Ukimuoa huyo atakuletea uanaharakati hadi kwenye tendo la ndoa.Ila wakuu ,Halima Mdee ni Chombo kikali sana..View attachment 1389154
Angalia usije kugeuzwa weweMagufuli na genge lake ndo wnaratibu huu Ujinga.. Alafu askar magereza walimpiga mh Bulaya lazima tuwafre
Jomba unajuaje Kama matukio haya yanafanana..ulikuwepo kule magereza..msidhani wananchi hatuna akili jomba. Askari wale walijitahidi Sana kuwasihi watoke eneo like lakini wao wakawa wanalazimisha kuingia kwenda kumuokoa Mwenyekiti wao ..ujinga Sana huuHawa askari pamoja na kwamba uwepo wao Ni muhimu kwa usalama wetu, lakini Sasa nimeanza kuona kama wale Wananchi wa MKIRU walioamua kuwabugiza risasi walikuwa sahihi. Wanawezaje kuwa na double standard kwa matukio yanayofanana!!!?
Polepole anafunguliwa geti kwa unyenyekevu na kuingia akiwa na wafuasi lukuki; huku Wabunge Halima na Esther wanafanyiwa unyama wa wa kimbwa, kuvunjwa mkono na mgongo wakiwa wako nje ya geti lile lile wakimsubiri kiongozi wao!!
Ni kweli mkombe,magumu kweli kuelewa haya makamanda.Tisiache kuwafungua masikio ambao bado yameziba hawa wanakimbilia huruma ya wananchi na haitowasaidia wengi wamestuka
Kuhusu jina ni kweli kaka wa kumwitu kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivyo ndivo utawala wa sheria unavotekelezwa.Huyu siwezi kumuamini hata kidogo.
Kwenye hiyo kesi,wanaolengwa hapo ni Mdee na Bulaya, ila haya mambo mwisho wake ni kuwafanya viongozi wa upinzani na wafuasi wao kwa ujumla kuzoe Jela na hali hii ikitimia,basi tujiandae kwa maandamano na ghasia za kisiasa haya yakiwa ni matokeo ya watu kutoogopa jela na zaidi kuwa desperate hivyo kujiona hawana cha kupoteza kukaa/kwenda jela.
Na wananchi ndio sisi hawa tunaona jinsi wanasiasa wanavyo tuvuruga hasa wa upinzani,wanafanya fujo hovyo na kushawishi tuwekewe vikwazo ili tufe njaa,kwa hali hii unadhani tutawachagua kweli mkuu?Cdm hawahitaji huruma ya mwananchi yoyote, bali wanahitaji kutendewa haki na kuheshimiwa tu. Huyo Mambosasa anatumwa kupotosha umma na kufunika ukweli, lakini ulimwengu wa sasa watu hawako usingizini tena, wanaweza kuona wenyewe bila kuletewa hadaa na taasisi za dola, ambazo katibu mkuu wa chama tawala anajigamba kuwa ndio nguzo yao.
Safari hii hakuna faini ni kifungo tu,wasifanye fujo/makosa kwa kutegemea mteremko,kwanza wananchi nao wanawachoka,anajitoa buku 2 yake badala ya kununa mboga home anamchangia muhuni anaenda kufanya fujo ili arudi jela,inaumiza sana.Taratibu za malipo zilishafanywa figisu zilikuwa alale atolewe jtatu,mngemtoa mapema yasingetokea mnalazimisha vurugu ili mpate Pesa Mbona?
Lazima ilikua katika purukushani,vita haina macho mkuu kila mtu anajihami kwa namna yoyote anayoweza.Najaribu kujiuliza, hivi huyu askari aliyechaniwa sare yake na Halima alikuwa amelala usingizi mzito? Mpaka raia amsogelee amkamate, amkunjekunje mpaka sare ichanike......! Kama ni kweli huyu hafai kuwa askari, apewe kazi ya kudeki ofisi za wakubwa wake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi marekani ni paradiso? Acha ushamba.mimi nina rafiki yangu walimnyima visa kwa dharau zao. Alienda kula bata cape town,ni pazuri kuliko hata Us.Yupo kwenye list ya watu wanaofuata kuwekewa vikwazo na Marekani.
Na wananchi ndio sisi hawa tunaona jinsi wanasiasa wanavyo tuvuruga hasa wa upinzani,wanafanya fujo hovyo na kushawishi tuwekewe vikwazo ili tufe njaa,kwa hali hii unadhani tutawachagua kweli mkuu?
macson
Utamu wa kule kunani na kazi wapi na wapi?Omary Mahita aliyekuwa IGP wa Tanzania ambaye rekodi yake ya ukatiri haijawahi kuvunjwa , baada ya kustaafu ALIBURUZWA MAHAKAMANI KWA TUHUMA ZA AIBU ZA KUMJAZA MIMBA HOUSE GIRL WAKE MWENYEWE NA KURUKA MATUNZO YA MTOTO , bado haijafahamika kama alimbaka baada ya kumtisha na mavyeo yake ya upolisi au walikubaliana ( tunaendelea kuchunguza ) , Cheo chake hakikumsaidia wala CCM haikumsaidia , amebaki kudhalilika binafsi milele na milele , hadi kufikia waislam kuukataa msikiti alioujenga mjini Morogoro .
Lazaro Mambosasa aichukue changamoto hii ya Mahita kama funzo kwake , leo Mahita hakuna mahali anapoheshimiwa , hata chama chake cha ccm kilimbwaga kwenye kura za maoni .
Mbona wengine wameshushwa magarini huo uhuni wamefanyia wapi sasa,sio waliovunja wanawake ni wahuni nijuavo askari ni amaniSafari hii hakuna faini ni kifungo tu,wasifanye fujo/makosa kwa kutegemea mteremko,kwanza wananchi nao wanawachoka,anajitoa buku 2 yake badala ya kununa mboga home anamchangia muhuni anaenda kufanya fujo ili arudi jela,inaumiza sana.
macson
Usinifanye Sina akili Kama wewe, na Wala Mimi Sina ujomba na wapumbavu. Ni Mpumbavu tu anayeweza kufikiri na kuunda ujinga unaounda wewe. Inaonekana wewe na Mambosasa lenu moja. Kufikiri kuwa Watanzania wote Ni wajinga!!!Jomba unajuaje Kama matukio haya yanafanana..ulikuwepo kule magereza..msidhani wananchi hatuna akili jomba. Askari wale walijitahidi Sana kuwasihi watoke eneo like lakini wao wakawa wanalazimisha kuingia kwenda kumuokoa Mwenyekiti wao ..ujinga Sana huu