumkataa, ni Tofauri ya Obama alikuwa tayari ana uwezo mkubwa sana wa ku debate, very charismatic, connected, n.k. Kamala amekuwa akiegemea zaidi kutumia ngozi, mqjuzi kwenye moja ya kampeni zake hivi karibuni kajaribu kubadili lafudhi yake aongee lama wamarekani weusi ila aliumbuka, yote hii ni kutaka kuonekana ni black american
Wazazi wa kamala Harris upande wa baba (Profesa Donald J. Harris) ni chotara mwenye mchanganyiko wa mhindi, mzungu na Jamaican.
Upande wa mama (Profesa Shyamala Gopalan) ni Mhindi.,
Kamala Harris karithi zaidi DNA ya kihindi, ukimutazama tu uso wake waweza dhani ni ndugu yake Sunak
Kamala Harris aliishi zaidi na mama yake na wahindi wengine, mitaa ya wahindi nchini Canada, Mara nyingi kasafiri kwenda India, watu wake wa karibu zaidi ni wahindi ukiachana na mme wake mzungu.
Alitangazwa kuwa Senator wa kwanza mwenye asili ya kihindi mwaka 2016
Ni mara nyingi alikiri kwa kinywa chake yeye ni mhindi, Ni mpaka hivi karibuni kaanza kujiita Black American kwa malengo ya kisiasa
Your browser is not able to display this video.
Wamarekani weusi wengi wamestukia mchezo, wanamkataa wazi wazi bila kumungunya maneno, Kuna ongezeko kubwa sana la wamaerekani weusi wanaompa support Donald J Trump.
Uongozi wa Biden wamefungua mipaka maharamia milioni 20 wameingia bila vibali, Uhalifu umeongezeka, Mamia ya mabilioni ya kodi za wananchi yanapelekwa Ukraine, Mfumuko wa bei, Soko la hisa limecrush vibaya mno, n.k.
Kura wakati fulani hazina kanuni kwani kwenye uchaguzi wa 2016 Hillary Clinton aliongoza kura za maoni mpaka mwisho lakini mwisho wa siku Trump ndio aliibuka mshindi.
Kura wakati fulani hazina kanuni kwani kwenye uchaguzi wa 2016 Hillary Clinton aliongoza kura za maoni mpaka mwisho lakini mwisho wa siku Trump ndio aliibuka mshindi.
Ni sawa na bongo ili upate uongozi ni lazima uunge mkono muungano wa Tanzania na Zanzibar 😂
Siasa ni akili tuu, mtu unabadilika rangi chap tuu kutoka white to black
Kamala Harris ana asilimia 75 zenye asili ya kihindi, zilizobaki asilimia 25 ni za kiafrika upande wa baba yake mjamaica.
Amekuzwa Canada kwenye nyumba ya kihindi upande wa mama yake Shyamala Gopalan, hajakulia mitaa ya wamarekani weusi wala kuishi na watu weusi.
Wazazi wake wote walikuwa ni maprofesa huku akiishi zaidi upande wa mama yake na ndugu zake wa kihindi
Kamala Harris kaishi maisha ya kishua, tofauti na uhalisia wa maisha ya black americans wengi
Alipochaguliwa kuwa Senator alikuwa Senator wa kihindi wa kwanza nchini Marekani na hakuafiki.
Ni mpaka hivi karibuni kaanza kujiita Black American ili apate huruma ya kisiasa, kisiasa ni mweusi ila moyoni ni mhindi
View attachment 3064607
Wamarekani weusi wengi wamestukia mchezo, wanamkataa wazi wazi bila kumungunya maneno, Kuna ongezeko kubwa sana la wamaerekani weusi wanaompa support Donald J Trump.
Kamala Harris ana asilimia 75 zenye asili ya kihindi, zilizobaki asilimia 25 ni za kiafrika upande wa baba yake mjamaica.
Amekuzwa Canada kwenye nyumba ya kihindi upande wa mama yake Shyamala Gopalan, hajakulia mitaa ya wamarekani weusi wala kuishi na watu weusi.
Wazazi wake wote walikuwa ni maprofesa huku akiishi zaidi upande wa mama yake na ndugu zake wa kihindi
Kamala Harris kaishi maisha ya kishua, tofauti na uhalisia wa maisha ya black americans wengi
Alipochaguliwa kuwa Senator alikuwa Senator wa kihindi wa kwanza nchini Marekani na hakuafiki.
Ni mpaka hivi karibuni kaanza kujiita Black American ili apate huruma ya kisiasa, kisiasa ni mweusi ila moyoni ni mhindi
View attachment 3064607
Wamarekani weusi wengi wamestukia mchezo, wanamkataa wazi wazi bila kumungunya maneno, Kuna ongezeko kubwa sana la wamaerekani weusi wanaompa support Donald J Trump.
Huyu Dk. Umar si Mwislamu? Kama ni hivyo HAWEZI kumuunga mkono mwenye asili ya India. Lakini maana yeye ana asilimia 25 za Uafrika uliotaja, kwanini mnamkataa kuwa sio Mwafrika?
Huyu Dk. Umar si Mwislamu? Kama ni hivyo HAWEZI kumuunga mkono mwenye asili ya India. Lakini maana yeye ana asilimia 25 za Uafrika uliotaja, kwanini mnamkataa kuwa sio Mwafrika?
-Harris kaishi Canada mitaa ya kishua ya wazungu, hajaishi mazingira ya wamarekani weusi.
-Kaishi na wahindi upande wa mama yake, hajaishi na black amaricans
-Ana muonekano wa kihindi sababu dna ni 75% indian
-kakiri mara nyingi yeye ni muhindi, kaanza kujiita mwesi hivi karibuni