Kamanda Muliro: Malisa GJ, Boniface Jacob wakamatwe kwa tuhuma za kupotosha taarifa za kifo cha Robart Mushi

Huyo muliro ameshapita Umri wa kustaafu lakini bado yupo kazini na vijana wapi mtaani hawana ajira
 
Hii inawezekana, pametokea ajali, raia wanautazama mwili, polisi wanafika wanauchukua kuufikisha hospitali, hospitali motuary zimejaa, wanapeleka kwenye sehemu yao, ndugu wanapata habari, wanaenda polisi, wanamkuta ndugu yao.

Sehemu pekee unaweza kuhisi polisi ni waongo ni iwapo:
1. Hapakuwa na ajali sehemu husika
2. Marehemu alikamatwa na polisi na kupelekwa kituoni kabla ya hiyo ajali.

Kama palikuwa kweli na ajali na marehemu hakuwa amekamatwa na polisi uwezekano kuwa polisi ni waongo ni mdogo mno.
2. Polisi wanasema mwili wa marehemu ulikosa nafasi ya kuhifadhiwa hospital ya Amana hivyo wakampeleka hospitali ya kituo cha Polisi Kilwa. Hapo ndipo utata mkubwa zaidi wa taarifa ya Polisi ulipo(Tukipata muda tutajadili kwa kina).
Inawezekana. Kama Polisi wameenda na mwili hakuna sehemu ya kuhifadhi. Wanafanyaje?
3. Polisi wanasema wanahisi marehemu alikufa kwa kugongwa na gari, lakini hapo hapo wameshindwa kuitisha uchunguzi wa kuthibitisha kifo cha marehemu.
Kwa maelezo ya polisi ni wamefika eneo la ajali wakamkuta na kuna watu wengi hilo eneo walioshuhudia hiyo ajali, wao wakaondoka na mwili.
 
Kupotosha na kugombanisha serikali kwa wananchi ili waichukie kwa kuandika habari za uongo sasa umeyatimba, Kamanda Muliro amekuita pale central akachukue maelezo yako na akupumzishe angalau wiki ili upunguze uzito uliokuwa nao maana kila ukishauriwa na Prof Janab hutaki, sasa Muliro atakusaidia kupungua mwili.

Kule unakwenda kukutana na wanaume haswa pale mahabusu, wakikuuliza umefuata nini waambie ulifanya jambo la hatari, usije kuwaambia masela mahabusu kuwa umekamatwa kwa kosa la uzushi, aisee utatoka vibaya huko mahabusu.
Leo nzima nasikia unamsumbua Kibatala akakusaidie, mnatukana na kuzusha halafu yakiwakuta mnaanza kulia kulia.

Kamanda Muliro nakuom sana huyo jamaa mdake ijumaa akae humo had j3, shenzi kabisa
 
Hii kesi tamu sana.

Polisi wakienda mahakamani watajivua nguo sana.

Yaani Mortuary ilijaa, then wakaona ni vyema kuhamishia Maiti Mortuary ya Kituo cha Afya cha Polisi. Hapa ni step ya kwanza kubugi kwenye movie yao.
 

Nina wasi wasi kama wewe ni mwanaume.
 
Haya maelezo ya Kamanda yanafikirisha sana..
 
Mleta mada eti ni mwanaume Yaani midudu kama hii ndo imo kwenye mfumo mwekezaji akija anabeba Mali anaondoka anatuachia madeni na mijitu IPO inapumua kote kote mdomoni na kule kwingine kuisubir chadema lakini mwekezaji anakwiba Mali mchana kweupeee kazi yao ni kusimamia wapiga sahihi wapige sahihi wao wanaambulia per diem na supu ya mapupu asubuhi kazi ni majungu tu kama hili dude lilileta hii mada
 
Kunapokuwa na vacuum uchafu unaweza kuingia.
Ni muhimu kutoa taarifa sahihi kwa wakati sahihi kunapokuwa na jambo lisiloeleweka, hasa linalohusu usalama wa raia (uhai/maisha).
Kama walipotosha baada ya taarifa sahihi kutolewa hapo kuna uzito, vinginevyo wapewe onyo na maelekezo ya kutulia, kutumia akili na busara kabla ya kueneza taarifa inayoweza kusababisha taharuki.
 
Hata kama ni kweli, yaani Jeshi la Polisi limeokotoka mtu amegongwa na akafariki, Mtanzania makini hawezi kuamini chombo hiki maana kilishajitoa kwenye orodha ya kuaminika. Jeshi la Polisi ni chombo kisicho aminika hapa Tanzania kuliko taasisi zote.
 
Kamanda' soon atakuja kusema mochwari ya muhimbili ilikuwa imejaa😭
 
Ukiona hivyo ujua CCM wamesha anza kutoa maagizo. Rais alisema kila kiongozi kwenye eneo lake ajifunze na kufuata-4-R. Sasa Murilo kaanza kukamata,Kuhiji kwa kina SANA, na kufikisha Mahakamani HARAKA?
 
""WAKAMATWE NA WAFUNGULIWE MASHTAKA, ILI IWE FUNZO KWA WENGINE KUONGEA NA KUPINDISHA UKWELI HALISIA WA JAMBO LOLOTE LILE""
 
Mmmm taarifa imepikwaaas......haswaaaa
Nenda Buguruni, pale kuna watu hawalali usiku na wanabiashara zao waulize utapata jawabu, Imefikia pahala watanzania lazima wawe wakweli, hao jamaa washughulikiwe kikamilifu kwa upotoshaji.
 
Wamekosa professionalism imagine huyo ndio Boss wao wa mkoa je wale polisi wa chini kabisa watakuwaje?
 
Kama watakamatwa,wanahitajlka mawakili nguli wa kuwatetea!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…