Kamanda Mambosasa: Upelelezi wa kesi ya wafuasi 27 wa CHADEMA wakiwemo viongozi wanaodaiwa kufanya fujo gereza la Segerea umekamilika

Kamanda Mambosasa: Upelelezi wa kesi ya wafuasi 27 wa CHADEMA wakiwemo viongozi wanaodaiwa kufanya fujo gereza la Segerea umekamilika

Asante sana kamanda kwa ufafanuzi, wakitoka hopstal wafungwe kabisa

Huyo Mambosasa ni mmoja wa viongozi wa dola anaotambia katibu Mkuu wa ccm. Hao wanacdm watafungwa sio kwakuwa wana makosa, ila ni kwakiwa serikali ndio yenye maamuzi kuwa mahakama itoe vipi hukumu. Uzuri ni kuwa kwa sasa wananchi wanajua fika polisi sio kitengo cha kutenda haki tena, bali ni taasisi ya ccm.
 
Kiukweli kabisa baada ya kusikiliza utetezi wa kipigo cha viongozi wale bado hakuna sababu unayoweza kujustfy kipigo kile. Tunawajibu kama instituion kujitazama upya.
 
Hawa jamaa wa CHADEMA no sensible person would sympathize with them. They've been pulling up the Victims Card for too long.

Hata ukijaribu kupotosha ukweli haiwezekani maana wananchi ni waelewa. Ukweli uko wazi kuwa rais aliye madarakani ana nongwa na CHADEMA, na yeye ndio kinara wa huu ukatili wanaofanyiwa wanacdm.
 
Endeleeni kutegemea mtafanya fujo ili mchangiwe pesa kutunisha mfuko wa mwenyekiti,sasahivi hakuna faini ni kifungo tu,mkuu kuvamia gereza sio kesi ndogo.

macson
Unayaamini maneno yao au hasira za kuwakosa magerezani Kwa faini kubwa mkiamini hawatoweza had mkafungia account zao
 
Pale hawatafuti kiki mkuu hawawezi kuanza kurekodi,pale wanakua wanatekeleza majukumu yao ya kazi,hasa kuzuia wafungwa wasitoroshwe na wahuni wachache wanaojificha kwenye mgongo wa siasa.

macson
Taratibu za malipo zilishafanywa figisu zilikuwa alale atolewe jtatu,mngemtoa mapema yasingetokea mnalazimisha vurugu ili mpate Pesa Mbona?
 
Najaribu kujiuliza, hivi huyu askari aliyechaniwa sare yake na Halima alikuwa amelala usingizi mzito? Mpaka raia amsogelee amkamate, amkunjekunje mpaka sare ichanike......! Kama ni kweli huyu hafai kuwa askari, apewe kazi ya kudeki ofisi za wakubwa wake.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata ukijaribu kupotosha ukweli haiwezekani maana wananchi ni waelewa. Ukweli uko wazi kuwa rais aliye madarakani ana nongwa na cdm, na yeye ndio kinara wa huu ukatili wanaofanyiwa wanacdm.
Labda on a very abstract level.
 
Nawapa Pole sana waliopata ajali kwa uzembe wa madereva na pia mungu awape faraja wafiwa wote. Ila hao waliochokoza mzinga wa nyuki wenyewe hata wangekufa ni sawa tu. Wewe pale kuna watu wanamakesi magumu ya hatari halafu unapeleka siasa. Wapigwe tu maana hakuna namna nyingine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Cherenganya hawa jamaa wanafanya makusudi ili kupata huruma ya wananchi ila mbinu wanazotumia za hovyo raia tumestuka. Harafu mkuu hilo jina nahisi wewe ni wa kwetu Nyanda za juu kusini,maana kuna kijiji kinaitwa hivyo.

macson

Cdm hawahitaji huruma ya mwananchi yoyote, bali wanahitaji kutendewa haki na kuheshimiwa tu. Huyo Mambosasa anatumwa kupotosha umma na kufunika ukweli, lakini ulimwengu wa sasa watu hawako usingizini tena, wanaweza kuona wenyewe bila kuletewa hadaa na taasisi za dola, ambazo katibu mkuu wa chama tawala anajigamba kuwa ndio nguzo yao.
 
Nawapa Pole sana waliopata ajali kwa uzembe wa madereva na pia mungu awape faraja wafiwa wote. Ila hao waliochokoza mzinga wa nyuki wenyewe hata wangekufa ni sawa tu. Wewe pale kuna watu wanamakesi magumu ya hatari halafu unapeleka siasa. Wapigwe tu maana hakuna namna nyingine

Sent using Jamii Forums mobile app


Polepole alipoenda hao wenye makesi magumu hawakuwepo? Matumizi ya mabavu dhidi ya cdm wote tunayaona. Uzuri huo ukatili cdm wanafanyiwa kila mahali tunauona kuanzia kwenye mikutano yao ya ndani, mpaka kwenye chaguzi za nchi hii.
 
Cdm hawahitaji huruma ya mwananchi yoyote, bali wanahitaji kutendewa haki na kuheshimiwa tu. Huyo Mambosasa anatumwa kupotosha umma na kufunika ukweli, lakini ulimwengu wa sasa watu hawako usingizini tena, wanaweza kuona wenyewe bila kuletewa hadaa na taasisi za dola, ambazo katibu mkuu wa chama tawala anajigamba kuwa ndio nguzo yao.
Uzuri mabeberu wameshaona Kila kitu, hata Ile ziara ya kabudi marekani ni bora akabaki akaanda shamba lake kwa ajili ya masika, jitihada alizokua anazifanya ni sawa na bure

Na hayo ni matokeo ya mtawala asiyetumia akili, asiyeona mbali, Bali anatumia nguvu, jiulize hapo bado kampeni za uchaguz hazijaanza mbunge ameshavunjwa mkono tayari
 
CORONA inabidi ifike Tanzania maana serikali ya awamu ya tano imezidi baadala ya kuanza kuweka mazingira mazuri ya kupambana na CORONA wao kila siku ni kupambana na CHADEMA
Mungu hasikiagi maombi na desires za kishetani kama hizo hapo uloandika. Na ndio maana forever mtakuwa on the loosing side. Maneno yamtokayo mtu ndio yalomjaa, kuna watu huko uchina na italy wamerekodiwa wakisambaza corona makusudi, ni kama wewe, just pure evil men.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwamba wafuasi wa Chadema walitumia nguvu kutaka kuingia gerezani kwenda kumtoa Mwenyekiti wao Mh.Mbowe?
Mbowe alikaa gerezani Siku kadhaa,kwanini hizo nguvu hawakutumia ndani ya Siku hizo wakasubiri taratibu zote za kumtoa zifanyike ndo waende kulazimisha kumtoa kwa nguvu?
Kuna maswali mengi sana ya kujiuliza lakini ninachokiona ni askari wetu (Dola)kukubali kutumiwa na akina Bashiru kitu ambacho hakitaleta Afya njema ya Taifa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom