Kamala Harris aumbuka kwa kudanganya ni Mmarekani mweusi, wamarekani weusi wanamkataa na kuhamisha focus kwa Trump

Kamala Harris aumbuka kwa kudanganya ni Mmarekani mweusi, wamarekani weusi wanamkataa na kuhamisha focus kwa Trump

View attachment 3064600



View attachment 3064591

Wazazi wa kamala Harris upande wa baba (Profesa Donald J. Harris) ni chotara wa Jamaica na Ireland , Upande wa mama (Profesa Shyamala Gopalan) ni Mhindi.,

Kamala Harris karithi zaidi DNA ya upande wa mama kwa asilimia 75%, hivyo ni mhindi zaidi, ukimutazama tu uso wake waweza dhani ni ndugu yake Sunak

Kamala akiwa bado mtoto miaka ya 70 wazazi wake waliachana, Aliishi na mama yake na ndugu zake wa kihindi, likizo nyingi walisafiri kwenda India.

Amekuzwa Canada kwenye mitaa ya wahindi, hajakulia mitaa ya wamarekani weusi

Alitangazwa kuwa Senator wa kwanza mwenye asili ya kihindi na hakuafiki.

Ni mara nyingi alikiri kwa kinywa chake yeye ni mhindi, Ni mpaka hivi karibuni kaanza kujiita Black American kwa malengo ya kisiasa

View attachment 3064607
Wamarekani weusi wengi wamestukia mchezo, wanamkataa wazi wazi bila kumungunya maneno, Kuna ongezeko kubwa sana la wamaerekani weusi wanaompa support Donald J Trump.


View attachment 3064653
View attachment 3064602
View attachment 3064652
View attachment 3064654
Yoda Mathanzua Nyani Ngabu Mag3 Kichuguu
 
Hayo ni maswali ya kawaida tu ili tujue tunajadili na mtu wa aina gani.

Hata Obama alikua biracial and grew up with his white parent ila alipoanza campaign walisema the first black president. The rest is history.

Kumkwamisha mtu kwa kutumia race yake ni njama tu za kisiasa zilizopitwa na wakati.
Obama hata kabla ya siasa aliji identify zaidi kama Black American, Harris hata alipokuwa Senator alijitambulika kama first indian senator, Mara paap kawa kama kinyonga anajiita black american, Juzi hapo kafosi kuongea kwa lafudhi wanayotumia black amaericans kageuka kuwa kituko,
 
Umar Johnson ni Mkristo.

Sio suala la dini, Wamarekani weusi wengi wanamkataa Kamala Harris sio mmarekani mweusi bali ni mhindi wa Canada
Wamarekani weusi wanamkataa Kamala Harris kama walivyomkataa Obama kwa vile hawana asili ya utumwa.

La si hivyo kwa marekani hata ukiwa na asilimia moja tu ya weusi kwenye damu yako wewe unakuwa mweusi.
 
Bullshit. Kamala Harris hajaanza kujitambulisha leo kama black, maisha yake yote amekuwa identified kama black. Halafu hao wote uliowaweka hapo chini hawawakilishi watu weusi wa America. Huo upuuzi ameanzisha Trump juzi tu hapa baada ya kupaniki kuona Joe Biden amejitoa.
Kamala yeye mwenyewe alikuwa anakiri kuwa more indian, wewe ni nani ubishe ?

Hujui kiingereza zaidi ya hizo "bullshit" za kukariri kwenye muvi au huna bando l la kuicheki video ?


 
Njia ni nyeupe kabisa kwa Trump,

Uongozi wa Biden wamefungua mipaka maharamia milioni 20 wameingia bila vibali, Uhalifu umeongezeka, Mamia ya mabilioni ya kodi za wananchi yanapelekwa Ukraine, Mfumuko wa bei, Soko la hisa limecrush vibaya mno, n.k.
Wewe mbuzi unaishi kijiji cha Ikwiriri, halafu unaongea kama uko US
nenda kawashe dawa ya mbu
 
View attachment 3064600



View attachment 3064591

Wazazi wa kamala Harris upande wa baba (Profesa Donald J. Harris) ni chotara wa Jamaica na Ireland , Upande wa mama (Profesa Shyamala Gopalan) ni Mhindi.,

Kamala Harris karithi zaidi DNA ya upande wa mama kwa asilimia 75%, hivyo ni mhindi zaidi, ukimutazama tu uso wake waweza dhani ni ndugu yake Sunak

Kamala akiwa bado mtoto miaka ya 70 wazazi wake waliachana, Aliishi na mama yake na ndugu zake wa kihindi, likizo nyingi walisafiri kwenda India.

