Rozanna Agro Africa
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 809
- 793
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lipumba ndiye profesa uchwara na mjinga kuliko profesa yeyote Duniani kote.Hata sura yake ni nyengine , Shati utafikiri anakimbia baridi ya ulaya,liko magotini.😛😛😛 Laana ni kitu hatari
Lipumbavu
kuna mwanahabar kamuuliza # lipumb*u " mheshimiwa baada ya kuzuiwa mkutano umepiga simu na ukaruhusiwa" ni nan yule? akajibu mimi ni mtu mzito!!!!Taarifa za Mwakyembe kupewa sumu zililetwa mtandaoni na wasamalia wema , ndio huo uhai alionao hadi leo.
Usidharau mitandao
kwan mala ngapi # lipumb*u anatangaza kumvua maalim? mbona mala kibao ila huishia matamko tuu!!Tena niwaambie hapa. Waliontuma Lipumba Kuna kitu kinawatisha kuhusu maalim Seif. Huu mradi wa Lipumba unapitwa na muda na ndio maana hawaana aibu kuharibu bahati Yao hata kama mahkama imezuiya ili lengo la kunvua maalim Seif kwa njia yoyote ile ifanikiwe hata Kama ni haramu. Athari kwa nchi hapa haitazamwi kinachotazamwa ni maslahi. Huu mwiba wa maakin Seif Ni mkali kuliko sindano. Iwe isiwe inatakiwa maalim avuliwe ukatibu.
Mpaka amefikia kutumwa kazi za kiboya na chakubanga!!!Lipumba kichwani kabakiza pumba na kamasi tu hana Taaluma tena
Kikao gani?acha kulialia maalim seif hajakatazwa kuhudhulia kwenye mkutano na kila siku anaitwa na mwenye kiti wake haende kiburi sasa hata wakimvua wewe huoni kuwani sawa.mbona mnapenda kuishi ne ya uhalisiawakati unaonekana live live
sisi watoa taarifa tu mkuu , usikeshe kwa waganga kuniroga bure ! mhusika ni Lipumba
Alafu Lissu akisema wanadai eti anaichafua nchi!
Huu ni utawala wa hovyo kuwahi kutokea.Nchi inachafuliwa na CCM kwa matendo yake kwa Wapinzani
sisi watoa taarifa tu mkuu , usikeshe kwa waganga kuniroga bure ! mhusika ni Lipumba
Seif Hamad kwanini haachii madaraka akawapisha wengine? Hivi vyama vimekuwa vya kisultani jamani? Huku Maalim Saif kule Freeman Mbowe
Huu ni utawala wa hovyo kuwahi kutokea.