gammaparticles
JF-Expert Member
- Jan 9, 2024
- 1,407
- 3,855
Hauchomoki hapa, umefuta huu upupu?nikuletee polls za foxnews??
Kamalla Harris na Biden wameharibu sana maisha ya wamarekani hasa weusi, wameruhusu maharamia milioni 20 kuingia Marekani bila vetting, maharamia hao wanalala hotelini, wanapewa pesa, chakula, n.k. wakati kuna wamarekani weusi wengi wanalala nje.Wamarekani weusi wanaomktaa Kamala hawana tafauti na wajinga ndiyo waliwao wa Tanzania.
Wakimkataa wakimkubali haijalihsi. Marekani ni Republic kama Tanzania, masanduku ya kura ni boshen tu.
Atawekwa Urais wamtakae "aristocrats" siyo kwa sanduku la kura.
Baba ni mjamaica chotara kati ya Mjamaika mweusi na Mzungu. Hivyo, kiuhalisia baba yake ni Mzungu.Kama baba yake ni mjamaica mbona mmempa asilimia chache akati kwa baba ndio asili ya mtoto
Wamarekani ni vyema Sana wakamchagua huyu mama Kamala Harris kuwa Rais wao. Trump akirudi Tena madarakani atawasumbua Sana, atawatia misukosuko Hadi wakomeKamala amekuwa akitaka kutumia tabaka la ngozi nyeusi kum boost kisiasa lakini wamarekani weusi wamestukia na kumkataa, ni Tofauri ya Obama alikuwa tayari ana uwezo mkubwa sana wa ku debate, very charismatic, connected, n.k. Kamala amekuwa akiegemea zaidi kutumia ngozi, mqjuzi kwenye moja ya kampeni zake hivi karibuni kajaribu kubadili lafudhi yake aongee lama wamarekani weusi ila aliumbuka, yote hii ni kutaka kuonekana ni black american
Wazazi wa kamala Harris upande wa baba (Profesa Donald J. Harris) ni chotara mwenye mchanganyiko wa mhindi, mzungu na Jamaican.
View attachment 3064977
Upande wa mama (Profesa Shyamala Gopalan) ni Mhindi.,
View attachment 3064976
Kamala Harris karithi zaidi DNA ya kihindi, ukimutazama tu uso wake waweza dhani ni ndugu yake Sunak
View attachment 3064591
Kamala Harris aliishi zaidi na mama yake na wahindi wengine, mitaa ya wahindi nchini Canada, Mara nyingi kasafiri kwenda India, watu wake wa karibu zaidi ni wahindi ukiachana na mme wake mzungu.
Alitangazwa kuwa Senator wa kwanza mwenye asili ya kihindi mwaka 2016
View: https://x.com/MJTruthUltra/status/1815943914668339576
View attachment 3064979
Ni mara nyingi alikiri kwa kinywa chake yeye ni mhindi, Ni mpaka hivi karibuni kaanza kujiita Black American kwa malengo ya kisiasa
View attachment 3064607
Wamarekani weusi wengi wamestukia mchezo, wanamkataa wazi wazi bila kumungunya maneno, Kuna ongezeko kubwa sana la wamaerekani weusi wanaompa support Donald J Trump.
View attachment 3064653
View attachment 3064602
View attachment 3064652
View attachment 3064654
We mpogolo Kamala kakukosea Nini? Hebu pambana kudai TANGANYIKA yako.Ishu ni kwamba
-Harris kaishi Canada mitaa ya kishua ya wazungu, hajaishi mazingira ya wamarekani weusi.
-Kaishi na wahindi upande wa mama yake, hajaishi na black amaricans
-Ana muonekano wa kihindi sababu dna ni 75% indian
-kakiri mara nyingi yeye ni muhindi, kaanza kujiita mwesi hivi karibuni
Simply put, Kamala Harris ni Canadian Indian
Upo sahihi mkuu. Trump NI zaidi ya tatizo kwa jamii iliyostaarabika.Wamarekani ni vyema Sana wakamchagua huyu mama Kamala Harris kuwa Rais wao. Trump akirudi Tena madarakani atawasumbua Sana, atawatia misukosuko Hadi wakome
Na ni kwa sababu yeye mwenyewe Kamala alikuwa anawabagua na kujitambulisha yeye ni mhindi..Kamala alichukia weusi. Wanashangaa Leo imekuaje anajitambulisha mweusi
Umar Johnson ni Mkristo.
Sio suala la dini, Wamarekani weusi wengi wanamkataa Kamala Harris sio mmarekani mweusi bali ni mhindi wa Canada
Kamala anaongoza mpaka sasa huko USALakini harris kwa blacks ni bora zaidi kuliko trump ambaye amekuwa na kauli nyingi za kibaguzi dhidi ya blacks, juzi alisema foregners are taking black jobs kitu ambacho ni cha kibaguzi
Unaota wewe.Media zimeingiliwa na vyama vya siasa, kura za maoni hazina maana sikuhizi..
Cnn ni democrats, kura za maoni nyingi wanawapendelea Democrats, Uhalisia ni kwamba kwa sasa Trump yupo mbali mno.
Atashinda tu.......
TayariAlishapata msaada wa CCM ??
kwahiyo wahindi hawana black indian ? watu weusi tuna asili ya ubaguzi , anaeza kuwa black american mwenye asili ya afrika , asia au latin america au carribian
Kamwe Kamala hashindi ng'o. Il japo Trump atashinda ila hataongoza US kwa kuenjoy maana ni dhahiri atakutana na changamoto kubwa sana ya severe financial crisis na next pandemic, infact US itashuka kiuchumia kwenye kipindi chake.Njia ni nyeupe kabisa kwa Trump,
Uongozi wa Biden wamefungua mipaka maharamia milioni 20 wameingia bila vibali, Uhalifu umeongezeka, Mamia ya mabilioni ya kodi za wananchi yanapelekwa Ukraine, Mfumuko wa bei, Soko la hisa limecrush vibaya mno, n.k.
Ni kweli kwamba uwezekano wa Trump kushinda Uchaguzi ujao ni mkubwa sana ukilinganisha na Kamala Harris. Lakini ni kweli kabisa kwamba Trump atawatia misukosuko sana Raia wa Marekani endapo kama ataingia Tena madarakani.Kamwe Kamala hashindi ng'o. Il japo Trump atashinda ila hataongoza US kwa kuenjoy maana ni dhahiri atakutana na changamoto kubwa sana ya severe financial crisis na next pandemic, infact US itashuka kiuchumia kwenye kipindi chake.
reality?Hizo DNA hakuna issue in reality mtoto anachukua jina la baba na ukabila wa baba