Kamanda Mambosasa: Upelelezi wa kesi ya wafuasi 27 wa CHADEMA wakiwemo viongozi wanaodaiwa kufanya fujo gereza la Segerea umekamilika



Tunamuonea huyuu mambosasa anapelekeshwa na wakubwa wake roho inamuuma ila afanyaje Sasa.
 
Pesa zingine zinatakiwa tukamilishe sgr
 
Washenzi wakubwa,yaani chuki mnayojijengea ipo siku mtashangaa!
Hivi askari wakipata ajali na kufa kama 10 hivi,hilo shangwe mitandaoni naliona kama lote!
 
Nili tegemea nimsikie akilaani askari wake wa kiume kutumia nguvu juu ya wanawake hadi kuwavunja mikono. Yeye ana leta story za kuchaniwa nguo. Of which nao ni uongo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika taifa lililojaa ng'ombe Kama Hilo mtafanywa lolote like

Amkeni fanyeni Jambo jipya fanyeni kitu hakijawahi fanywa tokea duina iumbwe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu Mzee vipi, Polepole alivyokwenda huko na makamera ya video alikuwa kaalikwa ba nani?
 
I hate this primate! Look at it. It pretends to be a human being!
Uko sawa kamanda mambo sasa! Namimi nakukubari sana kamanda wangu!
Umejibu maswari yote kwa ufadaha.
Kwa ukweli
Bila chembe ya uongo.
Naamini hata mahakamani kulingana nawalichokifanya wanaenda kula mvua za ukweli ili wakirudi wakute chama kimekufa kabisa. Halima na Bulaya wanajifanya wao nividume wameenderea kufanya vitendo visivyo jadi ya watanzania sasa naona wamefika sehem wanajiona ni mwamba.
Songesha mahakamani kwa mashtaka ambayo hawaweza kuyakanusha najua hata wao watakuwa wameyaandika.
1.kwenda kumtoa mfungwa gerezani bila ridhaa ya magereza
2.kufanya funjo ndani ya eneo la magereza kwa nia ovu yakutaka wafungwa watoke.
3.kuzuia jeshi la magereza kufanya kazi zao.
Nadhani walisahau kuwa mkuu wa magereza nchini saivi ni mjeshi.
Naina miaka2 jera au faini kwa kila mmoja.
 
Hivi afande Kova bado yuko Gongolamboto.........jamaa alilimudu sana jiji enzi zake!
 
Huyu Mzee vipi, Polepole alivyokwenda huko na makamera ya video alikuwa kaalikwa ba nani?
Kwahiyo ukikamatwa umeiba utasema mbona na frani kaiba!
Mwenzenu alifuata utaratibu wa mahakama.
 
March 15, 2020
Dar es Salaam, Tanzania


Leo Machi 15, 2020 Kamanda wa kanda maalumu ya Dar es salaam, SACP Lazaro B. Mambosasa amezungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa mikutano wa jeshi la polisi kanda maalumu ya Dar es salaam na kutoa taarifa ya kukamatwa kwa wanachama wa CHADEMA kwa kosa la kuleta fujo katika gereza la Segerea.
 
Maelezo haya Ngumu kuelewa, wabunge viongozi wetu wanachama na wafuasi mbali ya kufanya kampeni za kistaarabu kukusanya pesa za faini, halafu waende gerezani kuvamia kufanya fujo !

Wakati tunataka wote waliokuwa 'wafungwa' wapate uhuru wao, kwa kuomba removal order kwa hakimu baada ya kulipa faini na kiu yetu ni kuona waliokuwa 'wafungwa' si tu wanatoka salama kwa utaratibu uliowekwa lakini wanafika salama makao makuu ya chama na kisha majumbani mwao wakiwa salama tusherehekee wote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…