Siro alikuja na ngonjera ya Wazungu WawiliKuhusu kupelekwa karakana pale
Aliulizwa?? 😄
Ova
Kwa maelezo ya sativa, wale madalali(washkaji) waliomtafutia nyumba ndio walimseti akamatwe..ajabu hakuna anayeongelea watu hawa..hawa walioshinikiza madalali kumpigia simu sativa waliwajulia wapi madalali kwamba wamemtafutia sativa nyumba? Kwa nini madalali hawahojiwi? ndio mambo ya watu wa kampuni za simu wnashiriki kutoa taarifa za wateja kwa polisi..hali ni ile ile km alivyokamatwa kabendera..Hata yeye mulilo kuna watu wanamuita mshikaji haimaanishi kuitwa mshikaji kunamuondolea sifa ya kuwa Polisi🐼
Kabisa, ni yale ya kumuhoji na vitisho juu ili wapate majibu wayatakayo.😂😂😂😂
Wakati wanamhoji mara ya kwanza alikuwa kwenye wenge jingi sana, Wamhoji tena sasa hivi ambapo tayari ameshapata utimamu wa akili