Kamanda Mambosasa: Upelelezi wa kesi ya wafuasi 27 wa CHADEMA wakiwemo viongozi wanaodaiwa kufanya fujo gereza la Segerea umekamilika

Kamanda Mambosasa: Upelelezi wa kesi ya wafuasi 27 wa CHADEMA wakiwemo viongozi wanaodaiwa kufanya fujo gereza la Segerea umekamilika

Haiingii akilini suala la magereza unamhusisha Bashiru kivipi hasa.

Ni kukosa akili tu ya kuwaza. Unajua ni kosa gani wamefanya au unahisia zako tu

Meta uzi yuko sahihi, kama ni fujo kwanini hao cdm wakalete siku ya wao kutolewa na sio kufanya fujo siku wanapelekwa jela? Hiyo kesi achia mbali kuwa ni ya kubambikizwa, mbona hao wanacdm hawakufanya fujo muda wote huo, hadi wangoje wakiwa wamelipa hela ya kuwamtoa ndio wafanye fujo? Serikali na vyombo vya dola wanashindana kutoa maelezo na vitisho ili kuhadaa umma na dunia kuwa viongozi wa cdm walifanya fujo, ndio maana wanafanyiwa huo ukatili, jambo ambalo si kweli.

Ni hivi, rais aliyeko madarakani ana nongwa na chuki binafsi na cdm, na ameshajiapiza kuwa ataifuta cdm, na ndio kilichopelekea katibu mkuu wa ccm kujigamba kuwa watatumia dola kubaki madarakani. Hivyo sasa hivi kila taasisi inawafanyia cdm ukatili ili kumfurahisha rais, kwani inafahamika unapowafanyia cdm ukatili, udhalilishaji na hujuma zozote zile, unajiweka kwenye mazingira mazuri ya kupata madaraka.
 
Haiingii akilini suala la magereza unamhusisha Bashiru kivipi hasa.

Ni kukosa akili tu ya kuwaza. Unajua ni kosa gani wamefanya au unahisia zako tu
Hivi Kwa akili yako wale wanawake wanaweza Kweli ingia Na kumtoa mbowe pasipo taratibu?
 
Haiingii akilini suala la magereza unamhusisha Bashiru kivipi hasa.

Ni kukosa akili tu ya kuwaza. Unajua ni kosa gani wamefanya au unahisia zako tu
Hivi Kwa akili yako wale wanawake wanaweza Kweli ingia Na kumtoa mbowe pasipo taratibu?
 
. Na Kama ni hisia zako kwanini unawaza upande mmoja tu..kwanini usiwaze kwamba watakuwa wametenda kosa la jinai

Kutenda kosa la jinai kunapeleka kuwapiga kikatili wanawake? Polepole alienda hukohuko gerezani kumfuata Msigwa na msafara, tena wakiwa na makamera ambayo hayaruhusiwi huko gerezani, mbona yeye sio sehemu ya hao watenda kosa la jinai? Unapotetea uovu usiwe kipofu wa ukweli.
 
hizo nguvu walizotumia kuwavunja wanawake si wasitumie kudai maslai yao ili wake zao waaache uza chapat
 
Kwamba wafuasi wa Chadema walitumia nguvu kutaka kuingia gerezani kwenda kumtoa Mwenyekiti wao Mh.Mbowe?
Mbowe alikaa gerezani Siku kadhaa,kwanini hizo nguvu hawakutumia ndani ya Siku hizo wakasubiri taratibu zote za kumtoa zifanyike ndo waende kulazimisha kumtoa kwa nguvu?
Kuna maswali mengi sana ya kujiuliza lakini ninachokiona ni askari wetu (Dola)kukubali kutumiwa na akina Bashiru kitu ambacho hakitaleta Afya njema ya Taifa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu Mr President anasema polisi wana bambikiza kesi as if hajui.. Je jili la Mambosasa kaliona?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Cherenganya hawa jamaa wanafanya makusudi ili kupata huruma ya wananchi ila mbinu wanazotumia za hovyo raia tumestuka. Harafu mkuu hilo jina nahisi wewe ni wa kwetu Nyanda za juu kusini,maana kuna kijiji kinaitwa hivyo.

macson
Tisiache kuwafungua masikio ambao bado yameziba hawa wanakimbilia huruma ya wananchi na haitowasaidia wengi wamestuka

Kuhusu jina ni kweli kaka wa kumwitu kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu naye hana lolote,ukianza sakata la Mo Dewji,ukaja la Akwilina unajua hili jamaa ni chenga kweli!
Kwanza hajitambui pili u IGP hautafutwi hivyo. Watu wenye tamaa ya uongozi huogopwa sana na watawala kwani huamini iko siku watakitamani kiti cha mteule pia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa Polisi wameshasahau jinsi walivyokuwa wanabugia risasi kule RUFIJI. Kwa haya wanayotenda wategemee visasi kushamiri dhidi yao kutoka kwa hao wanaowatendea ukatili.
Yaani wamewafanya Halima na Esther kuwa vilema hivi hivi halafu wanatamba huku tukiwalipa mishahara!!!? Inasikitisha sana.
 
Ni aibu sana pale polis wanapotunga uongo. Mambosasa inabidi awekewe vikwazo kuingia marekani.
 
Haiingii akilini suala la magereza unamhusisha Bashiru kivipi hasa.

Ni kukosa akili tu ya kuwaza. Unajua ni kosa gani wamefanya au unahisia zako tu

Unaweza kuona haiingii akilini, kumbe akili yenyewe huna.... tumia vilainishi bwashee.
 
Hawa askari pamoja na kwamba uwepo wao Ni muhimu kwa usalama wetu, lakini Sasa nimeanza kuona kama wale Wananchi wa MKIRU walioamua kuwabugiza risasi walikuwa sahihi. Wanawezaje kuwa na double standard kwa matukio yanayofanana!!!?

Polepole anafunguliwa geti kwa unyenyekevu na kuingia akiwa na wafuasi lukuki; huku Wabunge Halima na Esther wanafanyiwa unyama wa wa kimbwa, kuvunjwa mkono na mgongo wakiwa wako nje ya geti lile lile wakimsubiri kiongozi wao!!
 
Kwamba wafuasi wa Chadema walitumia nguvu kutaka kuingia gerezani kwenda kumtoa Mwenyekiti wao Mh.Mbowe?
Mbowe alikaa gerezani Siku kadhaa,kwanini hizo nguvu hawakutumia ndani ya Siku hizo wakasubiri taratibu zote za kumtoa zifanyike ndo waende kulazimisha kumtoa kwa nguvu?
Kuna maswali mengi sana ya kujiuliza lakini ninachokiona ni askari wetu (Dola)kukubali kutumiwa na akina Bashiru kitu ambacho hakitaleta Afya njema ya Taifa.

Sent using Jamii Forums mobile app
😆😆😆
 
Kwamba wafuasi wa Chadema walitumia nguvu kutaka kuingia gerezani kwenda kumtoa Mwenyekiti wao Mh.Mbowe?
Mbowe alikaa gerezani Siku kadhaa,kwanini hizo nguvu hawakutumia ndani ya Siku hizo wakasubiri taratibu zote za kumtoa zifanyike ndo waende kulazimisha kumtoa kwa nguvu?
Kuna maswali mengi sana ya kujiuliza lakini ninachokiona ni askari wetu (Dola)kukubali kutumiwa na akina Bashiru kitu ambacho hakitaleta Afya njema ya Taifa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Dola inatumika vibaya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom