Mnakumbuka ile clip ya Sativa baada ya kupatikana kule Katavi na akiwa amezungukwa na wananchi ambao ndio walijitolea kumpeleka hospitali na kuhakikisha anakutana tena na familia yake?
Kama utakuwa hujaona hiyo clip, nimeiweka hapo chini.
Ni clip inayomuonesha Sativa akiwa amezingirwa na wananchi ambao ndio walimpeleka hospitali kupata matibabu.
Sasa leo wakati anazungumza na Chief Odemba, Kamanda Muliro amesema kuwa Jeshi La Polisi ndio lilimuokoa Sativa baada ya kukamatwa na wasiojulikana. Muliro alidokeza kuwa Jeshi La Polisi ndio lilihusika katika kumuokoa Sativa pindi alipotekwa.
"Sisi ndio tulimuokoa (Sativa) ndio maana sitaki kubishana. Sisi ndio tulimuokoa kule Katavi tukampeleka kituo cha Polisi. Sisi jukumu letu baada ya taarifa ile, tulimuokoa muhusika yule. Sasa kama unataka au hautaki sisi ndo tulimuokoa muhusika yule"
Ningependa kumaliza uzi wangu kwa kukumbusha maneno mazuri ya lugha kuwa "Ogopa sana Mungu na Teknolojia" maana kusingekuwa na hii clip leo taifa lote tungelishwa tango pori.
Mnakumbuka ile clip ya Sativa baada ya kupatikana kule Katavi na akiwa amezungukwa na wananchi ambao ndio walijitolea kumpeleka hospitali na kuhakikisha anakutana tena na familia yake?
Kama utakuwa hujaona hiyo clip, nimeiweka hapo chini.
Ni clip inayomuonesha Sativa akiwa amezingirwa na wananchi ambao ndio walimpeleka hospitali kupata matibabu.
Sasa leo wakati anazungumza na Chief Odemba, Kamanda Muliro amesema kuwa Jeshi La Polisi ndio lilimuokoa Sativa baada ya kukamatwa na wasiojulikana. Muliro alidokeza kuwa Jeshi La Polisi ndio lilihusika katika kumuokoa Sativa pindi alipotekwa.
"Sisi ndio tulimuokoa (Sativa) ndio maana sitaki kubishana. Sisi ndio tulimuokoa kule Katavi tukampeleka kituo cha Polisi. Sisi jukumu letu baada ya taarifa ile, tulimuokoa muhusika yule. Sasa kama unataka au hautaki sisi ndo tulimuokoa muhusika yule"
Ningependa kumaliza uzi wangu kwa kukumbusha maneno mazuri ya lugha kuwa "Ogopa sana Mungu na Teknolojia" maana kusingekuwa na hii clip leo taifa lote tungelishwa tango pori.
Mnakumbuka ile clip ya Sativa baada ya kupatikana kule Katavi na akiwa amezungukwa na wananchi ambao ndio walijitolea kumpeleka hospitali na kuhakikisha anakutana tena na familia yake?
Kama utakuwa hujaona hiyo clip, nimeiweka hapo chini.
Ni clip inayomuonesha Sativa akiwa amezingirwa na wananchi ambao ndio walimpeleka hospitali kupata matibabu.
Sasa leo wakati anazungumza na Chief Odemba, Kamanda Muliro amesema kuwa Jeshi La Polisi ndio lilimuokoa Sativa baada ya kukamatwa na wasiojulikana. Muliro alidokeza kuwa Jeshi La Polisi ndio lilihusika katika kumuokoa Sativa pindi alipotekwa.
"Sisi ndio tulimuokoa (Sativa) ndio maana sitaki kubishana. Sisi ndio tulimuokoa kule Katavi tukampeleka kituo cha Polisi. Sisi jukumu letu baada ya taarifa ile, tulimuokoa muhusika yule. Sasa kama unataka au hautaki sisi ndo tulimuokoa muhusika yule"
Ningependa kumaliza uzi wangu kwa kukumbusha maneno mazuri ya lugha kuwa "Ogopa sana Mungu na Teknolojia" maana kusingekuwa na hii clip leo taifa lote tungelishwa tango pori.
Ni kweli kabsa Polisi waliokoa maisha ya Sativa ila unajua iliokoaje maisha ya Sativa!?
Ilimuokoa kwa kushindwa kumpiga risasi ya kichwa na wakampiga risasi ya taya. Hapo ndo walipofanya kumuokoa Sativa.
Ila kama kweli anaweza kuongea kwa jeuri hivi, ipo siku atapata taarifa kuwa kijana wake amepigwa risasi ndo atafahamu uchungu wa kuropoka maneno haya.
"Sisi ndio tulimuokoa (Sativa) ndio maana sitaki kubishana. Sisi ndio tulimuokoa kule Katavi tukampeleka kituo cha Polisi. Sisi jukumu letu baada ya taarifa ile, tulimuokoa muhusika yule. Sasa kama unataka au hautaki sisi ndo tulimuokoa muhusika yule"
Mlimuokoaje SATIVA wakati polisi ndiyo walimpeleka Karakana ya o6bay kisha kituo cha polisi arusha then polisi hao hao wakampeleka Katavi wakampa chuma kikapita pembeni ya mshipa medula kikafumua taya? na kumuacha pembeni ya mto wenye mamba na viboko na sehemu ya wanyama wakali kama simba tembo chui wanapokunywa maji? Utasemaje ndiyo mliomuokoa?
Mlimuokoaje SATIVA wakati polisi ndiyo walimpeleka Karakana ya o6bay kisha kituo cha polisi arusha then polisi hao hao wakampeleka Katavi wakampa chuma kikapita pembeni ya mshipa medula kikafumua taya? na kumuacha pembeni ya mto wenye mamba na viboko na sehemu ya wanyama wakali kama simba tembo chui wanapokunywa maji? Utasemaje ndiyo mliomuokoa?