Amekuzwa Canada kwenye mitaa ya wahindi, hajakulia mitaa ya wamarekani weusi

Alitangazwa kuwa Senator wa kwanza mwenye asili ya kihindi na hakuafiki.

Ni mara nyingi alikiri kwa kinywa chake yeye ni mhindi, Ni mpaka hivi karibuni kaanza kujiita Black American kwa malengo ya kisiasa

View attachment 3064607
Wamarekani weusi wengi wamestukia mchezo, wanamkataa wazi wazi bila kumungunya maneno, Kuna ongezeko kubwa sana la wamaerekani weusi wanaompa support Donald J Trump.


View attachment 3064653
View attachment 3064602
View attachment 3064652
View attachment 3064654
Pumba tupu. Unaijua one drop rule? Ulitaka aseme kuwa yeye ni mzungu?

Kwa Wewe mtu wa “ass-hole country” race ya Kamala inakuhusu nini kama siyo ujinga na ulimbukeni tu? Na wewe unaamini kuwa Obama hakuwa raisi halali wa marekani?
 
Mleta mada hauleweki kwa 100%.
Unataka kusema, kwa sababu Kamala Harris sio mtu mweusi hivyo watu weusi hawatampa kura?
Kwa hiyo wamerekani weusi wanamuunga mkono Trump kwa sababu ni mweusi?
Ama tangu lini Trump amekuwa na sera au siasa za kuwapenda watu weusi?
 
Pumba tupu. Unaijua one drop rule?

Kwa Wewe mtu wa “ass-hole country” race ya Kamala inakuhusu nini kama siyo ujinga na ulimbukeni tu? Na wewe unaamini kuwa Obama hakuwa raisi halali wa marekani?
While I appreciate your curiosity, it seems you already know it's meaning, Why ask what you already know ?

Perhaps we could delve into more complex aspects or explore new perspectives?
 
Kumbe democratic nikama ccm tu ,huyo mama alienda mpaka Zambia ambapo ilionesha ndipo wazazi wake walitokea na asiliyao

Huko Jamaica ikoje Tena .....kumbe democratic waliona mbali wakihisi watu hawana taarifa naye
 
Majuzi kalazimisha kuongea kwa lafudhi ya wamarekani weusi kaumbuka vibaya mno mithiri Mkongomani anaelazimisha kuongea kiswahili cha bongo.
Wala sio hoja yenye nguvu hapo!!kwani Trump ndio anawapenda weusi na wahamiaji?
 
View attachment 3064600



View attachment 3064591

Kamala amekuwa akitaka kutumia tabaka la ngozi nyeusi kum boost kisiasa lakini wamarekani weusi wamestukia na kumkataa, ni Tofauri ya Obama alikuwa tayari ana uwezo mkubwa sana wa ku debate, very charismatic, connected, n.k. Kamala amekuwa akiegemea zaidi kutumia ngozi, mqjuzi kwenye moja ya kampeni zake hivi karibuni kajaribu kubadili lafudhi yake aongee lama wamarekani weusi ila aliumbuka, yote hii ni kutaka kuonekana ni black american

Wazazi wa kamala Harris upande wa baba (Profesa Donald J. Harris) ni chotara wa Jamaica na Ireland , Upande wa mama (Profesa Shyamala Gopalan) ni Mhindi.,

Kamala Harris karithi zaidi DNA ya upande wa mama kwa asilimia 75%, hivyo ni mhindi zaidi, ukimutazama tu uso wake waweza dhani ni ndugu yake Sunak

Kamala akiwa bado mtoto miaka ya 70 wazazi wake waliachana, Aliishi na mama yake na ndugu zake wa kihindi, likizo nyingi walisafiri kwenda India.

Amekuzwa Canada kwenye mitaa ya wahindi, hajakulia mitaa ya wamarekani weusi

Alitangazwa kuwa Senator wa kwanza mwenye asili ya kihindi na hakuafiki.

Ni mara nyingi alikiri kwa kinywa chake yeye ni mhindi, Ni mpaka hivi karibuni kaanza kujiita Black American kwa malengo ya kisiasa

View attachment 3064607
Wamarekani weusi wengi wamestukia mchezo, wanamkataa wazi wazi bila kumungunya maneno, Kuna ongezeko kubwa sana la wamaerekani weusi wanaompa support Donald J Trump.


