TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 14,747
- 24,250
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaweza ukasema utulize bichwa labda utaelewa ila unakuja kugundu kumbe hata bichwa lenyewe hauna unafuvu na ngozi na vinyweleo vya kichwaAu basi sijui mimi ndo nasoma haraka ngoja nitulize bichwa ntarudi tena
Basi ngoja nitulize fuvu la kichwa,apo vipi? Umeridhika ulichotaka kusikia mkuu [emoji848][emoji848]Unaweza ukasema utulize bichwa labda utaelewa ila unakuja kugundu kumbe hata bichwa lenyewe hauna unafuvu na ngozi na vinyweleo vya kichwa
Mayb alienda 1969👇🏾
👇🏾
Sixties tunaweza kusema ni miaka ya sitini humo, tukitumia tarakimu 1960+ hapo ndipo tunaweza sema ile 1964 nayo himo ndani ya plus (+) as 1960 to 1969
usishangae ni time travel theory implemented [emoji23]Umezaliwa 1984 na mwaka 1980 (upsidedown) ukaenda kijijini kwenu kumsalimia babu yako!.
Umeambiwa weka source tukajisomee,[emoji1484]
[emoji1484]
Sixties tunaweza kusema ni miaka ya sitini humo, tukitumia tarakimu 1960+ hapo ndipo tunaweza sema ile 1964 nayo himo ndani ya plus (+) as 1960 to 1969
Apo unyama sana mastaBasi ngoja nitulize fuvu la kichwa,apo vipi? Umeridhika ulichotaka kusikia mkuu [emoji848][emoji848]
Mkuu nani aliyeniambia niweke source?.Umeambiwa weka source tukajisomee,
Mbona unalazimisha tuamini maneno yako pekee?
What if wewe ndio hujaelewa?
Kamala bado hajafika Zambia. Ataenda huko akitoka Tanzania tarehe 31. Pia ni kweli Kamala aliwahi fika Zambia mwishoni mwa miaka ya 60. Kama Kamala kazaliwa 1964 aliwezaje kwenda Lusaka 1960? Nadhani utafute jukwaa la wale watu wanaoandika xaxa, 2onane, ela, ugari, Kisalawe, kwasababu ndo mnaendana uwezo wa kufikiri.Amani kwako mdau.
Direct kwenye topic; Huyu mama dada yangu Kamara Harris ametua Zambia na kufanya kilichompeleka kwa mjoli mwenzangu Rais wa Zambia Mh. Hichilema...
Kuna tofauti ya mtu akisema 1960 na akisema 1960s hasa ukitumia lugha ya Kamala Harris.Amani kwako mdau.
Direct kwenye topic; Huyu mama dada yangu Kamara Harris ametua Zambia na kufanya kilichompeleka kwa mjoli mwenzangu Rais wa Zambia Mh. Hichilema.
Mara baada ya purukushani kadhaa huyu mama akadai miaka ya 1960, babu yake mzee Gopalan aliyewahi kuishi nchini humo baada ya serikali ya India miaka hiyo kumtuma huyo babu kwenda kuwachukua wakimbizi wa kihindi waliokuwa hapo.
Yaani kuongea hilo amewapa usumbufu na kashikashi maafisa ubalozi wa marekani, wananchi pamoja na serikali ya Zambia.
Wapi nasema asije akatupiga?
Huyu makamu wa Rais Kamara alizaliwa October 20. 1964 na anasema mwaka 1960 aliwahi kumtembelea mzee Gopalan wakati akiwa mdogo, au aliendaje kwa babu yake akiwa hayupo duniani?.
Maslahi gani?Akazaliwa 1964 na 1960 akaja. review hizo miaka na uiweke sawa mkuu hao wana maslahi yao
KajipangeHuyu makamu wa Rais Kamara alizaliwa October 20. 1964 na anasema mwaka 1960 aliwahi kumtembelea mzee Gopalan wakati akiwa mdogo, au aliendaje kwa babu yake akiwa hayupo duniani?.
Kwa kifupi mgozi nyeusi ni balaa tu.Mimi nachojua wanapokuja hawa huwa wanatuachia mabalaa tu!
Ona Kenya hapo alikuja beberu ameondoka hata week haijapita wakapitisha mambo ya kipuuzi tena kupitia chombo kikubwa "mahakama"
Hata sisi tutegemee makubwa zaidi ya hayo.
Hii picha inaweza kuwa ni ya miaka ya mwisho ya 80s au mwanzoni mwa 90s alikuwa mwananke tayari.Ndugu yangu nimejaribu kupitia kujiridhisha kuhusu umri nafikiri huenda ulisikia vibaya.
Nimepitia vyanzo kadhaa vinabainisha kwamba Kamara alikuwa Lusaka, Zambia miaka ya 60 mwishoni yaani late 1960's na sio mwaka 1960. Huenda hakusikika vizuri...
Hakuna maslahi yoyote, ni uelewa tu wa maelezo yaliyotolewa.Akazaliwa 1964 na 1960 akaja. review hizo miaka na uiweke sawa mkuu hao wana maslahi yao