Walikuwa Wanapokea Mawe TuPale hakuna uthibitisho kwamba wanapokea rushwa kama ndio ile video niliyoiona,
Ulivyoniambia upeo wangu, na wako ndio hivyo hivyo unakuambia...Ndio upeo wako unavyokuammbia
Kuna hiyo njia ya Mbeya Tunduma kupitia Mpemba. Yaani jamaa wameshaandaa pesa kabisa.Kamanda Jumanne Muliro, tuache unafiki, tuache kuoneana. Unatutangazia kuwasimamisha hawa Polisi wawili walioonekana wakichukua fedha kwa makondakta wa dadadala kwa sababu wamefanya kosa au kwa sababu wameanikwa mitandaoni?
Ina maana hujui kwamba kila siku traffic wanaokuwa barabarani wanafanya hivyo? Leo ndio unajua?
Yaani unataka kutuambia hujui kwamba hata wakuu wao wa vituo, wanapowapeleka barabarani, wakirudi jioni wanawadai mgao wao? Hujui kwamba wasipopeleka mgao hawatawekwa tena barabarani? Unafikiri hela walizokuwa wakichukua ni zao peke yao? Kama hujui hili hufai hata kuwa na nafasi uliyonayo!
Acha kuonea watu kwa kujaribu kuficha aibu. Ni jambo linalojulikana na kila mtu kwamba polisi wakiwa barabarani wanatakiwa kurudi ofisini na mgao wa wakuu wao. Unafikiri wanaupata wapi?
Na sio traffic tu, hata wale askari wanaopangiwa kufanya patrol, iwe usiku au mchana, wakirudi ofisini wanatakiwa wapeleke mgao kwa wakuu wao, la sivyo hawapangwi kwenye detail za patrol. Kupewa ile SMG kwenda Patrol maana yake unapewa jukumu la kurudi na mgao wa afande wako. Hilolinajulikana na kila askari.
Sasa usijikoshe kinafiki kwa kusema jeshi la Polisi limechafuliwa. Jeshi la Polisi ni chafu tu tunajua, na huwezi kujikosha mbele ya umma kwa kulisafisha kwa kuwasimamisha hawa wawili. Walichofanya ni jambo la kawaida ndani ya polisi na hata wewe unajua ndivyo ilivyo.
Polisi yeyote alie barabarani anatakiwa apate chochote kutoka daladala, gari za mizigo (kenta) na gari za mchanga. Hakuna gari kenta au ya mchanga itafanya kazi bila kutoa mgao kwa polisi hata siku moja, na hao polisi walio barabarani wakuu wao wanawapangia kabisa fungu la kuwapelekea.
Hata hivyo, Magufuli si aliwaruhusu madereva wawape hela ya ku-brashia viatu? Na Samia si amesema kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake? Sasa unafikiri urefu wa kamba ya polisi ni mshahara peke yake? Umemuuliza Samia alimaanisha nin Polisi kula kwa urefu wa kamba yao?
Hebu warudishe kazini hawa askari wawili. Acha uonevu na kujikomba kwa watu, ni unafiki tu unaofanya hapo. Si ajabu hata wewe mwenyewe Muliro unaletewa magao wako, usitudanganye hapa.
Yes, it could be that, or something else entirely, so there is no definitive way to prove whether those police officers were receiving bribeWalikuwa Wanapokea Mawe Tu
Video ama picha iliyo clear kabisa ikionesha wapokea pesa, pesa ionekane
Unazani wamekamatwa kwa hisia tu?Huo ushahidi wa kimazingira, ukiambia ueleze kinachoendelea pale, utasema nini?? Na kiwe cha ukweli sio kuhisi..?? Hisia zako haziwezi mtia mtu hatiani
Kamanda Jumanne Muliro, tuache unafiki, tuache kuoneana. Unatutangazia kuwasimamisha hawa Polisi wawili walioonekana wakichukua fedha kwa makondakta wa dadadala kwa sababu wamefanya kosa au kwa sababu wameanikwa mitandaoni?
Ina maana hujui kwamba kila siku traffic wanaokuwa barabarani wanafanya hivyo? Leo ndio unajua?
Yaani unataka kutuambia hujui kwamba hata wakuu wao wa vituo, wanapowapeleka barabarani, wakirudi jioni wanawadai mgao wao? Hujui kwamba wasipopeleka mgao hawatawekwa tena barabarani? Unafikiri hela walizokuwa wakichukua ni zao peke yao? Kama hujui hili hufai hata kuwa na nafasi uliyonayo!
Acha kuonea watu kwa kujaribu kuficha aibu. Ni jambo linalojulikana na kila mtu kwamba polisi wakiwa barabarani wanatakiwa kurudi ofisini na mgao wa wakuu wao. Unafikiri wanaupata wapi?
