Kamanda wa Bavicha Calvin Lekule afariki dunia -Alitabiriwa kifo wiki moja nyuma

Kamanda wa Bavicha Calvin Lekule afariki dunia -Alitabiriwa kifo wiki moja nyuma

King Kong III

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2010
Posts
56,205
Reaction score
79,515
Habari wana JF,

Chadema imepata pigo kwa kumpoteza kamanda Calvin Lekule ambaye alikuwa mpambanaji sana, Lekule alikuwa mwanaharakati kama alivyo mdude, alikuwa anapinga sana police brutality na uonevu wa aina yeyote kwa vitendo na bila kuogopa.

Wiki moja iliyopita alitabiriwa kifo na mmoja wa rafiki yake na kweli amefariki...Poleni wana chadema, ndugu, jamaa na marafiki.

CL.jpg
 
Ita
Sawa huyo Elizabeth lyamuya ameshakamatwa? Haya mambo ya kusema alitabiriwa kifo ni ujinga, ingepaswa akamatwe na kuhojiwa sababu za kifo cha marehemu, God bless Lema alisota gerezani kwa kosa kama hilo.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Itakuwa alikuwa anaujua ugonjwa wa jamaa na kuona Hadi jamaa kapost anaumwa "I Am Sick" basi itakuwa kakaribia kuondoka.
 
Sawa huyo Elizabeth lyamuya ameshakamatwa? Haya mambo ya kusema alitabiriwa kifo ni ujinga, ingepaswa akamatwe na kuhojiwa sababu za kifo cha marehemu, God bless Lema alisota gerezani kwa kosa kama hilo.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Japo katibu hakutabiriwa kifo ila mchungaji alipaswa ajibu tuhuma.
 
Back
Top Bottom