Kamanda Sirro na broken english

Kamanda Sirro na broken english

Nimemsikia kamanda siro akiongelea swala LA police kufyatua risasi dhidi ya ukaidi Wa malima.

Jamani kama hatujui kingereza bora tukae kimya. Ametamka neno "cowardnes" hakuna hill neno alipaswa aseme "cowardice" kama abstract noun na siyo cowardness . watanzania tusome kingereza

Mzee umepotea mno pole
 
Mkuu ebu mrekebishe kwa kimombo, Lugha mtu akikosea kuna tatizo gani mbona wazungu hawajui Kiswahili na wanapojifunza hukosea sana
 
Nimemsikia kamanda siro akiongelea swala LA police kufyatua risasi dhidi ya ukaidi Wa malima.

Jamani kama hatujui kingereza bora tukae kimya. Ametamka neno "cowardnes" hakuna hill neno alipaswa aseme "cowardice" kama abstract noun na siyo cowardness . watanzania tusome kingereza
Mara nyingi nimemsikia akiyaporomosha ma-broken yake, ndio maana nikauliza hapa siku moja kama huyu jamaa ni graduate kweli
 
Nimemsikia kamanda siro akiongelea swala LA police kufyatua risasi dhidi ya ukaidi Wa malima.

Jamani kama hatujui kingereza bora tukae kimya. Ametamka neno "cowardnes" hakuna hill neno alipaswa aseme "cowardice" kama abstract noun na siyo cowardness . watanzania tusome kingereza
Lakini si umeelewa?? Tusipende kukuza mambo!!!
 
English is just a media of communication and not a media of level of intelligent.....mimi namlaumu kwa nini asiongee Kiswahili tu yakaisha?
 
Nimemsikia kamanda siro akiongelea swala LA police kufyatua risasi dhidi ya ukaidi Wa malima.

Jamani kama hatujui kingereza bora tukae kimya. Ametamka neno "cowardnes" hakuna hill neno alipaswa aseme "cowardice" kama abstract noun na siyo cowardness . watanzania tusome kingereza

Watu wengi sana wangekosea hilo neno, hata mimi! kwa hiyo peleka majungu
 
Ningefurahi sana kama ungemkosoa kwa kukosea kiswahili. lakini kwa lugha ambayo kafundishwa darasani sidhani kama ni sawa. japo hata hicho kiswahili si wote wanakifahamu vizuri.
 
Dogo haina chembe ya shaka wewe ni mjinga. Eti kama "hatujui kingereza bora tukae kimya"; mbona umepanua domo lako?

Cowardness: Google

Abstruct = abstract?
Kingereza = Kiingereza?
hill = hilo?
siro = Siro?
malima = Malima?
police = polisi? (maana maandishi yako ni ya Kiswahili)
brocken = broken? (bahati mbaya "title" huwezi kuirekebisha)

Yaani sentensi mbili madudu kibao; peleka vyeti vyako NECTA haraka vikakaguliwe.
umemuweza
 
Nimemsikia kamanda siro akiongelea swala LA police kufyatua risasi dhidi ya ukaidi Wa malima.

Jamani kama hatujui kingereza bora tukae kimya. Ametamka neno "cowardnes" hakuna hill neno alipaswa aseme "cowardice" kama abstract noun na siyo cowardness . watanzania tusome kingereza
Haha, ukimsikia "Mamlaka yake ya Uteuzi" ndo utaacha na kula kabisa...anakwambia Kolapsheni is ze disease
 
Back
Top Bottom