Kamanda SUGU anaua vibaya, duh!

Kamanda SUGU anaua vibaya, duh!

Mkoloni akiwa msaidizi wa Sugu,aliwahi kupata madhira ya kulishwa chakula chenye sumu,aliacha shughuli zake za mziki na akawa Karibu w Sugu kwenye uchaguzi mgumu sana ambapo CCM ilipelekea rundo la wasanii Mbeya kumsaidia mgombea wa CCM,ila Sugu akashinda na akaongoza kwa wabunge wote kupata kura 32,000+

Kumuandikia hivi Mkoloni ni kumvunjia heshima!!
Sugu ana elimu gan? Au Ngombaru mwenzetu?
 
Mkoloni akiwa msaidizi wa Sugu,aliwahi kupata madhira ya kulishwa chakula chenye sumu,aliacha shughuli zake za mziki na akawa Karibu w Sugu kwenye uchaguzi mgumu sana ambapo CCM ilipelekea rundo la wasanii Mbeya kumsaidia mgombea wa CCM,ila Sugu akashinda na akaongoza kwa wabunge wote kupata kura 32,000+

Kumuandikia hivi Mkoloni ni kumvunjia heshima!!
Girlfriend Kiswahili ni hawara. Hamna kumkosea heshima hapo
 
Sugu ana elimu gan? Au Ngombaru mwenzetu?

Sugu kidato cha 4, exposure aliyonayo na mfumo wa maisha aliopitia mpaka hapo anastahili kua na degree,kuanzia kwenye mziki wa hop,siasa na hadi leo biashara amefanikiwa sana kushinda wenye PhD.
 
Back
Top Bottom