Mugabe one
JF-Expert Member
- Nov 15, 2016
- 2,327
- 1,683
Poleni sana.Imetokea asubuhi hii, Mazishi yatafanyika leo saa kumi jion katika makaburi ya Kisutu Dar es Salaam.
========
Kamanda wa polisi wa zamani mkoa wa Kilimanjaro Dkt. Mohamed Chico amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo jijini Dar es salam.
Kwa mujibu wa msemaji wa familia Bw. Awadhi Chico, mazishi yake yamepangwa kufanyika leo Jumapili 22/01/2017 jioni katika Makaburi ya Kisutu jijini Dar es salaam.
Msiba upo nyumbani kwa marehemu Kijitonyama.
RIP kamanda Mohammed Chico, Inna lillaah wainnaa ilayhi raajiuun
Pole sana Awadhi Chico Mtoto wa Marehemu.Imetokea asubuhi hii, Mazishi yatafanyika leo saa kumi jion katika makaburi ya Kisutu Dar es Salaam.
========
Kamanda wa polisi wa zamani mkoa wa Kilimanjaro Dkt. Mohamed Chico amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo jijini Dar es salam.
Kwa mujibu wa msemaji wa familia Bw. Awadhi Chico, mazishi yake yamepangwa kufanyika leo Jumapili 22/01/2017 jioni katika Makaburi ya Kisutu jijini Dar es salaam.
Msiba upo nyumbani kwa marehemu Kijitonyama.
RIP kamanda Mohammed Chico, Inna lillaah wainnaa ilayhi raajiuun
Aliwahi kuwa RPC mkoa wa Kilimanjaro kwa muda mrefu, alikuwa swaiba IJP Mstaafu NGUNGURI, akiwahi kuwa OCD Tabora, OC-CID Mwanza, nk alikuwa akimiliki kampuni moja ya mabasi,nkRIP...Polen sana ila ungefafanua zaidi mkuu kamanda Chico alikuwa nani sio wote tunamfaham..
Yesu pia aliwanlonya juu ya kubambikiza kesi na kuchukuwa vitu kwa nguvuPolisi nadhan hakuna atakeingia mbinguni
hahaaaa ni kweli aiseee kafariki habari nimezipata janaDuka la mama Abdalla
Pia nasikia mzee Champion ( Mabuba)
Naye wanazika keshokutwa
Amefari Jana.
Imetokea asubuhi hii, Mazishi yatafanyika leo saa kumi jion katika makaburi ya Kisutu Dar es Salaam.
========
Kamanda wa polisi wa zamani mkoa wa Kilimanjaro Dkt. Mohamed Chico amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo jijini Dar es salam.
Kwa mujibu wa msemaji wa familia Bw. Awadhi Chico, mazishi yake yamepangwa kufanyika leo Jumapili 22/01/2017 jioni katika Makaburi ya Kisutu jijini Dar es salaam.
Msiba upo nyumbani kwa marehemu Kijitonyama.
RIP kamanda Mohammed Chico, Inna lillaah wainnaa ilayhi raajiuun
Huyu atakumbukwa Kwa ujambazi kuongezeka wakati wake ktk kanda ile ya kaskazini, na inasemekana alipofika Arusha na Kilimanjaro alikuwa hana kitu lakini mpaka anahamishwa alikuwa mtu tajiri. Aliwahi kuwa mbeya pia.Huyo kamanda atakumbukwa kwa lipi hasa?
Poleni wafiwa wote.
RIP.....yaaaChico alikuwa kiungo muhimu wa Mahita katika mambo flani
DuuuhWapinzani?! Huyu Alikuwa rafiki WA wezi WA magari sambeke babu na kina mangeu....
Bila kusahau Alex massawe
KweliDuuuh
Hiyo pia hata kwa wale matapeli wa kisiasa wa kugeuza gear angani.Namaanisha kwamba unoko wa duniani mbele ya kifo hautambi na wala si lolote .
Polen sana wafiwa
Lakini ni kwa nini mabosi wanapojiuzulu au kuachishwa kazi wengi huaga dunia mapema?? Kuna nini hasa?
Eti kizazi cha CCM[emoji2] [emoji2] [emoji2] Soma comment utamfahamu...
Maisha ya dhuluma!! Hakuna jingine.