05 October 2024
SACP JUMANNE MULIRO - SISI JESHI LA POLISI NDIYO TULIMUOKOA SATIVA ALIYETEKWA JIJINI DAR ES SALAAM
Kamanda wa Polisi kanda maalum mkoa wa Dar es Salaam SACP Jumanne Muliro amesema kuwa jeshi la Polisi ndilo likimuokoa Sativa aliyekuwa ametekwa kisha kuzungushwa Sehemu mbalimbali za Tanzania kisha akaokotwa Mpanda ktk pori huku akiwa na jeraha la kupigwa risasi iliyopenya kuingia ktk taya lake
View: https://m.youtube.com/watch?v=22LNIiku1W4
SACP JUMANNE MULIRO - SISI JESHI LA POLISI NDIYO TULIMUOKOA SATIVA ALIYETEKWA JIJINI DAR ES SALAAM
Kamanda wa Polisi kanda maalum mkoa wa Dar es Salaam SACP Jumanne Muliro amesema kuwa jeshi la Polisi ndilo likimuokoa Sativa aliyekuwa ametekwa kisha kuzungushwa Sehemu mbalimbali za Tanzania kisha akaokotwa Mpanda ktk pori huku akiwa na jeraha la kupigwa risasi iliyopenya kuingia ktk taya lake
View: https://m.youtube.com/watch?v=22LNIiku1W4

