Kamanda Muliro, wewe na watu wote wanajua Polisi wawili uliowasimamisha kazi unawaonea, walichofanya ni utaratibu wa siku nyingi wa traffic polisi!

Kamanda Muliro, wewe na watu wote wanajua Polisi wawili uliowasimamisha kazi unawaonea, walichofanya ni utaratibu wa siku nyingi wa traffic polisi!

kwani kwa akili zako unadhani wamewekwa ndani au hizo drama anazosema wanabadilishwaga tu mazingira ya kazi
 
Kabisa
Kamanda Jumanne Muliro, tuache unafiki, tuache kuoneana. Unatutangazia kuwasimamisha hawa Polisi wawili walioonekana wakichukua fedha kwa makondakta wa dadadala kwa sababu wamefanya kosa au kwa sababu wameanikwa mitandaoni?

Ina maana hujui kwamba kila siku traffic wanaokuwa barabarani wanafanya hivyo? Leo ndio unajua?
Yaani unataka kutuambia hujui kwamba hata wakuu wao wa vituo, wanapowapeleka barabarani, wakirudi jioni wanawadai mgao wao? Hujui kwamba wasipopeleka mgao hawatawekwa tena barabarani? Unafikiri hela walizokuwa wakichukua ni zao peke yao? Kama hujui hili hufai hata kuwa na nafasi uliyonayo!

Acha kuonea watu kwa kujaribu kuficha aibu. Ni jambo linalojulikana na kila mtu kwamba polisi wakiwa barabarani wanatakiwa kurudi ofisini na mgao wa wakuu wao. Unafikiri wanaupata wapi?

Na sio traffic tu, hata wale askari wanaopangiwa kufanya patrol, iwe usiku au mchana, wakirudi ofisini wanatakiwa wapeleke mgao kwa wakuu wao, la sivyo hawapangwi kwenye detail za patrol. Kupewa ile SMG kwenda Patrol maana yake unapewa jukumu la kurudi na mgao wa afande wako. Hilolinajulikana na kila askari.

Sasa usijikoshe kinafiki kwa kusema jeshi la Polisi limechafuliwa. Jeshi la Polisi ni chafu tu tunajua, na huwezi kujikosha mbele ya umma kwa kulisafisha kwa kuwasimamisha hawa wawili. Walichofanya ni jambo la kawaida ndani ya polisi na hata wewe unajua ndivyo ilivyo.

Polisi yeyote alie barabarani anatakiwa apate chochote kutoka daladala, gari za mizigo (kenta) na gari za mchanga. Hakuna gari kenta au ya mchanga itafanya kazi bila kutoa mgao kwa polisi hata siku moja, na hao polisi walio barabarani wakuu wao wanawapangia kabisa fungu la kuwapelekea.

Hata hivyo, Magufuli si aliwaruhusu madereva wawape hela ya ku-brashia viatu? Na Samia si amesema kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake? Sasa unafikiri urefu wa kamba ya polisi ni mshahara peke yake? Umemuuliza Samia alimaanisha nin Polisi kula kwa urefu wa kamba yao?

Hebu warudishe kazini hawa askari wawili. Acha uonevu na kujikomba kwa watu, ni unafiki tu unaofanya hapo. Si ajabu hata wewe mwenyewe Muliro unaletewa magao wako, usitudanganye hapa.
Very good, ni utaratibu wa kawaida wa kila siku.
 
Hebu warudishe kazini hawa askari wawili. Acha uonevu na kujikomba kwa watu, ni unafiki tu unaofanya hapo. Si ajabu hata wewe mwenyewe Muliro unaletewa magao wako, usitudanganye hapa.
Kabisa, waache usanii
 
Kama ana nia kweli aanze kula sahani moja na hao makamanda wanaowaambia askari wanaotumwa barabarani waache kudai mgao wao. Kisha kampeni ya kuwaambia madereva wa daladala, kenta, bajaji na gari za mchanga kutotoa rushwa. Pia akomeshe trafiki kulazimisha makosa kwa madereva.

Lakini sasa, kwa mishahara hii ya polisi sio rahisi kukomesha hili. Ndio maana nimesema jeshi la Polisi katika mazingira yao ya kazi halisafishiki
Hamn pesa inayotosha, kam mishahara yao midogo basi walimu Tz wangekufa hawan posho wa nn 30 days
 
Suala hapa ni kwamba Mulilo anajua huu utaratibu ndani ya jeshi la polisi, anafanya unafiki tu. Kama angekuwa na nia ya kuukomesha angefanya hivyo bila hata video ya hawa askari wawili kurushwa

Kwa Muliro kosa ni kwamba wamerushwa mitandaoni, sio kwamba hajui kinachofanyika
Ata mheshmiwa sana mwendazake alisema hiyo pesa ni pesa ya kiwi wachukue tu
 
Ni basi tu atujuani humu.