View attachment 3064653
View attachment 3064602
View attachment 3064652
View attachment 3064654
Mbona unakuwa muongo kama Trump? Kamala Harris hajawahi kujitambulisha kama mhindi. Hajawahi kumkana mama yake lakini siku zote amekuwa akijihesabu kuwa ni mweusi kwa sababu baba yake ni mweusi. Amesoma HBCU.

Watu kama Dr. Umar wanapinga ndoa kati ya race tofauti ndio maana hamkubali Kamala. Aidha, kuna wapuuzi katika jamii ya wamarekani weusi ambao wanaamini kuwa mtu yeyote asiyekuwa DoS hana haki ya kujiita mweusi.

Hao ndio waliokataa kumtambua Obama kama mtu mweusi kwa vile tu mama yake alikuwa mweupe. Marekani mtu yeyote mwenye damu nyeusi ni mweusi. Hata iwe kidogo vipi. Hii inajulikana kama one drop rule ambayo ilitumika katika kuzuia ndoa kati ya watu wa race tofauti. Ndio maana watu kama Alicia Keys wanatambulika kama weusi na sio weupe.

Kamala ni hivyo hivyo. Yeye na mdogo wake wanatambulika kama weusi na jamii ya watu weusi kwa kiasi kikubwa imewakubali. Hii imeonyeshwa na namna wanawake weusi walivyo mkumbatia kwa wivu mkubwa. Na hao ndio watakaompeleka White House.

Amandla....
 
Mbona unakuwa muongo kama Trump? Kamala Harris hajawahi kujitambulisha kama mhindi. Hajawahi kumkana mama yake lakini siku zote amekuwa akijihesabu kuwa ni mweusi kwa sababu baba yake ni mweusi. Amesoma HBCU.

Watu kama Dr. Umar wanapinga ndoa kati ya race tofauti ndio maana hamkubali Kamala. Aidha, kuna wapuuzi katika jamii ya wamarekani weusi ambao wanaamini kuwa mtu yeyote asiyekuwa DoS hana haki ya kujiita mweusi.

Hao ndio waliokataa kumtambua Obama kama mtu mweusi kwa vile tu mama yake alikuwa mweupe. Marekani mtu yeyote mwenye damu nyeusi ni mweusi. Hata iwe kidogo vipi. Hii inajulikana kama one drop rule ambayo ilitumika katika kuzuia ndoa kati ya watu wa race tofauti. Ndio maana watu kama Alicia Keys wanatambulika kama weusi na sio weupe.

Kamala ni hivyo hivyo. Yeye na mdogo wake wanatambulika kama weusi na jamii ya watu weusi kwa kiasi kikubwa imewakubali. Hii imeonyeshwa na namna wanawake weusi walivyo mkumbatia kwa wivu mkubwa. Na hao ndio watakaompeleka White House.

Amandla....
Mkuu achana na hivo vipuuzi vinavyoanzisha mada zinazowazidi kimo. Laiti angejua jinsi idadi kubwa ya hao anaowaita weusi walivyoshikamana na Kamala. Laiti angejua Trump anavyoteseka na ujio wa Kamala!
 
Mkuu achana na hivo vipuuzi vinavyoanzisha mada zinazowazidi kimo. Laiti angejua jinsi idadi kubwa ya hao anaowaita weusi walivyoshikamana na Kamala. Laiti angejua Trump anavyoteseka na ujio wa Kamala!
Ni vizuri kuwaelimisha kidogo, Mkuu.

Amandla...
 
Ni vizuri kuwaelimisha kidogo, Mkuu.

Amandla...
1723148967185.png
Trump is a convicted felon and who knows his type better than Kamala?
 
Trump is a convicted felon and who knows his type better than Kamala?
Unakumbuka 2016 ?

Hakuna Poll iliyoonesha Trump kumpiku Hillary, unajua kwanini ? Polls sio zinafanyika kwenye makundi ya Democrats wengi, Biased polls, Long gone are the days when polls zilifanyika neutral.

Ni watu hao hao wanaozichonga hizo polls walikuaminisha 2016 kwamba Hillary yupo mbele kila kitu.

IGNORE THE POLLS !! WAIT FOR THE ELECTIONS !!
 
Back
Top Bottom