fathergetho
JF-Expert Member
- Jun 9, 2016
- 1,556
- 914
wanatutesa sana sis walimu wa civics
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari zisizo rasmi (Tetesi) ambazo zina chembechembe nyingi za kuaminiwa kutoka kwa watu walio karibu na Mamlaka za uteuzi, zinadai:
1. Kamanda Mwanamke huenda akateuliwa kuwa Kamishna wa Kanda Maalumu ya Dar Es Salaam kurithi nafasi ya Simon Sirro
2. Ernest Mangu kuteuliwa kuwa Balozi wa Tanzania Nje ya Nchi
Kwani ni mwanamke?Robert Mageta anafaa kuongoza Kanda Maalum DSM
Hii nchi walimu wanaofundisha Civics wanakazi ngumu sana, unaweza kufundisha asubuhi majina ya viongozi mfano mkuu wa mkoa au waziri, kabla hujamaliza kipindi yule uliyemtaja sio tena waziri au mkuu wa mkoa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hili ni jembe!!Ahmed Msangi rpc wa Mwanza naona kama anafit pia Jiji la Dsm.
Ila simpangii JPM.