Yaani wewe akili yako inatakiwa ipigwe window kabisa.

Umekaa kabisa umeanzisha uzi wa kutetea rushwa?

Hii ndiyo Tanzania!
Sidhani kama katetea rushwa lakini amekupa picha nzuri ya kitu ambacho askari wa usalama barabarani hufanya.

Polisi kupeleka hesabu kwa wakubwa wao hilo lipo tu tena ni lazima.Anachokataa hapa ni unafiki.Sema bora ile pesa wanachukua(polisi wakitaka wafanye mambo yao kwa usawa(kufuata sheria) watu magari watayapaki niamini)
 
Ni basi tu atujuani humu.

Yaani wewe akili yako inatakiwa ipigwe window kabisa.

Umekaa kabisa umeanzisha uzi wa kutetea rushwa?

Hii ndiyo Tanzania!
Wanajulikana hawa na hata bei zao wamezivaa kwenye pindo za shingo za shati zao, hawajifichi.
 
Kamanda Jumanne Muliro, tuache unafiki, tuache kuoneana. Unatutangazia kuwasimamisha hawa Polisi wawili walioonekana wakichukua fedha kwa makondakta wa dadadala kwa sababu wamefanya kosa au kwa sababu wameanikwa mitandaoni?

Ina maana hujui kwamba kila siku traffic wanaokuwa barabarani wanafanya hivyo? Leo ndio unajua?
Yaani unataka kutuambia hujui kwamba hata wakuu wao wa vituo, wanapowapeleka barabarani, wakirudi jioni wanawadai mgao wao? Hujui kwamba wasipopeleka mgao hawatawekwa tena barabarani? Unafikiri hela walizokuwa wakichukua ni zao peke yao? Kama hujui hili hufai hata kuwa na nafasi uliyonayo!

Acha kuonea watu kwa kujaribu kuficha aibu. Ni jambo linalojulikana na kila mtu kwamba polisi wakiwa barabarani wanatakiwa kurudi ofisini na mgao wa wakuu wao. Unafikiri wanaupata wapi?

Na sio traffic tu, hata wale askari wanaopangiwa kufanya patrol, iwe usiku au mchana, wakirudi ofisini wanatakiwa wapeleke mgao kwa wakuu wao, la sivyo hawapangwi kwenye detail za patrol. Kupewa ile SMG kwenda Patrol maana yake unapewa jukumu la kurudi na mgao wa afande wako. Hilolinajulikana na kila askari.

Sasa usijikoshe kinafiki kwa kusema jeshi la Polisi limechafuliwa. Jeshi la Polisi ni chafu tu tunajua, na huwezi kujikosha mbele ya umma kwa kulisafisha kwa kuwasimamisha hawa wawili. Walichofanya ni jambo la kawaida ndani ya polisi na hata wewe unajua ndivyo ilivyo.

Polisi yeyote alie barabarani anatakiwa apate chochote kutoka daladala, gari za mizigo (kenta) na gari za mchanga. Hakuna gari kenta au ya mchanga itafanya kazi bila kutoa mgao kwa polisi hata siku moja, na hao polisi walio barabarani wakuu wao wanawapangia kabisa fungu la kuwapelekea.

Hata hivyo, Magufuli si aliwaruhusu madereva wawape hela ya ku-brashia viatu? Na Samia si amesema kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake? Sasa unafikiri urefu wa kamba ya polisi ni mshahara peke yake? Umemuuliza Samia alimaanisha nin Polisi kula kwa urefu wa kamba yao?

Hebu warudishe kazini hawa askari wawili. Acha uonevu na kujikomba kwa watu, ni unafiki tu unaofanya hapo. Si ajabu hata wewe mwenyewe Muliro unaletewa magao wako, usitudanganye hapa.
Una uhakika wamesimamishwa? Ametaja majina yao? Ametaja namba zao?. Ni maigizo kama maigizo mengine tu
 
Kuna ushahidi wa kimazingira sio lazima pesa ionekane
Huo ushahidi wa kimazingira, ukiambia ueleze kinachoendelea pale, utasema nini?? Na kiwe cha ukweli sio kuhisi..?? Hisia zako haziwezi mtia mtu hatiani
 
Back
Top Bottom