Kamala Harris njia nyeupe

Kamala Harris njia nyeupe

ward41

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2022
Posts
749
Reaction score
2,533
1000070329.jpg


Mdogomdogo gap linapunguwa.
 
USA kamwe hawawezi kumpa urais mwanamke. Jinsi hii inaweza kuaminiwa katila mambo ya usaidizi tu lakini siyo katika kufanya maamuzi ya mwisho ndani majukumu mazito na nyeti ya kitaifa.

Ni vile kama "deep state" ilivyo "compromised" katika nafasi ya urais hapa Tanzania na kuwa "biased & prejudiced" kwa Wakatoliki - Ukristo na Washia - Uislamu. Kwao "gender issue" katika uongozi wa kitaifa ni kitu nyeti mno
 
Trump anasema huyo mama ndiye mwanasiasa dhaifu kuliko wote katika historian ya America.
Ccm nao walisema Tundu Lissu ndio alikuwa mpinzani dhaifu kushinda wapinzani wote waliowahi kupambana nao ktk uchaguzi nchini Tanzania.

Sasa cha ajabu huyo Tundu Lissu ndiye mpinzani waliyemuibia kura kushinda mpinzani yeyote katika historia ya chaguzi katika Tanzania.

Wanasiasa kuingia mbinguni itakuwa vigumu kama ngamia kupenya kwenye tundu la sindano.
 
Kwa Marekani, Democrasia huharibika pindi tu linapkuja suala la wao eti watawaliwe na jinsia ya KE

Nasemaje, hata akishinda kwa 90%, Kamara hatangazwi!

Niko 👉
 
USA kamwe hawawezi kumpa urais mwanamke. Jinsi hii inaweza kuaminiwa katila mambo ya usaidizi tu lakini siyo katika kufanya maamuzi ya mwisho ndani majukumu mazito na nyeti ya kitaifa.

Ni vile kama "deep state" ilivyo "compromised" katika nafasi ya urais hapa Tanzania na kuwa "biased & prejudiced" kwa Wakatoliki - Ukristo na Washia - Uislamu. Kwao "gender issue" katika uongozi wa kitaifa ni kitu nyeti mno
Hata wakati fulani walisema mtu mweusi hawezi kupata urais nchini Marekani lakini alikuja akapata tena mihula miwili mfululizo.

Wamarekani inaonekana walipofikia hakuna nchi yoyote ambayo imeweza kupafikia kwani wao sasa hawaangalii tena rangi ya ngozi ya mtu wala jinsia bali wanaangalia unataka kuifanyia nini Marekani, kwisha.

Huko tuendako iko siku watampa urais mwarabu tena muislam lakini ambaye atakuwa anajitambua na ambaye hatakuwa na yale mawazo ya kipumbavu ya karne ya saba na ambaye atatambua haki ya kuwepo kwa taifa la Israel.

Msimamo kama huo wa wamarekani wa kutokua na ubaguzi wa rangi tofauti na mataifa mengi duniani kutaifanya taifa hilo kuendelea kuwa taifa tishio duniani kwa mambo mengi.
 
Back
Top Bottom