Kamanda Mambosasa: Upelelezi wa kesi ya wafuasi 27 wa CHADEMA wakiwemo viongozi wanaodaiwa kufanya fujo gereza la Segerea umekamilika

Wanasema kuwa, polisi kabla ya kufanya kazi zao kwanza, huwa wanavuta bange, na hii ni kweli.

Polisi wa Tanzania umchanie shati kwa fujo wakati yeye akiwa wapi??

Ukichelewa kutii amri yake kwa kukaa chini kwanza unapigwa rungu ama kofi.

Huu ujinga akawadanganye wajinga wenzake huko huko polisi.

Lakini wakubali kwamba walichofanya ni uhalifu na wao ni wahalifu ni majambazi na ni vibaka kama walivyo vibaka wengine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahiyo ukikamatwa umeiba utasema mbona na frani kaiba!
Mwenzenu alifuata utaratibu wa mahakama.
Jibu hoja...polepole ni askari mageleza uu? Kama siyo je alikuwa kaalikwa na nani?

Nyie mnaojiita CCM mpya msituharibie nchi.
 
Rubbish statement
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Busara ni kitu muhimu sana kwa hawa Polisi.
 
Mkiambiwa ninyi ni POLICCM huwa hamkubali.

Hivi...kwani Mbowe hakutolewa kwa kulipiwa faini??

Kama faini ililipwa inawezekanaje watu wakamtoe Mbowe gerezani kwa nguvu??

Huyu kamanda bado hajatuambia aliyemteka Mo ni nani, anatoa longo longo tu.

Tukisema yeye anamjua aliyemteka Mo na kwamba ndiye aliyetoa amri ya kuwapiga wafuasi wa CDM na kwamba ndiye anayemuamuru kuutangazia uma ujinga huu atakataa???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii CCM Mpya na serikali yake ya awamu ya tano lazima ikemewe na kukataliwa kabisa Òktoba 2020 kupitia sanduku la kurasa.

 
Tangu alipo sema risasi ilipigwa juu na kisha ikapinda mpaka Leo huyo simuamini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Walijipeleka wenyewe!
 
Tunamuonea huyuu mambosasa anapelekeshwa na wakubwa wake roho inamuuma ila afanyaje Sasa.
Siku zote unatakiwa kusimamia ukweli, so ukikubali kuendeshwa kwa ajili ya kulinda tumbo lako ni kitu kibaya sana kwa afya ya akili yako! [emoji41][emoji41]

ˡ ˡⁱᵏᵉ ᵇⁱᵍ⁻ᵗⁱᵗᵗʸ ʷᵒᵐᵃⁿ [emoji377]
 
Pale magereza kuna kikosi kinaitwa KMGM hao FFU wanasubiri

Dk 5: Inatakiwa watu wote wanaofanya fujo wanatakiwa wawe wanaugulia nguvu ya rungu wale awapigi usoni Wanapiga kuanzia kiunoni kushuka chini

Ni kikosi maalum cha magereza Sasa wajela jela ukisikia filimbi ya hatari ya magereza unalala kama umekufa awakugusi

Lakini ukijifanya kichaa wanakuvunja kweli kiuno

Ukileta genye magereza Utajikuta mloganzila au jumba leupe la Muhimbili karibu na msikiti na kanisa kkkt..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Another homo habilis pretending to be homosapiens
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…