Kamanda wa CHADEMA akinukisha Gold FM, Kahama

Kamanda wa CHADEMA akinukisha Gold FM, Kahama

Jina la kamanda?

Katika kusikiliza nilisikia jina "Mustapha" likitajwa tajwa kwenye hiyo interview wakijaribu kum interrupt hapa na pale.

Yawezekana ni mwenyekiti wa Chadema wilaya ya Kahama.

"Kumbe Makonda alipozuru huko barabara mashimo yalibwa kwa udongo." Alitamka Kamanda.

Huyu mwamba ni hazina kwa Chadema.
 
Kwa hakika CHADEMA imekamilika. Kwa maana makamanda wake takribani wote, ni moto 💥🔥💥!

View attachment 2932625

Akihojiwa live leo na kituo hicho maarufu 88.7 pande za huko, kamanda huyo hakumung'unya maneno.

"Kwamba:

1. Bila katiba mpya, kwa hali ya sasa rais anaweza kufanya lolote ikiwamo ndivyo sivyo bila kuwajibika kokote. Kuwa anaweza hata kuamua kutulaza vyooni.

2. Amesisitiza hakipo cha kumpongeza rais kwa kuruhusu mikutano wala maandamano kwani hayapo leo kwa hisani yake.

3. Akieleza zaidi, amesisitiza hata ushirikiano mgeni huu tunauona leo na polisi kwenye shughuli za siasa, siyo hisani."


Amesema mengi kamanda huyo yenye hamasa kubwa kuonyesha kesho bora ya nchi hii ikiwamo hali hohehahe mno ya barabara za manispaa hiyo chini ya ma CCM.

Kwa hakika kanda ya ziwa, kina "ngosha" wako tayari.

ni makelele tu yamezoeleka na hayabadili chochote, mambo yote nchini yataendelea kufanyika kwa utaratibu na sheria za nchi....
 
Katika kusikiliza nilisikia jina "Mustapha" likitajwa tajwa kwenye hiyo interview wakijaribu kum interrupt hapa na pale.

Yawezekana ni mwenyekiti wa Chadema wilaya ya Kahama.

"Kumbe Makonda alipozuru huko barabara mashimo yalibwa kwa udongo." Alitamka Kamanda.

Huyu mwamba ni hazina kwa Chadema.
Nilihisi MAGEMA USHETU😜😜😜
 
Back
Top Bottom