Kamanda Sirro na broken english

Nilufer

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2012
Posts
9,603
Reaction score
13,654
Nimemsikia kamanda siro akiongelea swala LA police kufyatua risasi dhidi ya ukaidi Wa malima.

Jamani kama hatujui kingereza bora tukae kimya. Ametamka neno "cowardnes" hakuna hill neno alipaswa aseme "cowardice" kama abstract noun na siyo cowardness . watanzania tusome kingereza
 
hahahahaha yaani wewe na yeye bora yeye eti known badala ya noun hahahaha brocken ndo kitu gani yaani unataka kujikuta mkosoaji huku hujaiva
 
Polisi wanaongoza kwa kufoji vyeti. Yawezekana naye yumo.
 

Cowardness lipo.

Wewe ndiye unayehitaji kukaa kimya maana hujui lakini unajifanya wajua!
 
Wewe ni kilaza wa kiwango cha lami.

Cowardness is synonym of Cowardice

 
Watu wajinga kila siku hufikiria kijinga. Kukosea kupo, kwa hiyo mtu akiongea maneno 1000, akikosea moja basi nongwa. Inaelekea wewe ni mwanafunzi wa ras unafanya practical
 
Watu wajinga kila siku hufikiria kijinga. Kukosea kupo, kwa hiyo mtu akiongea maneno 1000, akikosea moja basi nongwa. Inaelekea wewe ni mwanafunzi wa ras unafanya practical
 
Kwani alikuwa kwenye interview ya kingereza? Yaani kati ya vyote alivyoongea umekariri kaneno kamoja ukaja kufungua thread!?
 
Dogo haina chembe ya shaka wewe ni mjinga. Eti kama "hatujui kingereza bora tukae kimya"; mbona umepanua domo lako?

Cowardness: Google

Abstruct = abstract?
Kingereza = Kiingereza?
hill = hilo?
siro = Siro?
malima = Malima?
police = polisi? (maana maandishi yako ni ya Kiswahili)
brocken = broken? (bahati mbaya "title" huwezi kuirekebisha)

Yaani sentensi mbili madudu kibao; peleka vyeti vyako NECTA haraka vikakaguliwe.
 
Watu wajinga kila siku hufikiria kijinga. Kukosea kupo, kwa hiyo mtu akiongea maneno 1000, akikosea moja basi nongwa. Inaelekea wewe ni mwanafunzi wa ras unafanya practical
Hata hivyo kamanda Sirro hakukosea, mtoa mada ndo hajui kingereza vizuri!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…