Kamanda Muliro: Malisa GJ, Boniface Jacob wakamatwe kwa tuhuma za kupotosha taarifa za kifo cha Robart Mushi

Ushawahi sikia siku polisi wanatangaza mtu kafa hana ndugu? Watu kibao wanakufa wanazikwa na halmashauri kimya kimya bila kelele
Swali lako halijaeleweka vizuri ila nikujibu tu...

Polisi kawaida hutoa ripoti za matukio mbalimbali iwe ya kihalifu au ajali ili kuuhabarisha umma, mfano matukio ya ujambazi mara nyingi husema wamekamata majambazi kadhaa yakiwa na silaha wakitaka kwenda kufanya uhalifu/wakiwa eneo la tukio wakifanya uhalifu.

Pia huripoti matukio ya ajali, ambapo husema ajali imetokea eneo fulani ambapo majeruhi au marehemu ni idadi kadhaa, na majeruhi hao au miili yao imehifadhiwa kwenye hospitali fulani..
 
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linatoa ufafanuzi kuhusiana na taarifa ya uongo na uzushi inayosambaa katika mitandao ya kijamii kuhusiana na kifo cha Robart Mushi @ Babu G...
Tangu tarehe 10 April mpaka jana tarehe 22 April Polisi walishindwa kutangaza kuokotwa kwa maiti ya mtu huyo ‘aliyegongwa na gari’ pamoja na jitihada zote za ndugu zake kumtafuta? Waliuhifadhi huo mwili ili iweje?

Maeneo ambayo ndugu walimtafuta ni pamoja na vituo vua Polisi, je Polisi walishindwa kuangalia kwenye Mortuary yao?
 
Ila ukisikiliza maelezo ya Kamanda Muliro, kuna namna Jacob kakosea. Inaonyesha kuwa hata ndugu zake na huyo Marehemu wamekubaliana na maelezo ya Polisi.
 
Na Muhimbili nako kulijaa?
 
Ile report hapana ni kupikwaaaa
Sasa kama ya kupikwa mbona Ndugu wa Marehemu wameridhia ila Boni ndo anapinga..?
Hivi kweli Boni hajui kwamba anatakiwa akafungue kesi ya kuomba uchunguzi wa mwili kama ana mashaka yeyote..? Mbona hafanyi yote hayo..?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…