blogger
JF-Expert Member
- Mar 13, 2012
- 12,112
- 15,060
Vurugu itoke wapi??Wakuu,
Kamanda wa polisi kanda maalumu ya Dar es salaam Jumanne Muliro amesema jeshe la polisi lipo imara kwa ajili ya kusimamia uchaguzi mkuu wa chadema, kuhakikisha unafahamika kwa amani na utulivu.
Hata hivyo Kamanda Muliro ameongeza kuwa hawatasita, kumshughulikia mtu yeyote atakayeleta vurugu, hivyo wasijitoe ufahamu.
Hawa nao ..nonsense