hahahahaha yaani wewe na yeye bora yeye eti known badala ya noun hahahaha brocken ndo kitu gani yaani unataka kujikuta mkosoaji huku hujaivaNimemsikia kamanda siro akiongelea swala LA police kufyatua risasi dhidi ya ukaidi Wa malima.
Jamani kama hatujui kingereza bora tukae kimya. Ametamka neno "cowardnes" hakuna hill neno alipaswa aseme "cowardice" kama abstruct known na siyo cowardness . watanzania tusome kingereza
Nimemsikia kamanda siro akiongelea swala LA police kufyatua risasi dhidi ya ukaidi Wa malima.
Jamani kama hatujui kingereza bora tukae kimya. Ametamka neno "cowardnes" hakuna hill neno alipaswa aseme "cowardice" kama abstruct known na siyo cowardness . watanzania tusome kingereza
hahahahahah sasa huyu kakaaa kaona ana siku hajaaibika kaunga bundle kajakuna watu wanajichumia aibu humu mpaka basi....halafu ni kila siku kuna jinga moja linajianika
Wewe ni kilaza wa kiwango cha lami.Nimemsikia kamanda siro akiongelea swala LA police kufyatua risasi dhidi ya ukaidi Wa malima.
Jamani kama hatujui kingereza bora tukae kimya. Ametamka neno "cowardnes" hakuna hill neno alipaswa aseme "cowardice" kama abstruct noun na siyo cowardness . watanzania tusome kingereza
Dogo haina chembe ya shaka wewe ni mjinga. Eti kama "hatujui kingereza bora tukae kimya"; mbona umepanua domo lako?Nimemsikia kamanda siro akiongelea swala LA police kufyatua risasi dhidi ya ukaidi Wa malima.
Jamani kama hatujui kingereza bora tukae kimya. Ametamka neno "cowardnes" hakuna hill neno alipaswa aseme "cowardice" kama abstruct noun na siyo cowardness . watanzania tusome kingereza
Hata hivyo kamanda Sirro hakukosea, mtoa mada ndo hajui kingereza vizuri!!Watu wajinga kila siku hufikiria kijinga. Kukosea kupo, kwa hiyo mtu akiongea maneno 1000, akikosea moja basi nongwa. Inaelekea wewe ni mwanafunzi wa ras unafanya practical