Kamanda Muliro, wewe na watu wote wanajua Polisi wawili uliowasimamisha kazi unawaonea, walichofanya ni utaratibu wa siku nyingi wa traffic polisi!

Kuna hiyo njia ya Mbeya Tunduma kupitia Mpemba. Yaani jamaa wameshaandaa pesa kabisa.
 
Walikuwa Wanapokea Mawe Tu
Yes, it could be that, or something else entirely, so there is no definitive way to prove whether those police officers were receiving bribe
 
 

Attachments

  • 5929821-198fc1123fd1f9efaca27ad31f3b1b4d.mp4
    16.1 MB
Yes, it could be that, or something else entirely, so there is no definitive way to prove whether those police officers were receiving bribe
Bribe lazima kuwepo na circumstances za bribe. Mtu amekuona anakuja kukupa elfu mbili kama Magufuli alivyosema utasemaje kachukua bribe. Bribe ni pale unaambiwa una kosa sasa ndio unatoa hela usiandikiwe. Tariki wala hajaongea na dereva kusema anakosa huwezi kusema kuna bribe, kisheria

Of course theme ya thread sio hiyo, bali ni kumwambia Murilo asionee watu kwa sababu anajua kuwa si hawa wawili tu wanafanya hivi. Jeshi lote la polisi wanachukua hela
 
Umenielewa vizuri sana Mkuu. Kuna watu wazito sana kuelewa, wepesi sana kupiga kelele! Ndio maana kwenye mtihani kunakuwa na wa kwanza hadi wa mwisho, maswali ni yaleyale, mwalimu yuleyule!
 
Muliro ni muongo mwangalie usoni anavyoongea
 
Utawakuta Ujiji huko
Wanahamishwa kwa aibu huku wakiambiwa muwe mnajiangalia basi 😄 🤣
 
Ingepita kimya kimya tungelaumu, hatua zimechukuliwa pia tunalaumu, "Bongo bahati Mbaya"
 
Ingepita kimya kimya tungelaumu, hatua zimechukuliwa pia tunalaumu, "Bongo bahati Mbaya"
Ingepita kimya kimya tungelaumuje wakati tusingejua imepita? Fikiri kabla kuandika Mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…