Kamanda wa kikosi cha Marine wa jeshi la Ukraine Colonel Volodymyr Baraniuk na mwenzake Colonel Dmytro wakamatwa na majeshi ya Urusi

Kamanda wa kikosi cha Marine wa jeshi la Ukraine Colonel Volodymyr Baraniuk na mwenzake Colonel Dmytro wakamatwa na majeshi ya Urusi

Hawa watasaidia kujenga madaraja, shule na miundombinu mengine baada ya vita, safi sana Urusi
 
Lakini nadhani mbinu ya kumega kidogo kidogo huku Russia ikonyesha nia thabiti ya kunusuru raia wa Ukraine itasaidia kufanikisha ushindi.
unazan uvamiz wao umeharibu mangap ya wa ukraine ? , Putin hii vita kaianzisha wazungu huwa hawasahau ipo siku Warusi watalipa kwa alichofanya Putin

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
 
Hawa watasaidia kujenga madaraja, shule na miundombinu mengine baada ya vita, safi sana Urusi
vita hii ndo imeanza ipo siku waukraine wataifanya hv hv Urusi , Wazungu huwa hawasahau , kaharibu mipango mingi ya waukraine , miradi mingi ya waukraine , ajira nyingi za waukraine , kadhohofisha afya na maradhi ya waukraine , na uzur aliaswa aache uvamiz , nmepitia historia ya Yugoslavia , Serbia alipambana ila alichoka leo hii Serbia ni nchi maskinini tu kisa kutumia mabavu kwenye kila kitu

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
 
vita hii ndo imeanza ipo siku waukraine wataifanya hv hv Urusi , Wazungu huwa hawasahau , kaharibu mipango mingi ya waukraine , miradi mingi ya waukraine , ajira nyingi za waukraine , kadhohofisha afya na maradhi ya waukraine , na uzur aliaswa aache uvamiz , nmepitia historia ya Yugoslavia , Serbia alipambana ila alichoka leo hii Serbia ni nchi maskinini tu kisa kutumia mabavu kwenye kila kitu

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
Hakuna kitu kama hicho aliyekutangulia kakutangulia
 
Wewe dogo unazeeka vibaya , ndota za alinacha hizo 🤣🤣🤣
... Umekuwa muungwana sana kiongozi. Pamoja na hayo kwa hakika hamtashinda. Ni habari mbaya sana kwenu ila ndio ukweli ambao siku zote ni mchungu.
 
Ila warusi tuna mtihani mgumu sana maana tunapigana na west yote,, tutashinda kwa mbinde mno
Kwa wanaokufahamu hapa JF, toka miaka ya 2012 na 2013 ulikuwa unashusha saana nondo za russia humu ndani, na sote tulkuwa tunakuaminia ktk nyanja hii. Sasa leo mpaka unakiri hii ngoma ni ngumu, basi inajionesha ngumu kweli, sio hawa vijana wadogo wanotoa povu humu ndani.
 
Back
Top Bottom