Na sio traffic tu, hata wale askari wanaopangiwa kufanya patrol, iwe usiku au mchana, wakirudi ofisini wanatakiwa wapeleke mgao kwa wakuu wao, la sivyo hawapangwi kwenye detail za patrol. Kupewa ile SMG kwenda Patrol maana yake unapewa jukumu la kurudi na mgao wa afande wako. Hilolinajulikana na kila askari.
Sasa usijikoshe kinafiki kwa kusema jeshi la Polisi limechafuliwa. Jeshi la Polisi ni chafu tu tunajua, na huwezi kujikosha mbele ya umma kwa kulisafisha kwa kuwasimamisha hawa wawili. Walichofanya ni jambo la kawaida ndani ya polisi na hata wewe unajua ndivyo ilivyo.
Polisi yeyote alie barabarani anatakiwa apate chochote kutoka daladala, gari za mizigo (kenta) na gari za mchanga. Hakuna gari kenta au ya mchanga itafanya kazi bila kutoa mgao kwa polisi hata siku moja, na hao polisi walio barabarani wakuu wao wanawapangia kabisa fungu la kuwapelekea.
Hata hivyo, Magufuli si aliwaruhusu madereva wawape hela ya ku-brashia viatu? Na Samia si amesema kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake? Sasa unafikiri urefu wa kamba ya polisi ni mshahara peke yake? Umemuuliza Samia alimaanisha nin Polisi kula kwa urefu wa kamba yao?
Hebu warudishe kazini hawa askari wawili. Acha uonevu na kujikomba kwa watu, ni unafiki tu unaofanya hapo. Si ajabu hata wewe mwenyewe Muliro unaletewa magao wako, usitudanganye hapa.
Kuna watu sio wa kubishana nao, maana mjadala haukuongezei maarifaUnazani wamekamatwa kwa hisia tu?
C umeelewaEnglish gani hii! pumbavu
Sure mkuuKuna watu sio wa kubishana nao, maana mjadala haukuongezei maarifa
Bribe lazima kuwepo na circumstances za bribe. Mtu amekuona anakuja kukupa elfu mbili kama Magufuli alivyosema utasemaje kachukua bribe. Bribe ni pale unaambiwa una kosa sasa ndio unatoa hela usiandikiwe. Tariki wala hajaongea na dereva kusema anakosa huwezi kusema kuna bribe, kisheriaYes, it could be that, or something else entirely, so there is no definitive way to prove whether those police officers were receiving bribe
Umenielewa vizuri sana Mkuu. Kuna watu wazito sana kuelewa, wepesi sana kupiga kelele! Ndio maana kwenye mtihani kunakuwa na wa kwanza hadi wa mwisho, maswali ni yaleyale, mwalimu yuleyule!Sidhani kama katetea rushwa lakini amekupa picha nzuri ya kitu ambacho askari wa usalama barabarani hufanya.
Polisi kupeleka hesabu kwa wakubwa wao hilo lipo tu tena ni lazima.Anachokataa hapa ni unafiki.Sema bora ile pesa wanachukua(polisi wakitaka wafanye mambo yao kwa usawa(kufuata sheria) watu magari watayapaki niamini)
Muliro ni muongo mwangalie usoni anavyoongeaKamanda Jumanne Muliro, tuache unafiki, tuache kuoneana. Unatutangazia kuwasimamisha hawa Polisi wawili walioonekana wakichukua fedha kwa makondakta wa dadadala kwa sababu wamefanya kosa au kwa sababu wameanikwa mitandaoni?
Ina maana hujui kwamba kila siku traffic wanaokuwa barabarani wanafanya hivyo? Leo ndio unajua?
Yaani unataka kutuambia hujui kwamba hata wakuu wao wa vituo, wanapowapeleka barabarani, wakirudi jioni wanawadai mgao wao? Hujui kwamba wasipopeleka mgao hawatawekwa tena barabarani? Unafikiri hela walizokuwa wakichukua ni zao peke yao? Kama hujui hili hufai hata kuwa na nafasi uliyonayo!
Acha kuonea watu kwa kujaribu kuficha aibu. Ni jambo linalojulikana na kila mtu kwamba polisi wakiwa barabarani wanatakiwa kurudi ofisini na mgao wa wakuu wao. Unafikiri wanaupata wapi?
Na sio traffic tu, hata wale askari wanaopangiwa kufanya patrol, iwe usiku au mchana, wakirudi ofisini wanatakiwa wapeleke mgao kwa wakuu wao, la sivyo hawapangwi kwenye detail za patrol. Kupewa ile SMG kwenda Patrol maana yake unapewa jukumu la kurudi na mgao wa afande wako. Hilolinajulikana na kila askari.
