Kamanda wa Bavicha Calvin Lekule afariki dunia -Alitabiriwa kifo wiki moja nyuma

Kamanda wa Bavicha Calvin Lekule afariki dunia -Alitabiriwa kifo wiki moja nyuma

Habari wana JF,

Chadema imepata pigo kwa kumpoteza kamanda Calvin Lekule ambaye alikuwa mpambanaji sana, Lekule alikuwa mwanaharakati kama alivyo mdude, alikuwa anapinga sana police brutality na uonevu wa aina yeyote kwa vitendo na bila kuogopa.

Wiki moja iliyopita alitabiriwa kifo na mmoja wa rafiki yake na kweli amefariki...Poleni wana chadema, ndugu, jamaa na marafiki.

View attachment 2392444
hawa waswahili hawa wakikwmbia unakufa na ww wajb n ww unakufa
 
Mtu akikutabiria kifo afu Bado ukafa ndani ya mda anatakiwa atafutwe huyo anajua sababu ya kifo chako, vinywa vingine ni ushetani kabisa
 
Acheni uongo chadema hawafi yanakufa maccm tuu.
Kwa nini kafa akiwa na umri mdogo maana tuliaminishwa CCM wanaokufa na umri bado haujaenda sana ni madikteta na watenda dhambi! Washenzi sana hawa CHADEMA!
Jifunzeni unyenyekevu dunia sio ya kwenu tu! Wala si kwamba nyinyi watenda mema na wengine wote waovu!
Poleni wafiwa!
 
Back
Top Bottom