Kwa hakika CHADEMA imekamilika. Kwa maana makamanda wake takribani wote, ni moto π₯π₯π₯!
Your browser is not able to play this audio.
Akihojiwa live leo na kituo hicho maarufu 88.7 pande za huko, kamanda huyo hakumung'unya maneno.
"Kwamba:
1. Bila katiba mpya, kwa hali ya sasa rais anaweza kufanya lolote ikiwamo ndivyo sivyo bila kuwajibika kokote. Kuwa anaweza hata kuamua kutulaza vyooni.
2. Amesisitiza hakipo cha kumpongeza rais kwa kuruhusu mikutano wala maandamano kwani hayapo leo kwa hisani yake.
3. Akieleza zaidi, amesisitiza hata ushirikiano mgeni huu tunauona leo na polisi kwenye shughuli za siasa, siyo hisani."
Amesema mengi kamanda huyo yenye hamasa kubwa kuonyesha kesho bora ya nchi hii ikiwamo hali hohehahe mno ya barabara za manispaa hiyo chini ya ma CCM.
Kwa hakika kanda ya ziwa, kina "ngosha" wako tayari.
Akihojiwa live leo na kituo maarufu cha Gold FM cha huko, kamanda huyo hakumung'unya maneno:
"Kwamba:
1. Bila katiba mpya, kwa hali ya sasa raia anaweza kufanya lolote ikiwamo ndivyo sivyo bila kuwajibika kokote. Kwamba anaweza hata kuamua kutulaza vyooni.
2. Amesisitiza hakipo cha kumpongeza rais kwa kuruhusu mikutano wala maandamano kwani hayapo kwa hisani yake.
3. Akieleza zaidi amesisitiza hata ushirikiano mgeni huu wa polisi sasa kwenye shughuli za siasa, si hisani."
Amesema mengi kamanda huyo yenye hamasa kubwa kuonyesha kesho bora ya nchi hii ikiwamo hali hohehahe mno ya barabara za manispaa hiyo chini ya CCM.
Akihojiwa live leo na kituo maarufu cha Gold FM cha huko, kamanda huyo hakumung'unya maneno:
"Kwamba:
1. Bila katiba mpya, kwa hali ya sasa raia anaweza kufanya lolote ikiwamo ndivyo sivyo bila kuwajibika kokote. Kwamba anaweza hata kuamua kutulaza vyooni.
2. Amesisitiza hakipo cha kumpongeza rais kwa kuruhusu mikutano wala maandamano kwani hayapo kwa hisani yake.
3. Akieleza zaidi amesisitiza hata ushirikiano mgeni huu wa polisi sasa kwenye shughuli za siasa, si hisani."
Amesema mengi kamanda huyo yenye hamasa kubwa kuonyesha kesho bora ya nchi hii ikiwamo hali hohehahe mno ya barabara za manispaa hiyo chini ya CCM.
Akihojiwa live leo na kituo maarufu cha Gold FM cha huko, kamanda huyo hakumung'unya maneno:
"Kwamba:
1. Bila katiba mpya, kwa hali ya sasa raia anaweza kufanya lolote ikiwamo ndivyo sivyo bila kuwajibika kokote. Kwamba anaweza hata kuamua kutulaza vyooni.
2. Amesisitiza hakipo cha kumpongeza rais kwa kuruhusu mikutano wala maandamano kwani hayapo kwa hisani yake.
3. Akieleza zaidi amesisitiza hata ushirikiano mgeni huu wa polisi sasa kwenye shughuli za siasa, si hisani."
Amesema mengi kamanda huyo yenye hamasa kubwa kuonyesha kesho bora ya nchi hii ikiwamo hali hohehahe mno ya barabara za manispaa hiyo chini ya CCM.