Sasa usijikoshe kinafiki kwa kusema jeshi la Polisi limechafuliwa. Jeshi la Polisi ni chafu tu tunajua, na huwezi kujikosha mbele ya umma kwa kulisafisha kwa kuwasimamisha hawa wawili. Walichofanya ni jambo la kawaida ndani ya polisi na hata wewe unajua ndivyo ilivyo.
Polisi yeyote alie barabarani anatakiwa apate chochote kutoka daladala, gari za mizigo (kenta) na gari za mchanga. Hakuna gari kenta au ya mchanga itafanya kazi bila kutoa mgao kwa polisi hata siku moja, na hao polisi walio barabarani wakuu wao wanawapangia kabisa fungu la kuwapelekea.
Hata hivyo, Magufuli si aliwaruhusu madereva wawape hela ya ku-brashia viatu? Na Samia si amesema kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake? Sasa unafikiri urefu wa kamba ya polisi ni mshahara peke yake? Umemuuliza Samia alimaanisha nin Polisi kula kwa urefu wa kamba yao?
Hebu warudishe kazini hawa askari wawili. Acha uonevu na kujikomba kwa watu, ni unafiki tu unaofanya hapo. Si ajabu hata wewe mwenyewe Muliro unaletewa magao wako, usitudanganye hapa.
Ingepita kimya kimya tungelaumu, hatua zimechukuliwa pia tunalaumu, "Bongo bahati Mbaya"Kamanda Jumanne Muliro, tuache unafiki, tuache kuoneana. Unatutangazia kuwasimamisha hawa Polisi wawili walioonekana wakichukua fedha kwa makondakta wa dadadala kwa sababu wamefanya kosa au kwa sababu wameanikwa mitandaoni?
Ina maana hujui kwamba kila siku traffic wanaokuwa barabarani wanafanya hivyo? Leo ndio unajua?
Yaani unataka kutuambia hujui kwamba hata wakuu wao wa vituo, wanapowapeleka barabarani, wakirudi jioni wanawadai mgao wao? Hujui kwamba wasipopeleka mgao hawatawekwa tena barabarani? Unafikiri hela walizokuwa wakichukua ni zao peke yao? Kama hujui hili hufai hata kuwa na nafasi uliyonayo!
Acha kuonea watu kwa kujaribu kuficha aibu. Ni jambo linalojulikana na kila mtu kwamba polisi wakiwa barabarani wanatakiwa kurudi ofisini na mgao wa wakuu wao. Unafikiri wanaupata wapi?
Na sio traffic tu, hata wale askari wanaopangiwa kufanya patrol, iwe usiku au mchana, wakirudi ofisini wanatakiwa wapeleke mgao kwa wakuu wao, la sivyo hawapangwi kwenye detail za patrol. Kupewa ile SMG kwenda Patrol maana yake unapewa jukumu la kurudi na mgao wa afande wako. Hilolinajulikana na kila askari.
Sasa usijikoshe kinafiki kwa kusema jeshi la Polisi limechafuliwa. Jeshi la Polisi ni chafu tu tunajua, na huwezi kujikosha mbele ya umma kwa kulisafisha kwa kuwasimamisha hawa wawili. Walichofanya ni jambo la kawaida ndani ya polisi na hata wewe unajua ndivyo ilivyo.
Polisi yeyote alie barabarani anatakiwa apate chochote kutoka daladala, gari za mizigo (kenta) na gari za mchanga. Hakuna gari kenta au ya mchanga itafanya kazi bila kutoa mgao kwa polisi hata siku moja, na hao polisi walio barabarani wakuu wao wanawapangia kabisa fungu la kuwapelekea.
Hata hivyo, Magufuli si aliwaruhusu madereva wawape hela ya ku-brashia viatu? Na Samia si amesema kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake? Sasa unafikiri urefu wa kamba ya polisi ni mshahara peke yake? Umemuuliza Samia alimaanisha nin Polisi kula kwa urefu wa kamba yao?
Hebu warudishe kazini hawa askari wawili. Acha uonevu na kujikomba kwa watu, ni unafiki tu unaofanya hapo. Si ajabu hata wewe mwenyewe Muliro unaletewa magao wako, usitudanganye hapa.
Ingepita kimya kimya tungelaumuje wakati tusingejua imepita? Fikiri kabla kuandika MkuuIngepita kimya kimya tungelaumu, hatua zimechukuliwa pia tunalaumu, "Bongo bahati Mbaya"
Ni vigumu sana kuamini Muliro ni graduate, tena wa sheria UDSM!Muliro ni muongo mwangalie usoni anavyoongea