Kamanda Sirro, wakazi wa Buza tunaomba ufanye yafuatayo kwenye kata ya Buza

Kamanda Sirro, wakazi wa Buza tunaomba ufanye yafuatayo kwenye kata ya Buza

Buza Kwa Mpalange

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2020
Posts
268
Reaction score
156
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Buza.


Jeshi la polisi ndugu IGP Sirro tafadhali sana tunaomba uboreshe mazingira kwenye kituo cha polisi Buza.

1. Kituo hakina umeme, ikifika saa 11 jioni panakuwa kimyaaaa.

2.Kituo hakina maji, sijui mahabusu wanajisafisha na majani?

3.Mapolisi hawazidi hata 4 hata silaha hawana. Ongeza mapolisi

4.Ikifika jioni saa 12 kamili kituo kinafungwa kabisa, kinafunguliwa asubuhi.
Kwahiyo hata ukipata tatizo usiku huwezi kusaidiwa.

Naomba niishie hapa
 
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Buza.


Jeshi la polisi ndugu IGP Sirro tafadhali sana tunaomba uboreshe mazingira kwenye kituo cha polisi Buza.

1. Kituo hakina umeme, ikifika saa 11 jioni panakuwa kimyaaaa.

2.Kituo hakina maji, sijui mahabusu wanajisafisha na majani?

3.Mapolisi hawazidi hata 4 hata silaha hawana. Ongeza mapolisi

4.Ikifika jioni saa 12 kamili kituo kinafungwa kabisa, kinafunguliwa asubuhi.
Kwahiyo hata ukipata tatizo usiku huwezi kusaidiwa.

Naomba niishie hapa
Kumbe ndiyo sababu mama Kimbo kajichimbia huko!
 
Kwa mpalange unatoa kwa shilingi ngapi?
 
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Buza.


Jeshi la polisi ndugu IGP Sirro tafadhali sana tunaomba uboreshe mazingira kwenye kituo cha polisi Buza.

1. Kituo hakina umeme, ikifika saa 11 jioni panakuwa kimyaaaa.

2.Kituo hakina maji, sijui mahabusu wanajisafisha na majani?

3.Mapolisi hawazidi hata 4 hata silaha hawana. Ongeza mapolisi

4.Ikifika jioni saa 12 kamili kituo kinafungwa kabisa, kinafunguliwa asubuhi.
Kwahiyo hata ukipata tatizo usiku huwezi kusaidiwa.

Naomba niishie hapa
Nilidhani mnaomba awapeleke kwa mpalange 😃
 
1628591870735.png
 
Back
Top Bottom